CHADEMA waita Wahariri - Jumanne, 28 Julai 2015

CHADEMA waita Wahariri - Jumanne, 28 Julai 2015

Huyu LOWASSA itabidi walinzi wa Obama wawe seconded kwake mpaka October na hata lile Beast wamuazime ,hii nchi haiaminika wanaweza kutunyaganya tonge mdomoni
 
usikose kufatilia matangazo ya moja kwa moja ifikapo saa kumi kamili ambapo lowasa atajiunga live chadema na kuhutubia ambapo ataongozana na viongozi waandamizi wa chadema na ukawa .

Chanzo: Tangazo la ITV

Makene tumekusoma kwa uzuri sana, wacha tusubiri muda tuone nguvu ya umma inavyoenda kubadiri upepo.
 
Cna muda wa kuyackiliza majizi yaliyovaa ngozi ya kondoo watafuatilia hao waliohongwa bil.10 ili kumuuzia chama mtu ambaye alikuwa anahubiriwa na viongozi hao hao wenye umoja usio na uhakika wa kutambuliwa rasmi kisheria pale mwembe simba.
 
ndugu zangu wa ukonga nawakaribisha kwangu karibuni nina jenerator orginal kv 3 na flat screen kubwa inchi 42 wakiukata tu naungulumisha watajibeba mwaka huu
 
Kwa pamoja watanzania tunaikomboa Tanzania bila itikadi kumtoa mkoloni mweusi Tanzania mpya ukawa ni ushindi twende na Edward lowasa 2015

Yaan mkuu mpaka kieleweke kipindi hiki viva la vida.... Stil waiting...
 
Anaenda kuzungumza nini?- Huyu Jamaa anapenda sana ukubwa, never see before..

kwani wewe unamuonaje??? Kunguru we hata kijiko unaiba! Pole mwaka Wako huuu, kale ukwajuuu upunguze kichefu chefu, maumivu yakizidi kamuone daktari
 
Nasikia mashushushu yalimshitua mwenye kaya akimbie nchi......ameenda kujificha Australia....mmmmm eti mwaliko wa jemadari mstaafu wa jumuia ya madola....kasahau "handsome boy" OBAMA yupo Afrika....mwanzoni alijipendekeza sana kwa Obama....Obama hana muda na MAFISADI..bora abaki huko huko!
 
Ha ha ha best wang upo? Yan sipati picha mhemko ulio nao bidada na mahabati ya ukawa. Ha ha ha kwa sasa sisi tumejipanga na vitambulisho vyetu na tumeamua bao la mkono lazma liishie bafuni tu mwaka huu ni mabadiliko tuu.

Meona eeh.... Watakunywa sumu watajinyonga UKAWA mbele kwa mbeleee...
 
Wamekata Umeme kitambo sana,hapa bar inahusika.
 
Back
Top Bottom