CHADEMA waita Wahariri - Jumanne, 28 Julai 2015

CHADEMA waita Wahariri - Jumanne, 28 Julai 2015

Unaleta zilipendwa.. habari ya mjini ni simba wa yuda, nguli na fundi wa siasa za Tz Edward Lowasa kujiunga na chama cha ukombozi wa mtz chadema. ccm mue karibu na choo na kopo la maji muda syo mrefu uharo utanza kuwatoka.. teh teh teh.
Mkuu SIMBA45 umenipasua mbavu zangu.
 
Jamani kwa wale ambao hamjawahi kushuhudia pumba za lowassa mnakaribishwa leo saa 9 atakuwa "live" mjionee uwezo wa huyo anayeambiwa kuwa ni rahisi mtarajiwa.itakuwa itv nimeambiwa
 
Wapi wanaonesha? Maana ITV kuna filam ya ki Nigeria
 
Sawa. Tukutane tarehe 25.10.2015 ila naomba nikuhakikishie oktoba CCM haishindi, kama mlitegemea kuiba kura, nikupe taarifa tu kuwa kuna watu wataingia hapa Nchini tarehe 23 August mahususi kwa ajili hiyo...

Naona hutanielewa kwa sasa, tusubiri 23 August...

Asanteee... yaani jeur yote wanayoleta hapa sababu wategemea goli la mkono. wakiweza banwa na hapo lazima goli lao watapigia chooni au bafuni tu na si kwenye chumba cha kupiga na kuhesabu kura.
 
usikose kufatilia matangazo ya moja kwa moja ifikapo saa kumi kamili ambapo lowasa atajiunga live chadema na kuhutubia ambapo ataongozana na viongozi waandamizi wa chadema na ukawa .

Chanzo: Tangazo la ITV

TBC vipi, hawarushi matangazo hayo live?
 
Manyerere Jackton, tafadhali thibitisha huu mkutano utafanyika saa ngapi. Maana ulisema saa 3 asubuhi sasa tunakwenda ni saa 9 na robo mkutano bado tu? Na hii AZAM TV watarusha live kuanzia saa ngapi?

Tiba
 
Jamani kwa wale ambao hamjawahi kushuhudia pumba za lowassa mnakaribishwa leo saa 9 atakuwa "live" mjionee uwezo wa huyo anayeambiwa kuwa ni rahisi mtarajiwa.itakuwa itv nimeambiwa

kale kaukwaju mkuu upunguze kichefu chefu .,..... Leo raha sana
 
Washafanya yao, kwanini sasa mnakata umeme wakati mnajua kabisa kuna kitu kinaenda kutokea kwenye siasa za Tanzania?
 
Back
Top Bottom