Mugo"The Great"
JF-Expert Member
- Oct 7, 2007
- 262
- 25
"mbowe lazima aongee muda mrefu na kuvaa magwanda ya mgambo ili apate muda wa kujieleza JK alikua na MANEFESTO mbowe hana,JK alikua anaendeleza manefesto na dira ya ccm mbowe hana na jk aliamini anawaelewesha wenye kuelewa hakujua wapo wanaopenda aongee muda mrefu ili uweze kuelewa"
JK mwenyewe alikuwa amekariri ILANI au alikuwa haelewi anasema nini. Mojawapo ya ushahidi ni kushindwa kuelewa kuwa yeye ndiye alikuwa kinara wa kunadi hoja ya Kadhi ambayo leo anakanusha kuhusika nayo. Nashindwa kumuelewa kwanini alikuwa makini kunadi ilani asiyoimani '
"ASHA GO TO SCHOOL pia inawezekana walioandika kua JK anshangaa umaskini walichukua kipengele cha maneno yake ili kiweze kuwafurahisha wapenda mipasho kama ww thats why my first comment ulifananisha na mipasho inawezekana ikaw ni intrest yako"
Tafadhali tujenge hoja kuliko kushambuliana, huwezi kumwambia mwenzako arudi shule, wakati hata wewe huna uhakika na unachokiandika. Nini maana ya neno inawezekana? Inaonyesha hata wewe umesukumwa na hisia tu.
"Jiulize rai linafikaje kwetu KANTARAMBE,au SHIRATI,MASIKE,NYAKARERE,INGRI,KIROGO etc ambako ilani ya ccm imefika through ofisi za matawi au through mabalozi wa nyumba kumi."
Ni kweli ilani ya CCM imefika maeneo yote hayo, hata mimi naongezea Ushokola, Chakabwimba, Vudee, Mugumu na maeneo mengine mengi tu kupitia "fedha" za walalahoi zinazopatikana kupitia mikataba ya kisanii. Mtoa hoja hii najua umeisoma vizuri sana ILANI hiyo, sasa naomba uniambie ni asilimia ngapi ya mambo yamekwishatekelezwa ndani ya hii miaka miwili.
"Imekua ni agenda yako binafsi kila ukiandika bila kutaja KIKWETE LOWASA ROSTAM MAKAMBA gazeti halijaenda kiwandani"
Ni kweli hili unalolisema, lakini kumbuka kuwa waandishi wanajua wananchi wamepigika sana hivyo wananunua habari yoyote ambayo wanadhani itawaonyesha kwanini wananendelea kupigika wakati wanaona kuwa Viongozi wao wanaishi maisha ya kusadikika. Lazima JK,EL na timu waulizwe kwa sababu waliapa kufanya kazi kwa maslahi ya Watanzania wote.
"Ndugu zangu fikieni mahali uzalendo usitafsiriwe vibaya nashauri KUBENEA na watu kama STEPHEN RAMADHANI,NDIMARA kueni more objective kujenga TAIFA hili na specifically kubenea nakua na shaka na elimu au uwezo wa kufikiri na kama unatumiwa angalia usije kuharibu UTU wako"
Hapa tusidanganyane, magazeti ya Uhuru, Mzalendo, Rai, Mtanzania n.k. sasa hivi hayana tofauti na Mwanahalisi. Yamekuwa yanaendekeza proganda za CCM kiasi kuwa hata issue ndogo tu, utasoma "JK avunja rekodi, kuileta Real Madrid n.k Tutafika kweli?
JK mwenyewe alikuwa amekariri ILANI au alikuwa haelewi anasema nini. Mojawapo ya ushahidi ni kushindwa kuelewa kuwa yeye ndiye alikuwa kinara wa kunadi hoja ya Kadhi ambayo leo anakanusha kuhusika nayo. Nashindwa kumuelewa kwanini alikuwa makini kunadi ilani asiyoimani '
"ASHA GO TO SCHOOL pia inawezekana walioandika kua JK anshangaa umaskini walichukua kipengele cha maneno yake ili kiweze kuwafurahisha wapenda mipasho kama ww thats why my first comment ulifananisha na mipasho inawezekana ikaw ni intrest yako"
Tafadhali tujenge hoja kuliko kushambuliana, huwezi kumwambia mwenzako arudi shule, wakati hata wewe huna uhakika na unachokiandika. Nini maana ya neno inawezekana? Inaonyesha hata wewe umesukumwa na hisia tu.
"Jiulize rai linafikaje kwetu KANTARAMBE,au SHIRATI,MASIKE,NYAKARERE,INGRI,KIROGO etc ambako ilani ya ccm imefika through ofisi za matawi au through mabalozi wa nyumba kumi."
Ni kweli ilani ya CCM imefika maeneo yote hayo, hata mimi naongezea Ushokola, Chakabwimba, Vudee, Mugumu na maeneo mengine mengi tu kupitia "fedha" za walalahoi zinazopatikana kupitia mikataba ya kisanii. Mtoa hoja hii najua umeisoma vizuri sana ILANI hiyo, sasa naomba uniambie ni asilimia ngapi ya mambo yamekwishatekelezwa ndani ya hii miaka miwili.
"Imekua ni agenda yako binafsi kila ukiandika bila kutaja KIKWETE LOWASA ROSTAM MAKAMBA gazeti halijaenda kiwandani"
Ni kweli hili unalolisema, lakini kumbuka kuwa waandishi wanajua wananchi wamepigika sana hivyo wananunua habari yoyote ambayo wanadhani itawaonyesha kwanini wananendelea kupigika wakati wanaona kuwa Viongozi wao wanaishi maisha ya kusadikika. Lazima JK,EL na timu waulizwe kwa sababu waliapa kufanya kazi kwa maslahi ya Watanzania wote.
"Ndugu zangu fikieni mahali uzalendo usitafsiriwe vibaya nashauri KUBENEA na watu kama STEPHEN RAMADHANI,NDIMARA kueni more objective kujenga TAIFA hili na specifically kubenea nakua na shaka na elimu au uwezo wa kufikiri na kama unatumiwa angalia usije kuharibu UTU wako"
Hapa tusidanganyane, magazeti ya Uhuru, Mzalendo, Rai, Mtanzania n.k. sasa hivi hayana tofauti na Mwanahalisi. Yamekuwa yanaendekeza proganda za CCM kiasi kuwa hata issue ndogo tu, utasoma "JK avunja rekodi, kuileta Real Madrid n.k Tutafika kweli?