Wanapenda kusema ananunua watu..
Haya maelfu watakaokuwa kwenye luninga nao wananunuliwa?
Magazeti yanayoandika nayo yananunuliwa?
Basi hata tulioko mtandaoni tunaofuatiliwa tunanunulia kupost mitaandoni.
Ukweli ni kwamba watanzania walio wengi, wamebaini na wamepata fursa ya kung'oa mfumo mbaya, ulioasisiwa kwa muda mrefu na CCM.
Wakati ndio tu na chombo ndicho UKAWA.. Go UKAWA go Lowasa, tunakuhitaji , utusaidie kuivunjavunja, wewe anza sisi tuko pamoja nawe, tuna kadi za kupiga kura, tumehamasika , tunaelewa tunataka nini ..
Kazi moja NG'OA CCM , TUPA KULE.
Haya maelfu watakaokuwa kwenye luninga nao wananunuliwa?
Magazeti yanayoandika nayo yananunuliwa?
Basi hata tulioko mtandaoni tunaofuatiliwa tunanunulia kupost mitaandoni.
Ukweli ni kwamba watanzania walio wengi, wamebaini na wamepata fursa ya kung'oa mfumo mbaya, ulioasisiwa kwa muda mrefu na CCM.
Wakati ndio tu na chombo ndicho UKAWA.. Go UKAWA go Lowasa, tunakuhitaji , utusaidie kuivunjavunja, wewe anza sisi tuko pamoja nawe, tuna kadi za kupiga kura, tumehamasika , tunaelewa tunataka nini ..
Kazi moja NG'OA CCM , TUPA KULE.