Muda huu magamba uharo unagonga chup..
mtanijuza jamani npo safari
Cna muda wa kuyackiliza majizi yaliyovaa ngozi ya kondoo watafuatilia hao waliohongwa bil.10 ili kumuuzia chama mtu ambaye alikuwa anahubiriwa na viongozi hao hao wenye umoja usio na uhakika wa kutambuliwa rasmi kisheria pale mwembe simba.
Ha ha ha best wang upo? Yan sipati picha mhemko ulio nao bidada na mahabati ya ukawa. Ha ha ha kwa sasa sisi tumejipanga na vitambulisho vyetu na tumeamua bao la mkono lazma liishie bafuni tu mwaka huu ni mabadiliko tuu.
Anaenda kuzungumza nini?- Huyu Jamaa anapenda sana ukubwa, never see before..
Naombeni mnisaidie link ya Azam TV ili niweze kushuhudia haya mambo
Cna muda wa kuyackiliza majizi yaliyovaa ngozi ya kondoo watafuatilia hao waliohongwa bil.10 ili kumuuzia chama mtu ambaye alikuwa anahubiriwa na viongozi hao hao wenye umoja usio na uhakika wa kutambuliwa rasmi kisheria pale mwembe simba.