CHADEMA waita Wahariri - Jumanne, 28 Julai 2015

CHADEMA waita Wahariri - Jumanne, 28 Julai 2015

Magufuli jana alitangaza kujitoa, sasa ccm wako kwenye kikao cha dharura kuepusha aibu
 
Hizi habari za Lowassa zimezidi sasa!

Utadhani Zitto kipindi alichofukuzwa CHADEMA.

Inapitiliza kipindi cha zitto, habari za Lowasa tangu ajiudhuru (astaafu teh teh) uwaziri mkuu hakuna siku hajazungumzwa na vyombo vya habari, kama si vyotewalau kimoja, kila siku, utafikiri azana ya kwenda kusali
 
Mimi hawa matanecrow wamenikera. Wanatunyima burudani ya kumwangalia Lowasa. Kama kuna tanesko humu jueni tu kwamba mnaboa vinginevo rudisheni umeme fasta

Nenda bar iliyo karibu kiingilio soda yako tu.
 
lowasa ni mtu anaejua kucheza na akili za watu.chek media zote kateka amakwel lowasa
 
Aluta Continua kamanda Lowasa....
ngoja "kitengo" waanze kupoteana sasa
 
asante mkuu. hivi kwanini hawa ITV mpaka leo hawana online livestreaming?

mkuu kama uko mbali na TV radio one itakuwa pamoja nawe moja kwa moja hatumwi mtoto dukani
 
kuna tangazo itv kuwa watarusha live tukio la kumpokea mh. E. Lowasa katika chama cha demokrasia na maendeleo hii leo saa 10 kamili jioni mkae tayari kwenye tv zenu.
tanesco r7disheni umeme haraka kabla hatujapata hapo eboo kila siku kiki wa ta tukio la kitaifa kutoka ukawa munatukatika ymeme
 
Hizi habari za Lowassa zimezidi sasa!

Utadhani Zitto kipindi alichofukuzwa CHADEMA.

Unaleta zilipendwa.. habari ya mjini ni simba wa yuda, nguli na fundi wa siasa za Tz Edward Lowasa kujiunga na chama cha ukombozi wa mtz chadema. ccm mue karibu na choo na kopo la maji muda syo mrefu uharo utanza kuwatoka.. teh teh teh.
 
Back
Top Bottom