Chama cha Wamiliki Mabasi (TABOA) kusitisha kutoa huduma kuanzia Jumatano wiki ijayo kwa kugomea mfumo wa ukataji tiketi kupitia mtandao

Latra wanajaribu ku develop ticket management sysen cheap kwa wote kuwahurumia wenye mabasi machache sababu hiyo system uki develop individually gharama kubwa mno kuanzia kununua maintanance na upggrade!! hawataki haya weee Wajenge zao !!!
 
Unasoma na kuelewa kwa lugha gani au kihehe?. Basi lijaze lisijaze unatakiwa kufanya hivi 👇🏾.

Mashine za POS zinamtaka mmiliki wa fedha kuweka kiasi cha fedha katika laini ya simu au wakala wa huduma za fedha kwa makadirio ya abiria wa basi husika. Mfano kama basi linabeba abiria 50 kwa nauli ya Sh30,000, mmiliki analazimika kuweka Sh1.5 milioni katika laini ya mashine hiyo.
Sasa atafilisika vipi?

Msaada bwashee!
 
Jumatano ijayo TABOA wanaanza mgomo wakigomea mfumo wa tiketi za kielektroniki ambao wamesema unaelekea kuwafilisi. Wameamua kwa kauli moja kuanza rasmi mgomo.

Tumekuwa tukishuhudia huko nyuma serikali ya awamu ya tano ikitumia ubabe na vitisho kuzima sauti za madai na matokeo yake kupelekea msiba mkubwa sehemu husika. Kwa hili watakuwaje? Tusubiri tuone.
Mbona maelezo ya kina hakuna au upigaji umedhibitiwa nini sasa wanaona wanaumia? Toa maelezo zaidi
 
Unasoma na kuelewa kwa lugha gani au kihehe?. Basi lijaze lisijaze unatakiwa kufanya hivi 👇🏾.

Mashine za POS zinamtaka mmiliki wa fedha kuweka kiasi cha fedha katika laini ya simu au wakala wa huduma za fedha kwa makadirio ya abiria wa basi husika. Mfano kama basi linabeba abiria 50 kwa nauli ya Sh30,000, mmiliki analazimika kuweka Sh1.5 milioni katika laini ya mashine hiyo.
Sasa hapo anafirisika vipi?
 
Kifupi TABOA wabadilike mwenyekiti Ruksa kuwa mchaguliwa toka wamiliki wa mabasi lakini waajiriki katibu mtendaji msomi wa uchumi awe katibu mkuu na msemaji wa TABOA

Chama kama hicho kinahitaji wasomi hasa nafasi ya katibu mkuu na watendaji hii hoja wangekuwa na katibu mkuu msomi na mchumi au mtu wa business administration au business strayegy angewasaidia wasingefika hapo au kama hawataki basi.kukiwa na pressing issue watumie private business consultants companies ambao Tanzania wako kibao kabla kutoa tamko lolote
 
Please elezeni tatizo ni nini kiufasaha mpewe msaada .Tulieni andikeni mkiwa mumetulia .Haraka andikeni kwa ufumbuzi.Mleta mada simamia zoezi
Wameeleza vizuri hawataki hizo mashine za kuweka float (POS) kwa sababu inalazimika kuweka float kwanza hata kabla Bus haijapata abiria. Wanasema ni bora wapewe mashine za EFD kama wafanyabiashara wengine. Kwa nini wasipewe hizo EFD mashine sasa?
 
tiketi za ndege hukatawa kwa mfumo wa ki ekectronic na kuna mabasi kibao nao huo mfumo toka zamani kabla ya sasa ikiwemo scandinavia mwanzilishi wa huo mfumo sasa hivi yako mabasi kibao unakata online tiketi na meli pia unakata online .Hawa Taboa siwaelewi mbona kuna mabasi unakata online tiketi na ni wanachama wa Taboa waneanza siku nyingi na hawajafilisika kwa ajili ya mfumo?
Hapana huu mfumo wa kutakiwa kuweka float ni mpya...
 
Si uongee na Ngewe mbona unaanza kuishambulia Chadema
Nimeongea na mtendaji wake kanifafanulia vizuri kuhusu bus ticket management system compatible with bus customers quality service requirements na TRA requirements nimeeelewa muda wa kutumia wapiga debe kukata tiketi umepitwa na wakati mteja anatakiwa achague basi atakalo akiwa nyumbani kwake na kiti atakacho akiwa nyumbani kwake na alipe kwa Tigo pesa Mpesa airtel money nk bila kwenda ofisi ya bus na pia TRA wapate chao na nikasema utumike utaratibu wa TRA compliant soma comments zangu za kuzingatia bus customer requirements na TRA requirements
 
Please elezeni tatizo ni nini kiufasaha mpewe msaada .Tulieni andikeni mkiwa mumetulia .Haraka andikeni kwa ufumbuzi.Mleta mada simamia zoezi

Mkuu kiini cha tatizo ni huyo aliyeleta system ya " pos" kaongeza gharama bila sababu ya msingi kwani wangeweza kutumia efd machine za tra na kuingizia serikali kodi yake bila taabu, nafikiri wanachokikataa ni dalali aaliyejificha kwenye hizo machine za pos
 
mbona kama wanatafuta njia au kichaka cha kukwepa kulipa kodi? au? maana sioni msingi wa hoja yao!!
waangaliwe vizuri hao!
wafanya biashara hawaaaminiki hata kidogo, mara nyingi wanawaza njia ya kukwepa kulipa mapato ya serikali.
 
Yaani mm ningekuwa raisi ningesema yyt anaegoma akaweke gali lake nyumban mm nitaleta magali yangu hapo msitutishe
Unadhani ni rahisi serikali inatoa wapi hizo hela za kuendesha biashara ya mabasi kwene kila kona na pembe ya hii nchi usifanye masihara
 
Sasa atafilisika vipi?

Msaada bwashee!
magu2016
Aseee, kumbe una kichwa kizito kiasi cha kushindwa kuelewa the baptist?.

Okay soma👇🏾;
Kama basi lako linabeba abilia 15 na nauli kwa abilia ni shs 70 unafanya 15x10=150, hiyo pesa jumla unatakiwa kuiweka kwa wakala au akaunti ya mashine ambayo ni ya Latra/serikali.

Ziezi hilo ni kila siku haijalishi basi linajaza au lah, so ukute basi lako linaondoka na abilia 5 ambao ni shs 50 so serikali inakata mapato yake kulingana na abilia 15 na siyo 5 ulioondoka nao 🖐🏾.
 
Back
Top Bottom