CHADEMA vs CCM: Nani Mbabaishaji?

Siku Zote watu wenye RASTA iwa ni watetezi sana wa wanyonge.....na hawa watu sijui kwa nini Mungu iwa anachukua mapema na wale wanao tuumiza na kutukandamiza Mungu anawapa muda mrefu sana wa kuishi.
Chach asingeweza kuhamia CCM hakuwa kiongozi mnafiki kama wengine tunao waona,Hizi ni propaganda kali za CCM.

ccm ya mwalimu ambayo ni ccm ya RASTA ilishakufa...Hii mpya ni ya mafisadi...Na marehemu hakupatana nayo na ndio maana akahamia upinzani...Na aliomba ushauri wa mwalimu kabla ya kuingia kwenye siasa...Waliomwua lazima ni maadui wa Afrika.
 
Mrema tu ndio anawaweza hao ccm na ni MREMA PEKE YAKE MWENYE KUPENDWA NA RASTAFARIANS KWA SASA.....NA SI KWASASA TU!
MREMA ALIPATA BARAKA ZOTE ZA RASTAFARIANS WA TANZANIA KWENYE ULE UCHAGUZI WA MWAKA 1995!
 
Kwahiyo ni wazi kuwa ccm na chadema wako responsible kwa kifo cha RASTA...Basi TAIFA LIKO HATARINI...NA usishangae kila mtu akafuga RASTA!

Wewe unadhani kwa nini wanabishana ?wote hawahusiki ktk kifo hicho ILA nia yao ktk SIASA ya TANZANIA si njema ni SIASA ya shetani shetani.

Na kamwe kati yao hakuna atayechora mstari wa HAKI
 
Hapo chini ni essay yangu..Ama kipande cha essay yangu ambacho kinaelezea kwa kifupi movement ya Rasta...Na ni kwa jinsi gani ilikuwa carried out through MUSIC especially prophetic message of the late King Marley....Lucky Dube nk!
Watu waliokuwa wakipigania HAKI ZA MWAFRIKA!


RASTAFARIANS...REGGAE AND THEIR BELIEFS

Rastafarianism is a religious movement born out of the black slums of Jamaica which harnessed the teachings of the Jamaican born black nationalist, Marcus Garvey and conditionally used selective Old Testament Christian writings to support its teachings and practices(www.encyclopedia2.com).

Born in 1887, Garvey's influence on the poor black slave descendants in Jamaica came to its peak in the 1920's where his message of encouragement and calling on black people to take pride in themselves won some fanatical supporters. Although historically Marcus Garvey was a political leader interested in making the black race economically equal with the white, in oral tradition he has become a divinely anointed prophet. This was enhanced by the political situation around the World at that period and time where oppression and slavery was popular especially in Jamaica and Africa where the pain has been felt.

With the crowning of Ras Tafari Makonnen on November 2nd 1930 in Ethiopia, many believed Garvey's prediction of a black king crowned in Africa who would be a redeemer and liberator of the dispossessed black race had come to fruition. Makonnen claimed for himself the titles of "Emperor Haile Selassie I, Conquering lion of the tribe of Judah, Elect of God and King of the kings of Ethiopia." Ethiopia holds great significance to Rastafaris who believe in a coming judgement day when the righteous will be called home to Mount Zion (identified with Africa) to live forever in peace and harmony. Marcus Garvey, although no admirer of Haile Selassie, as he observed that slavery still existed in Ethiopia, continued to be revered by the fanatical Rastafarians despite being a Roman Catholic by birth who never spoke out explicitly to support the growing movement(www.watchman.org).

Without centralised organisation, any one definitive text, official buildings or a recognisable and ongoing office of leader the religion is difficult to categorise. This results in a wide variety of beliefs and practices coming under the general umbrella of Rastafarianism that often result from individual interpretations. There are however some notable characteristics as covered below.

Distinguishing it from other groups and religions which stress conformity to the powers that be, here it is the individual which is important. Individuals follow a path to truth for themselves and reject the power of modern, oppressive white society ("Babylon") which is seen to be rebelling against God, the "Earth's Rightful Ruler" called "JAH". JAH is within all individuals and all individuals are connected to God. This is reflected in the often used phrase "I and I" when referring to oneself(www.watchman.org).

One early leader of the movement in Jamaica was Leonard Howell, who was arrested by the Jamaican government in 1933 for preaching a 'revolutionary doctrine'. Howell established the first commune of Rastafari and six principles of Rastafari which have changed little over the years: 1) a hatred for the white race, 2) the complete superiority of the black race, 3) revenge on the wickedness of white peoples, 4) the negation, persecution and humiliation of the government and legal bodies of Jamaica, 5) preparation to return to Africa, and 6) acknowledging Emperor Haile Salassie as the supreme being and only ruler of black people(www.watchman.org).

Even though he helped to shape the movement's ideas, his arrest is also thought to have a large influence on the movement's organizational structure. The prolonged police harassment that Howell was subjected to is thought to be the main reason why Rastafarians have decided to remain leaderless. This was important because their lack of a leader or a top down model is the reason why the culture still exists around the world.

In 1954 the situation grew increasingly tense as the Jamaican government intervened and overran the now Rastafarian mini-state called the Pinnacle that Howell ruled over. After this many followers migrated out of the original rural setting to the ghettos and slums of Kingston. Although authentic Elders advocate non-violence in their teachings, a frustrated and desperate few incited confrontation with authorities which resulted in deadly shoot-outs with British troops in the late '50s and early '60s bringing some negative worldwide attention to the movement(www.watchman.org).

From the mid 1970s to the present has seen a phenomenal growth in the Rastafarian Movement, namely down to the worldwide exposure and acceptance of reggae music. This is mainly attributed to Bob Marley who as a musical artist was also a prophet of Rastafarianism whose lyrics often touch on themes relevant to Rasta doctrine. The reggae movement was initially attractive to the Caribbean black youths, many of whom saw it as an extension of their adolescent rebellion from school and parental authority. With the migration of Caribbean families to England and America, thus the music spread and became popular, along with a certain other botanical Jamaican export(www.saxakali.com).

Some followers choose to classify the religion as Ethiopian Orthodox Christianity (distinguishing it from Catholic and Protestant Christianity) or even Judaism. In the latter case the belief is held that black people are descended from the twelve tribes of Israel, and that black Jews have lived in Ethiopia for centuries, disconnected from the rest of Judaism. This and other ideas result from interpretation of Bible translations, which are also thought to be incomplete and have been distorted by white oppressors over time.

One of the more obvious symbols of the Rastafarians are the dreadlocks on a Rasta's head. They are said to represent the Lion of Judah and are in contrast to the straight, blond look of the white man and the establishment and in response to interpretations of passages from Leviticus 2 in the Bible(www.wekipedia.org).

Another major symbol of Rastafarians are colours, specifically red, gold and green. These were taken from the Garvey movement and form the background of the Ethiopian flag. Red stands for the Rasta Church Triumphant but also the blood of the martyrs of Rasta. The green represents the beauty and vegetation of Ethiopia, the promised land, and the gold symbolizes the wealth of the homeland that shall be regained(www.saxakali.com).

The true Rasta also only eats Ital food. This is special food which never touches chemicals, is natural and not from cans. The food is cooked but served in the rawest form possible, without salts, preservatives, or condiments. Rastafarians are therefore vegetarians. Drink is anything herbal, such as tea and not unnatural such as liquor, milk, coffee and soft drinks(www.saxakali.com).
Marijuana or Ganja is commonly smoked in a ritualized form and as medicine and is not officially advocated for recreational use. It is believed to aid understanding and meditation and is claimed to be the 'holy' or 'green' herb mentioned in some translations of the Bible(www.saxakali.com).

Today the worldwide following of Rastafari is believed to be in the region of 1,000,000, with official branches in many countries including England, Canada, the Caribbean islands and America. Some sources claim that six out of ten Jamaicans are believed to be Rastafarians or Rastafarian sympathizers with more conservative estimates stating that five to ten percent of Jamaicans are Rasta.

In conclusion there are many reasons contributed to the rise of Rastafarianism movement and also its current status. While the movement started due to oppression in both Jamaica and Africa its existence still makes us wonder how it managed to do so. While the movement and its belief apears dead we are still left with the style that came with the movement. Many of us like the style for quite different reasons. There are those who like the Reggae Music part of it which was made popular and somehow incorporated to the movement and made famous around the World by the late Robert Nesta Marley also known as Bob Marley.

Although there are some who might consider themselves as true Rastafarians the reality will still remain the same that it was a movement and it seems to be a movement because the Bob Marley's Songs appeared to be prophetic....His album named EXODUS...From the TUFF GONG that encorporates songs like Zimbabwe, Afrika Unite, One drop,So much Trouble and so many more that predicted the current situations and all that we can fore see in a near future....He also made it clear in the songs like "WAR" That there is little room for peace in the community if there's is superiorities and iferiorities complexes.

Though Music...I beleive Bob Marley sent a Prophetic Messages...The message that would last throughout this generation's life.
__________________
 
Message ya RASTA NI BLACK PEOPLE TO TAKE PRIDE ON THEMSELVES...SASA SHIDA IKO WAPI HAPO?
NA KAMA MAREHEMU ALIKUWA NA MSIMAMO KAMA HUO...ALIYEKUWA KINYUME NAYE NI NANI?
 
Message ya RASTA NI BLACK PEOPLE TO TAKE PRIDE ON THEMSELVES...SASA SHIDA IKO WAPI HAPO?
NA KAMA MAREHEMU ALIKUWA NA MSIMAMO KAMA HUO...ALIYEKUWA KINYUME NAYE NI NANI?

waliomfunga jela na waliomtimua uenyekiti ni hao waliokua kinyume na RASTA.
 
Sasa hii habari ya rastafarians na Wangwe kujiunga na CCM vinahusiana vipi?

Vinahusiana na msimamo wake...Kwani RASATFARIANISM NI KAMA DINI...KWA HIYO YULE AMA WALE WALIOKUWA KINYUME NA MSIMAMO WAKE THEN NDIO HAO WA KULAUMU...Kama ni ccm ama chadema hiyo mimi siwezi kujuwa na ndio maana halisi ya mjadala huu...Ni wazi kabisa adui wa RASTA NI FISADI...SASA MALIZIA MWENYEWE...
 
Hivi tatizo ni CCM au waliowaweka CCM madarakani?


Waliowaweka CCM madarakani hawazidi 5,000. Una swali lingine :)



.
Ndio, nina swali jingine; Hivi watu milioni 37 wanashindwa na hao 5,000?





Hao 5,000 plus 80% ya makanjanja wa habari... hapo sijui nani mwingine wa kutegemewa zaidi ya WAJESHI. (Makanjanja wenyewe ndio hao COPY and PASTE).
Huenda 20% ya jeshi letu likaji-organize for change 2010?



For many events, 80% of the effects come from 20% of the causes. I will not loose hope!



.
 
Azimio la MOSHI NI LIPI? mimi silijui.

Kuhusu kuwa walikuwa na ugomvi nimesema kuwa hata wakati wa kupiga kura za mbunge wa E.A Assembly,wangwe alitoka nje ya ukumbi wa bunge ili asishiriki kumpigia kura ndugu yake. sasa wewe unaweza kuona extent ya ugomvi wao.

Jua pia huyu Prof.alienda Tarime kwa ajili ya kampeni za kumpinga wangwe akishirikiana na mdogo wa marehemu aliyekuwa mwenyekiti wa halimashauri ya Tarime kwa wakati huo.

Lakini sherehe za kumpongeza Marehemu Chacha kwa kuukwaa UBUNGE zilifanyika NYUMBANI kwa PROFESA pale Mlalakuwa.
 
Wangwe alizikoga nyoyo za wanyonge kwa kupinga waziwazi ukamataji wa wapika gongo na michango isiyoisha, alikuwa chonjo dhidi ya dhuluma kwa wanyonge. Swali lililopo Ras gani atajitoa mhanga kuwatetea wanyonge hawa?

Prof.Samwel anajaribu kuvaa viatu vya Ras' labda vitamsaidia! Gachuma anaonekana damu ya ccm! mtu pekee mwenye kusikilizwa tarime ni Peter Zakaria (Zakaria Express) tatizo lake ni ngumi mkononi, mama kabaka alichemsha alipoonyesha kutofautiana na Ras hadharani.
 
Watu sasa watasema kila kitu wanachoweza kusema. Ni mbunge gani wa Tanzania amewahi kuhama chama kabla ya muda wa bunge kuisha? Kwa kuhama Wangwe angepoteza ubunge kitu ambacho kwa TZ ni ngumu sana.

Hata Mrema alihama dakika ya mwisho na akawahi kipindi cha kuteua wagombea urais.

Kama kweli alizungumza nao kuhusu kuhama chama alikuwa anawazuga tu, alikuwa anataka hizo mil 20
 
Heshima Mbele,

Kwa mujibu wa habari nilizozipata toka Nyumbani Tanzania,na zimeandikwa katika moja ya magazeti ya leo huko Nyumbani ni kwamba Marehemu Chacha Wangwe alikuwa na mpango wa kuiacha CHADEMA na kuhamia CCM,na kabla ya kuhama alikuwa amepanga kuanika wazi wazi yale ya CHADEMA na ugomvi wao.

na lengo la kusambazwa kwa waraka ule kwa viongozi wa CCM ilikuwa ni kujiandaa na kumpokea Marehemu chacha Wangwe.

Masikini Chacha wangwe umetutoka kabla ya kueleza ukweli

Ukweli gani?
 
My brothers and sisters, now you can see what happening now, it something which could have been confidentially arranged by a group of people who wouldn't like to hear any pessimism relating to them. There are many questions which we suppose to raise ourselves about this issue, Why CCM own that document of the late Wangwe and who bestowed them those documents and For what?
If we CCM will be able to provide the precisely answers to those questions then we will know the starting point. If we are not going to be watchful, we won't able to pass through the hands of wickedness.
 
I can remember the era of bob marley once he said you can not fooll all fuools all of the time. He meant that people are not that much fool to be deceived all off the time. Chonde! Chonde! Viongozi wetu. Timizeni ahadi zenu kwa wananchi. Si wakyima bali wanajipanga wawatokee vipi.
 
Last edited:
Eh!!! Kumbe CHADEMA mkwara wote huo chadema ni CCM B!!! nimwage data?


mbona unafanya mchezo, kama unazo mwaga kama huna basi, watishia nyau eeh....kama vile unacheza na watoto.
Na hii isijekuwa chokoachokoa tena kuvuruga uchaguzi 2010, huwa mnaanza hivi hivi mwisho wa siku CCM ushindi wa chee.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom