CHADEMA waita Wahariri - Jumanne, 28 Julai 2015

CHADEMA waita Wahariri - Jumanne, 28 Julai 2015

Wanapenda kusema ananunua watu..

Haya maelfu watakaokuwa kwenye luninga nao wananunuliwa?


Magazeti yanayoandika nayo yananunuliwa?

Basi hata tulioko mtandaoni tunaofuatiliwa tunanunulia kupost mitaandoni.

Ukweli ni kwamba watanzania walio wengi, wamebaini na wamepata fursa ya kung'oa mfumo mbaya, ulioasisiwa kwa muda mrefu na CCM.
Wakati ndio tu na chombo ndicho UKAWA.. Go UKAWA go Lowasa, tunakuhitaji , utusaidie kuivunjavunja, wewe anza sisi tuko pamoja nawe, tuna kadi za kupiga kura, tumehamasika , tunaelewa tunataka nini ..

Kazi moja NG'OA CCM , TUPA KULE.
 
Inapitiliza kipindi cha zitto, habari za Lowasa tangu ajiudhuru (astaafu teh teh) uwaziri mkuu hakuna siku hajazungumzwa na vyombo vya habari, kama si vyotewalau kimoja, kila siku, utafikiri azana ya kwenda kusali

hata kofili limesahaulika na ndiyo mjue Kuna watu wana damu ya kupendwa!! Lowasa dawa ya jambazi (CCM)
 
leo mtoto hatumwi dukani,kazi kwao chadema kujenga au kubomoa
 
Wee Mamndenyi umeiona hii au unapitwa?
wameseme hakikisheni generata zenu zina mafuta hata kama
umeme wa kampuni sasa hivi upo
 
Last edited by a moderator:
Mimi hawa matanecrow wamenikera. Wanatunyima burudani ya kumwangalia Lowasa. Kama kuna tanesko humu jueni tu kwamba mnaboa vinginevo rudisheni umeme fasta

Ha ha ha best wang upo? Yan sipati picha mhemko ulio nao bidada na mahabati ya ukawa. Ha ha ha kwa sasa sisi tumejipanga na vitambulisho vyetu na tumeamua bao la mkono lazma liishie bafuni tu mwaka huu ni mabadiliko tuu.
 
Wakati sisi tunaweka mtaala wa tourism wazungu waliona mbele zaidi na kuweka kabisa Bachelor,Masters na PhD in Political Science!
 
Karibu baba tunakukaribisha mkomboz wa taifa hili team mabadiliko had kieleweke
 
Afadhali mnaosubiri mda ufike, huku kwetu hawa jamaa walibeba umeme mapema as if umeme tunatumia bure!. Wanakera sana. Hivi wako-controlled na watu nje ya system yao? Vinginevyo watangaze rasmi kuwa nao ni political party tufahamu kabisa.
 
Kabisa.... Safari hii wajinga hawana nafasi ya kututawala tena, Mama Salma na Riz one wamekiuwa CCM, wagawane mbao saizi manake hakuna jinsi CCM itapenya oktoba..


Sababu ni lukuki za kuikataa CCM..

Mojawapo ni kukomesha huu usultani wa kurithishana madaraka na fursa , yaani kwao tu.
 
Kwa pamoja watanzania tunaikomboa Tanzania bila itikadi kumtoa mkoloni mweusi Tanzania mpya ukawa ni ushindi twende na Edward lowasa 2015
 
attachment.php

nayaona maji yamewekwa kabisa hapo....Lakini sijui kama yatanywewa.
 
Back
Top Bottom