Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,410
- 119,115
Mkuu nimetoa maelezo ya kutosha kabisa kama una nia ya kusaidia nadhani unaweza kutumia hayo maelezo kutoa msaada
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nimetoa maelezo ya kutosha kabisa kama una nia ya kusaidia nadhani unaweza kutumia hayo maelezo kutoa msaada
Nikipata vocha maana linamba lao la airtelUtupe na mrejesho my dear...! Thanks.
Miaka mitatu ni mda kdogo wame update taarifa za website yao kwa sasa ivo nenda soma requirement ya iyo kazi then nenda kwenye academic qualifications make sure zina match na kazi unayoomba saiv ni sensitive sio kama miaka miwili iliyopitaHabari zenu waungwana wenzangu.
Nina takribani miaka mitatu sijaingia huku Ajira Portal, leo nimejaribu kuapply naambiwa application failed nicheki requirements. Wakiwa na maana kwamba sina sifa kwa hiyo nafasi iliyotangazwa, nimejaribu kama mara nne nafasi tofauti kote inagoma cha ajabu nafasi zote hizo sifa ya mwombaji wametaja moja tu ambayo ni Bachelor Degree tena na course yangu imetajwa.
Labda kuna mahali nakosea au kuna mabadiliko katika utumaji wa maombi. Naombeni msaada wenu ndugu zangu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Zinamatch mkuu, sijajua ni wapi nimekosea aiseeMiaka mitatu ni mda kdogo wame update taarifa za website yao kwa sasa ivo nenda soma requirement ya iyo kazi then nenda kwenye academic qualifications make sure zina match na kazi unayoomba saiv ni sensitive sio kama miaka miwili iliyopita
Kama hautojali unaweza ingia KWA Kassim majaliwa tuangalie namna
SawaKama hautojali unaweza ingia KWA Kassim majaliwa tuangalie namna
yes kama wiki mbili zilizopita nilikua naaply ikataka ni update details na moja wapo ilikua ni nida, kitambulisho cha nida ninacho ila nilikua kila nikiweka namba haiupdate nikaachana nayo..
Swali zuri sana.Alafu naomba kuuliza hivi wanaposema kwamba uattach verification certificate wanamaanisha nini???
Au ni vile vya vyeti kwa watu waliosoma nje ya nchi ambavyo vinatakiwa viwe verified na TCU?Alafu naomba kuuliza hivi wanaposema kwamba uattach verification certificate wanamaanisha nini???
Mkuu, mara ya mwisho umeingia kwenye system ya ajira portal lini!??Ndio maana unashauriwa kuedit taarifa zako zifit qualifications husika, mfano kama una digrii ukiomba kazi wanayotaka mtu wa diploma inagoma. Sasa kwa wale amboa wamepitia diploma halaf wakaenda digrii wakiomba kwa kutumia kigezo chao cha diploma wanagomewa, kwakuwa mfumo unawatambua kuwa wana elimu kubwa zaidi ya vigezo walivyoviweka.
Cha kufanya hapo kama una elimu zote mbili digrii na diploma halafu, unataka uapply kazi ya mtu wa diploma inabidi urudi kwenye taarifa zako uedit kipengele cha elimu ili usigomewe na mfumo,
Kadhalika na vipengele unavyoviona vinakukwamisha unaviedit ili mfumo usikukatae, ila angalizo usije ukavamia sifa ambazo zitaenda kukutesa kwenye usail
TAHADHARI!!!!!!
TAARIFA HII SIO RASMI, NI MBINU TU ZA KUPENYAPENYA ILI KUKIFIKIA CHUMBA CHA USAILI
Sent using Jamii Forums mobile app