CHADEMA waita Wahariri - Jumanne, 28 Julai 2015

CHADEMA waita Wahariri - Jumanne, 28 Julai 2015

Tahadhari wekeni simu zenu fully charge na kama ni mawe ya radio mnunue saa yeyote tanesco watafanya yao

Nina head phone mpya nimenunua

Mkuu umenikumbusha thousands of miles backwards! Nakumbuka enzi hizo babu yangu akinutuma kununua katika duka la kijiji halafu tunaishia kurudi mikono mitupu kisa tumepoteza hela kwenye michezo. Kama kichapo nilikila sio utani.
 
247161_1000498513307435_2760117457505022624_n.jpg

Ndiyo siasa! MANDELA, GAIDI; ..... MANDELA, WORLD'S NO.1 STATESMAN; ....... OBAMA: Kenyatta na Rutto wauaji. ...... OBAMA: Hakuna kama Kenyatta na Rutto.
 
Mbona mnazidi kuongeza saa mala tisa alasiri mala kumi mwenzenu nimeamka kucheck kinachojili kuona press conference imepangwa saa tisa nikasema silali tena ona sasaemnaongeza saa moja mnataka nipitiwe na ucnginz nisione mapinduzi
 
tulishajua miaka miwili iliopita kuwa ccm wakimpiga chini ataenda chadema wala halitupi shida wataandika mpaka kaboni zitaisha ccm ipo palepale
Hakuna aliyepinga kwamba chama chenu hakipo palepale,
hata mtu akifa huwa anaonekana yuko pale pale,mpaka azikwe.
chama chenu kipo palepale mpaka kitakapozikwa oktoba 25.
 
Tamesco kwetu wamekata umeme toka asubuhi aisee, na saa tisa ndio hii haujawaka bado
 
I natakiwa itv nawenyewe wawe on line hata kikwete akikata umeme tuna check kwenye smartphone zetu
 
Tanesco rudisheni umeme huo uhuni wenu utawatokea puani

Siku ya kwanza ikulu tbc na tanesco wakuu wote out .siku ya pili viwanja vyote vya ccm vinarudishwa serikalini .ndio mengine yanafuata .
 
Mimi hawa matanecrow wamenikera. Wanatunyima burudani ya kumwangalia Lowasa. Kama kuna tanesko humu jueni tu kwamba mnaboa vinginevo rudisheni umeme fasta

Mkuu itabidi uende mahali popote either bar yenye generator ununue japo soda uone mzee wa safari ya uhakika atakavyo rusha madini ya bei ghali. Lazima watu wakachekee chooni. Lizaboni Rizt n.k
 
Back
Top Bottom