Hivi zile asilimia walizo ziweka pale ni moja ya kigezo cha mtu kuchaguliwa kufanya usaili kama atakuwa na asilimia nyingi zaidi ya wengine au ni mbwembwe tu???
 
1. Kama wewe umesomea Bachelor of Engineering (B.Eng) kwa mfano umesomea Bachelor of Engineering in Mechanical Engineering/Electrical Engineering kama nafasi imetangazwa na imetaja inahitaji mtu mwenye Bachelor of Science in respective coarse my dear uki apply inagoma, and vice versa.

2. Mfumo wa Ajira Portal hauruhusu mtu mwenye equivalent education ku apply hata kama tangazo litasema, kwa mfano mtu mwenye Degree ya Industrial Engineering kuna baadhi ya mambo mengi tu anaingiliana na mtu wa Mechanical Engineering lakini kama kwenye Ajira Portal imeandikwa ni Mechanical Engineering my dear yaani hata ufanyeje itakugomea, mtu wa Environmental Engineering kuna mambo anaingiliana na mtu wa Civil Engineering lakini kama haijamtaja mmoja wapo na imeandikwa tu "and equivalent" mfumo wa Ajira Portal unagoma.

Ushauri: Kuna baadhi ya kazi unakuta job description inaruhusu hata mtu mwenye fani zinazoendana kuomba hizo nafasi ombi langu kwa wahusika wajaribu kurekebisha baadhi ya mambo na pia kuzihusisha hata zile kozi zinazoendana kuweza kupata nafasi ya kuomba.

Alamsiki.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mnaweza kulingana lakini msifanane. naamini namna mfumo ulivyowekwa ni kozi husika au inayofanana na hiyo. matakwa ya tangazo huwekwa kwa makusudi maalumu. Kwa mfan: watu wa Engineering wanaendana katika masomo meengi lakini hawafanani katika ujuzi Industrial vs textiles engineer yapo masomo yanaendana lakini ikuja nafasi inayotaka textile huyu wa industrial yapo atakayoweza kufanya lakini sio yote. Tangazo linahitaji complete package sio half. Wangeiacha huru kungekuwa na maombi mengi ambayo hayakidhi sifa.

Ushauri ni kwamba, omba kazi inayohitaji kozi uliyosoma.
 
Ndio maana unashauriwa kuedit taarifa zako zifit qualifications husika, mfano kama una digrii ukiomba kazi wanayotaka mtu wa diploma inagoma. Sasa kwa wale amboa wamepitia diploma halaf wakaenda digrii wakiomba kwa kutumia kigezo chao cha diploma wanagomewa, kwakuwa mfumo unawatambua kuwa wana elimu kubwa zaidi ya vigezo walivyoviweka.

Cha kufanya hapo kama una elimu zote mbili digrii na diploma halafu, unataka uapply kazi ya mtu wa diploma inabidi urudi kwenye taarifa zako uedit kipengele cha elimu ili usigomewe na mfumo,

Kadhalika na vipengele unavyoviona vinakukwamisha unaviedit ili mfumo usikukatae, ila angalizo usije ukavamia sifa ambazo zitaenda kukutesa kwenye usail

TAHADHARI!!!!!!
TAARIFA HII SIO RASMI, NI MBINU TU ZA KUPENYAPENYA ILI KUKIFIKIA CHUMBA CHA USAILI

Sent using Jamii Forums mobile app

Nadhani bado haitakusasidia kwa kuwa unapoingia katika utumishi wa umma ukigundulika ulidanganya kipindi cha kuomba kazi hatua dhidi yako zinaweza kuchukuliwa.. nilijulishwa na mdau mmoja wa kazi.
 
Kuna zile asilimia unazo takiwa kuwa nazo ili kutuma maombi nazani ni kuanzia asilimia 70 ndio inakubali. Sasa hapo unakuta kuna mtu anakuwa na asilimia mpaka wengine 90 wengine 80 sabini.

Kwa hiyo nilikuwa nauliza hii inasaidia kwenye kuchaguliwa kufanya usaili kama ukiwa na asilimia kubwa kuliko mwenzako?
Asilimia zipi hizo mkuu?
.
 
Kuna zile asilimia unazo takiwa kuwa nazo ili kutuma maombi nazani ni kuanzia asilimia 70 ndio inakubali. Sasa hapo unakuta kuna mtu anakuwa na asilimia mpaka wengine 90 wengine 80 sabini.

Kwa hiyo nilikuwa nauliza hii inasaidia kwenye kuchaguliwa kufanya usaili kama ukiwa na asilimia kubwa kuliko mwenzako? .

Suala ni kutimiza matakwa ya tangazo la kazi na kujaza taarifa zako kwa usahihi. asilimia zinakuonesha tu kwamba kuna taarifa unazotakiwa kujaza lakini hujazijaza.
 
Hahahahaa sawa mkuu
Ndio maana unashauriwa kuedit taarifa zako zifit qualifications husika, mfano kama una digrii ukiomba kazi wanayotaka mtu wa diploma inagoma. Sasa kwa wale amboa wamepitia diploma halaf wakaenda digrii wakiomba kwa kutumia kigezo chao cha diploma wanagomewa, kwakuwa mfumo unawatambua kuwa wana elimu kubwa zaidi ya vigezo walivyoviweka.

Cha kufanya hapo kama una elimu zote mbili digrii na diploma halafu, unataka uapply kazi ya mtu wa diploma inabidi urudi kwenye taarifa zako uedit kipengele cha elimu ili usigomewe na mfumo,

Kadhalika na vipengele unavyoviona vinakukwamisha unaviedit ili mfumo usikukatae, ila angalizo usije ukavamia sifa ambazo zitaenda kukutesa kwenye usail

TAHADHARI!!!!!!
TAARIFA HII SIO RASMI, NI MBINU TU ZA KUPENYAPENYA ILI KUKIFIKIA CHUMBA CHA USAILI

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi pia nilipata hii shida, nilijaribu kwenye computer nyingine ndio ikakubali...jaribu hiyo pia
yes kama wiki mbili zilizopita nilikua naaply ikataka ni update details na moja wapo ilikua ni nida, kitambulisho cha nida ninacho ila nilikua kila nikiweka namba haiupdate nikaachana nayo..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: vvm
Nadhani bado haitakusasidia kwa kuwa unapoingia katika utumishi wa umma ukigundulika ulidanganya kipindi cha kuomba kazi hatua dhidi yako zinaweza kuchukuliwa.. nilijulishwa na mdau mmoja wa kazi.
Hiyo n kama umepata kazi ambayo ni tofauti na sifa ulizonazo, mfano wewe n mhasibu umerukia kaz ya afisa misitu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani hujanielewa.. ninachomaanisha.. nimesoma banking and finance, post inamtaka mtu wa banking and accounting... nabadilishaje!???

Ndo maana mtoa mada amesema hata kama una sifa za hiyo kazi, lakini kipengele cha kozi uliyosomea kinakutoa nje ya kinyang'anyiro..
Zinabadilishwa kijana, chukua muda, durusu vizuri pale kwenye job category,

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom