loan

  1. Eronda

    Shs 734.2B Loan Approved by Parliament for Phase II Solar Irrigation

    Parliament on Wednesday approved a loan request allowing government to borrow up to Euro 168,976,354, approximately Shs734.2 billion, for the development of Phase II of the solar-powered irrigation systems project. Finance Minister Henry Musasizi tabled the motion to borrow the money from UK...
  2. K

    Nafasi Ya Kazi Wezesha Mzawa Microfinance – Loan Officer

    We are seeking a motivated, experienced Loan officer/ Credit officer to join our growing company. In this position, you will evaluate and approve or deny loan applications. You will act as liaison between financial institutions, individuals, and businesses applying for loans as well as process...
  3. O

    Kenya Seeks Urgent World Bank Loan as Middle East War Sends Fuel Prices Soaring

    Kenya has formally applied for an emergency loan from the World Bank as it seeks to cushion its economy from the ripple effects of the ongoing Middle East conflict. The war, particularly tensions involving Iran, has disrupted global oil supply chains, triggering a sharp rise in fuel prices...
  4. idiomer

    Why do bank charges high interest for workers loan?

    17% intetest for workers loan is injustice.
  5. JimCarrey

    Changamoto ya Mfuno wa ESS kwenye simu

    ....Wakuu nimejaribu kuapply loan lakini natumia simu imekuja namna hiyo kwahiyo siwezi kuona kiasi gani napata na makato yake Ili niweze ku apply kila nikijaribu kusogeza nione mbele inagoma, hata ku rotate simu pia haitaki msaada nifanye Nini niweze kuona hapo MFUMO WA ESS KWA SIMU
  6. A

    KERO SUA kuna wanafunzi hasa wa 1st year wanateseka sana. Mpaka sasa hawajapata pesa ya kujikimu

    Hapa chuoni Sua Kuna wanafunzi hasa wa first year wanateseka sanaa mpaka sasa hawapata pesa ya kujikimu huku loan officer akiwaambia wawe watulivu watapata pesa.
  7. Fukua

    Misaada namna ya kupata app ya loan online

    Hatari Wana jukwaa Kwanza nitangulize shukrani zangu za dhati kwenu. Ninahitaji kuwa na app ya kukopesha pesa mtandaoni lakini sijui ninaipataje, ninafahamu hum Kuna wataalamu WA Kila kitu. Hivyo ninaomba msaada wenu wakuuu kuhusu njia za kutengeneza hiyo app au gharama zake mpaka niwe na app...
  8. Kubwjing

    ESS Utumishi kwanini hamruhusu Loan Take Over? Mnatutesa wengi

    Wasalaam Aleykhum Ndugu zangu Ebwana mfumo huu mzuri wa kiutumishi umerahisisha mambo mengi kwakweli. Sie tunafanya mambo mengi wenyewe popote bila kwenda kuweka foleni katika mabenki kote huko bara na hapa Zanzibar pia LAKINI Changamoto ipo Sasa nkiwa bara nilitaka kuhamisha ama kuuza mkopo...
  9. A

    KERO Wanafunzi UDOM tunaoomba 'Loan Extensions' tusikilizwe, maisha ni magumu

    Naomba ujumbe au andiko langu lifike kwa Viongozi wanaohusika, binafsi hali yangu ya maisha ya chuo itakuwa mbaya sana, mimi ni Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma nasoma Shahada ya Uuguzi na Ukunga. Shida yangu naomba kufikisha ujumbe huu kwa Bodi ya Mikopo kuwa kuna Wanafunzi zaidi ya 200...
  10. komunisti

    Mwenye uelewa wa loan restructuring

    Habari wadau,kama title inavyojielezea. Hii loan restructuring kwenye mfumo wa utumishi ikoje hasa? Maana naona upande wa benki ya CRDB haiko active
  11. P

    Mshahara wa loan officer wa Wezesha Microfinance Ltd ni kiasi gani?

    Habar zenu naomba kuuliza mshahara wa credit Officer Wezesha microfinance Ltd
  12. 1Africa54

    Je uki disco chuo kikuu ukatumia cheti Cha diploma kuomba kazi na ukapata kazi je utakatwa mkopo wa loan board kwenye mshahara

    Je uki disco chuo kikuu ukatumia cheti Cha diploma kuomba kazi na ukapata kazi je utakatwa mkopo wa loan board kwenye mshahara
  13. L

    Je PBZ wanaruhusu kufanya topup loan... Vigezo gani wanataka

    R
  14. dorge

    Kuhusu ku TOPUP bank loan

    Hapo awali kabla ya mfumo wa ess kwa wale watumishi ilikiwa rahisi. Tuliweza kutopup hata baada ya miez sita. Niulize wadau mlioko benki. Huko kuna mabadiliko gani. Kwa nini TOPUP inakuwa ngumu hata baada ya miezi tisa mwaka?
  15. E

    Mwanamke mmoja amemuacha mume wake na kuolewa na mfanyakazi wa benki aliyeidhinishia mkopo kwa ajili mahitaji yake

    Katika hali ya kushangaza, mwanamke mmoja amemuacha mume wake na kuolewa na mfanyakazi wa benki aliyemuidhinishia mkopo kwa mahitaji yake. Mwanamke huyo, ambaye inasemekana hakuwa na furaha na mume wake licha ya juhudi zake za kutimiza mahitaji yake, aliangukia penzi la mfanyakazi huyo wa benki...
  16. S

    Anatafutwa afisa Mikopo

    Anahitajika kijana wa kiume au wa Kike. umri 20 to 25 yrs Eneo la kazi : Arusha Elimu: degree ya masoko au sheria hakuna uzoefu unaohitajika. Mawasiliano: 0782396666
  17. A

    Warning: Utapeli wa kikundi wanajiita Mo Dewji Foundation

    Kuna hiki kikundi wanajiita wanatoa mkopo kwa kupitia MO DEWJI Foundation na wanatumia nyaraka za Mo dewji kinyume na sheria na wana kila kitu hadi leseni za biashara na namba zao za mawasiliano ni hizi +255 780 525 780 tuwe makini na tuwaripoti iwezekanavyo___ MO DEWJI FOUNDATION ipo ndio...
  18. medyh99

    Msaada kuhusu Loan Board

    Mlioanza application za loan board naomba uzoefu wenu maana nimeanza application asubuhi hii lakini mfumo haufunguki
  19. Sijali

    Namna nzuri za kutumia pesa za mkopo wa Bilioni 2.5

    Kama mkopo wowote, kama hakuna udhibiti madhubuti, pesa zitakwisha bila kujua zilikokwenda! Na kama mkopo wowote, hiyo miaka arobaini ya grace itapita kama maji. Kama hujasikia, Tanzania imekopa na kupatiwa mkopo mkubwa zaidi kuwahi kutokea, na Jamhuri ya Korea Kusini. Pamoja na kupewa mkopo...
  20. hmaloh

    Application za kutoa mikopo wanapata wapi haki ya kuingilia faragha kwenye simu ya mteja na kuhack majina?

    Kama kuna siku nimewahi kudhalilika basi ni leo. Hivi jamani hawa jamaa wanao-deal na application za kutoa mikopo wanapata wapi haki yakuingilia faragha kwenye simu ya mteja nakuhack majina kisha kutuma jumbe za udhalilishaji yani leo nimevuliwa nguo Wanajamvi wenzangu daah! What a shame ila...
Back
Top Bottom