Changamoto ya Mfuno wa ESS kwenye simu

Changamoto ya Mfuno wa ESS kwenye simu

JimCarrey

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
227
Reaction score
142
....Wakuu nimejaribu kuapply loan lakini natumia simu imekuja namna hiyo kwahiyo siwezi kuona kiasi gani napata na makato yake Ili niweze ku apply kila nikijaribu kusogeza nione mbele inagoma, hata ku rotate simu pia haitaki msaada nifanye Nini niweze kuona hapo

MFUMO WA ESS KWA SIMU

Screenshot_20260209-140858.jpg
 
Tumia Tablet/Laptop kuweza kuingia, System responsivenes kwenye screen devices, smartphone naona hai fit kwenye hiyo module
 
Web browser ya simu yako ina "desktop mode". Weka hiyo.

Kama Bado una changamoto tuwasiliane
 
Sasa watu Wana design mfumo , wanaojua watumiaji wengi wa huo mfumo ni wamiliki wa simu za kichina za tekno, Infinix, redm na OPPO inashindwa kuweka graphics zinazofiti kwenye display za simu hizo?

Hata Kuna siku nilifungua NHIF natafuta vifurushi, garama na huduma za Kila kifurushi lakini ilikuwa hai fit screen. Ukiwauliza watakubia wametimia " wataalamu wabobezi" wa ndani
 
Sasa watu Wana design mfumo , wanaojua watumiaji wengi wa huo mfumo ni wamiliki wa simu.za kichina za tekno, Infinix, redm na OPPO inashindwa kuweka graphics zinazofiti kwenye display za simu hizo? Hata Kuna siku nilifungua NHIF natafuta vifurushi, garama na huduma za Kila kifurushi lakini ilikuwa hai fit screen. Ukiwauliza watakubia wametimia " wataalamu wabobezi" wa ndani
System nyingi designed kwa ajili ya Computer kwani tunaamini watumishi wa Umma wamefuta Ujinga kidogo that’s why na kwa sasa kuna campaign kubwa ya kuhakikisha mifumo ya kiserikali haiwi compatible na Simu mfano ofisi niliyopo huwezi kutumia kuchomeka flash ukasoma au kuhamishia vitu kwenye Flash disk zina restrictions hizo hata ule Mfumo wa Mof uko mbioni kuondolewa Salary Slips za watu ziko nyingi sana Facebook, TikTok na Instagram watu wanazijadili.

Kama utanitukana matusi nipo tayari kukukabili
 
System nyingi designed kwa ajili ya Computer kwani tunaamini watumishi wa Umma wamefuta Ujinga kidogo that’s why na kwa sasa kuna campaign kubwa ya kuhakikisha mifumo ya kiserikali haiwi compatible na Simu mfano ofisi niliyopo huwezi kutumia kuchomeka flash ukasoma au kuhamishia vitu kwenye Flash disk zina restrictions hizo hata ule Mfumo wa Mof uko mbioni kuondolewa Salary Slips za watu ziko nyingi sana Facebook, TikTok na Instagram watu wanazijadili.

Kama utanitukana matusi nipo tayari kukukabili
wewe itakuwa ni Mmoja wapo wa wanao design hayo ma utopolo kwa ku copy templates kwenye mitandao. Hii MIFUMO ni self service inatakiwa upatate huduma popote. Watumishi wote Wana smartphone lakini hawana computer. Inashindwa kutengeneza mfumo ulio compatible kwa simu na computer?
 
Back
Top Bottom