Mkuu, inatupasa kama taifa tutafakari upya hasa kuhusu demokrasia na ustawi wa jamii kwa ujumla wake.Petro su unauona uonevu huu
Mkurugenzi wa manispaa ya Ubungo, Beatrice Dominic amekiandikia barua chama cha Chadema na kukipa saa mbili kuondoa bendera zake zilizowekwa barabara ya Sam Nujoma karibu na ukumbi wa Mlimani City unakofanyika uchaguzi wa viongozi wa chama hicho.View attachment 1295069
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani yeye huyo ana aibu? Usikute agizo hilo kalifurahia.Bendera zina madhara gan? Hawa wateule wanamuaibisha Rais.
Mkurugenzi ukiona hizo bedera mapepo yanakupanda nini? Mbona za kawaida tu! Je ingepandishwa ile ya Yesu mwenyewe kiboko ya wachawi na mapepo,majini nk ungekuwa kwenye hali gani? Punguza jazba hazisaidi Nchi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo ni eneo la kibiashara lisigeuzwe la kisiasa
Watu kutoka mataifa mbali mbali wanafika pale
Je itajenga picha gani kwa Nchi yetu?
Tuache siasa
Sijutii Kuwa Mtanzania Ila NAJUTIA KUISHI NA WEWE NCHI MOJAHilo ni eneo la kibiashara lisigeuzwe la kisiasa
Watu kutoka mataifa mbali mbali wanafika pale
Je itajenga picha gani kwa Nchi yetu?
Tuache siasa
Kwamba CHADEMA walikodi ukumbi kuuza jiuce au?Hilo ni eneo la kibiashara lisigeuzwe la kisiasa
Watu kutoka mataifa mbali mbali wanafika pale
Je itajenga picha gani kwa Nchi yetu?
Tuache siasa