Beginning in July 2024, the government plans to reinstate the 10% loan provision for youth, people with disabilities, and women's groups. The loan disbursement will start with a pilot program for ten councils.
The towns of Newala and Mbulu, the municipalities of Kigoma Ujiji and Songea, the...
Huenda ni mimi nilifanya makosa kwa kutopitia terms & conditions vizuri ila hawa jamaa walicho nifanyia ni uzalilishaji mkubwa sana.
Kuna app moja mtandaoni (play store) inaitwa "PESA M FINANCE".
Hawa jamaa walinikopesha elfu 42 mtandaoni kwa muda wa siku 7.
Siku jana nilitakiwa ndiyo nilipe...
Wakuu Sina mambo mengi, naombeni uhakika wa utoaji wa mkopo toka Tala online loan.
Niko kwenye Mazingira ambayo nahitaji pesa na nimekutana na matangazo Yao online nikaona wanaweza kuwa msaada katika kipindi hiki nachokipitia.
Vipi wakuu Hawa Tala online loan ni really au chqnga la macho
Wadau kwa wale wanao appeal loan, pale kwenye kipengele kinachohusu udhamini wa TASAF, pale mimi niki weka namba ya kitambulisho cha tasaf haikubali, msaada plz
Miaka ya nyuma tokea nchi ipate uhuru huu mwaka bajeti ya kutoa mikopo Kwa WANAFUNZI WA degree ilikuwa kubwa sana, ilikuwa TZS bilioni 700+.
Serikali ikakatangaza WANAFUNZI wanaonza degree (fresh students) watapata wanafunzi 75,000 lakini majina mpaka sasa yametoka 73,000 ambayo yamegharimu Sh...
Jamani nataka kuwalipa Loan Board deni Lao sasa ninashida na loan statement ili niweze kupata control number ya kuwalipa.
Kwahiyo kwa anayewe kunisaidia namna ya kuipata anisaidie
NATANGULIZA SHUKURANI
Imebidi nije hapa huu mtandao wa Loan Board hauko vizuri hasa hasa kwenye kipengele cha Preliminary information hakuna chochote unachoweza kujaza na uka submit na ukakiona kwenye preview. picha hata useti kwa kiwango kipi 120x150px haionyeshi wala haikai kwenye mfumo.
Tunaomba kujua hapa nina...
Wakuu, nilikua na mkopo wa heslb kama 13m hivi, nimelilipa wee mpaka limebaki 2.8m, sasa naona linanikera tu coz haliishi pamoja na juhudi zangu za kulipa nilizonazo.
So nafikiria kutafuta hiyo balance yote iliyobaki kutoka vyanzo vingine vya mapato nilipe hilo deni then mimi nibaki nadaiwa na...
Habari wakuu, poleni na mjukumu,
Nimekuja kwenu na malalamiko na humu JF Kuna watu wa aina mbalimbali ambao wanaweza saidia watoto wetu.
Ofisi ya Mikopo chuo cha MUST mpaka sasa haijawaingizia baadhi wanafunzi wa mwaka wa kwanza pesa ya kujikimu (boom), pesa ambayo watoto wamesign mwezi wa...
Kwa hili acha niwapongeze Bodi ya Mikopo ya elimu ya juu kwa kuwaongezea ada hawa wadogo zetu huko vyuoni maana hali ilikuwa mbaya sana.
Na nyie wanafunzi someni sasa acheni anasa.
ASANTE.
VACANCY ANNOUNCEMENT
LK Microfinance is a registered Micro Credit company in Tanzania located at Win Win Shopping centre, Mbezi Beach, Plot No157, Kinondoni Municipality, Dar es Salaam. The company hereby invites applications from competent and experienced personnel to fill two vacant...
Vijana wengi form six leaver hawana card ya NIDA hivyo huanza kuitafuta pindi wamalizapo shule kwa ajili ya loarn application.
Hata hivyo card ya NIDA haipatikani ndani ya mda kinachopatikana ndani ya mda ni Namba. Tambueni hilo. Nyie ni ,mamlaka ya serikali hivyo mnajua kinachoendelea ...
A STATE SECRET
Kenya is refusing to release the loan contracts for its Chinese-built railway
By Carlos Mureithi
East Africa correspondent
Published January 20, 2022
Kenya has declined to make public the loan contracts for its Chinese-built railway in response to a court petition by two...
Samahan wanaforum..Mimi nliuza mkopo NMB kutoka faidika na bayport na kwenye salary slip deni linaonesha 7,880,000 kila mwezi nakatwa 247,000..Sasa naulza deni linaloonekana kwenye salary slip ndo hilo likiisha basi haudaiwi au kuna deni lingne lisiloonesha kwenye salary slip?
Picha ya pili ni Watanzania tunajifanya kuwa hatujamsikia Samia akidai kuwa amekopa concessional loan ya miaka 20 kwa ajili ya kujenga madarasa, wakati tulishaambiwa kuwa Tozo ni kwa ajili ya kujenga madarasa😁😁😁
Nashauri kama hari ndio hii basi vyuo visiwe vinafunguliwa hadi pale Loan Board inapokamilisha ugawaji wa mikopo na kuhakikisha kila anayestahili kupata amepata na kisha kutangaza kufunga dirisha la kupanga mikopo.
Wanafunzi wanateseka hawajapewa mikopo/accommodation huku masomo yameshaanza...
Dar es Salaam. The government of Tanzania has secured a total of Sh570.6 billion in loans from World Bank for the construction of phases 3 and 4 of the Bus Rapid Transit (BRT), a senior official revealed yesterday.
Phase Three of the BRT project involves construction of infrastructure projects...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.