Hizi habari zilikuwa ni zakutunga ee
!!!!
Tulieni dawa iwaingie jamani.... na bado mtanyooka tu.
Mtu anawajua sana anajua fitna zote kwa miaka yote mliyoshinda uchaguzi. Mwaka huu kubalini yaishe
Unaangusha utawala dhalima unauhamishia kwenye utawala mpya! si unawajua team yake huyo jamaa aliyeinunua chadema!!
Makonda, nape na baba yenu jiandaeni kukimbia nchi
Press conference itakuwa live kupitia ITV, Radio One, Channel Ten na Azam Tv kuanzia saa 10 jioni kwa masaa 2.
Stay tuned wakuu as the country witnesses the game changer (CHADEMA) at its best again as usual. Mwanachama mpya atapokelewa wakati huo.
Kwa wale ambao hawajapata mwaliko wa kuhudhuria watakuwa na fursa nzuri kufuatilia live coverage kwa muda huo.
Asanteni
Makene
Hizi habari za Lowassa zimezidi sasa!
Utadhani Zitto kipindi alichofukuzwa CHADEMA.
usikose kufatilia matangazo ya moja kwa moja ifikapo saa kumi kamili ambapo lowasa atajiunga live chadema na kuhutubia ambapo ataongozana na viongozi waandamizi wa chadema na ukawa .
chanzo ITV tangazo
Hizi habari za Lowassa zimezidi sasa!
Utadhani Zitto kipindi alichofukuzwa CHADEMA.