CHADEMA waita Wahariri - Jumanne, 28 Julai 2015

CHADEMA waita Wahariri - Jumanne, 28 Julai 2015

Zamani zile vyama vya upinzani tulienda katika chaguzi bila kujua kinachoendelea ndani ya "KITENGO"...

Mwaka huu hali ni tofauti ndio sababu MaCCM wanalialia humu ndani...
 
Napenda nitoe tahadhari hii kwa wapenda mabadiliko wote nchi hii.
Kama huna jenereta sogea sehemu unajuwa lipo
Na kama unalo jaza mafuta kabisa check na oil kama ni safi.
Hii itatusaidi kwa pamoja kwenda kushuudia tukio la kihistoria la tanzania kupata ukombozi wa kiuchumi kutoka kwa CCM
Tanesco wapo,lakini hawaaminiki,Tusije lauminiana baadae nimewakumbusha kwa nia njema.
 
Magazeti yasipouza mara hii hawatakaa wauze tena....

Ukawa habri ingine
 
lowasa ni mtu anaejua kucheza na akili za watu.chek media zote kateka amakwel lowasa

tulishajua miaka miwili iliopita kuwa ccm wakimpiga chini ataenda chadema wala halitupi shida wataandika mpaka kaboni zitaisha ccm ipo palepale
 
Napenda nitoe tahadhari hii kwa wapenda mabadiliko wote nchi hii.
Kama huna jenereta sogea sehemu unajuwa lipo
Na kama unalo jaza mafuta kabisa check na oil kama ni safi.
Hii itatusaidi kwa pamoja kwenda kushuudia tukio la kihistoria la tanzania kupata ukombozi wa kiuchumi kutoka kwa CCM
Tanesco wapo,lakini hawaaminiki,Tusije lauminiana baadae nimewakumbusha kwa nia njema.

Kweli mkuu..mm nimeshakajaza mchina wangu chaji ya kutosha na power bank juu..yaan ni bandika bandua
 
Nimeona tangazo muda huu ITV kwamba watarusha live ujio wa baba wa pili wa taifa hili UKAWA kupigia CHADEMA Mh. Chaguo la wanyonge na wapenda maamuzi magumu,mtu mvumilivu na mtulivu hon. Lowassa.

Tayari nimeshaongeza LUKU kupata habari njema kwa mustakabali wa nchi yangu.
 
Hizi hujuma za Tanesco kwa vyama vya upinzani inekwenda kukoma Oct. nawambia mtanyooka nyie tanescrowcoccm
 
Jamani tununue dry battery Kama back-up,tununue wese za generator Kama back-up,hawakawii hawa jamaa wa taneccm kufanya Yao,wenye access na kurekodi either audio au video wafanye hivyo ,muda umefika kuwaondoa ccm madarakani,wamemkata lowassa walijua akiingia atavuruga mfumo mzima ,UKAWA wameokota dodo kwenye mpera watumie fursa kumuondoa mkoloni mweusi,enl atatupa urais,wabunge wa kutosha.
 
Tahadhari wekeni simu zenu fully charge na kama ni mawe ya radio mnunue saa yeyote tanesco watafanya yao

Nina head phone mpya nimenunua
 
Back
Top Bottom