Mpita Njia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 6,997
- 1,163
Kama alishindwa kupigania demokrasia ndani ya Chadema, angeweza akiwa CCM? if it is true that alitaka kuhamia CCM, anajionyesha jinsi ambavyo alivyo
Na ingekuwa ni vyema Makamba akajibu a kuhusu hili la Wangwe kutaka kuhamia CCM.Hii ni habari nene..
Nimeambiwa habari hii iko katika Gazeti la Raia mwema la leo,nimemwambia jamaa aliscan na anitumie..
Kama alishindwa kupigania demokrasia ndani ya Chadema, angeweza akiwa CCM? if it is true that alitaka kuhamia CCM, anajionyesha jinsi ambavyo alivyo
Kwani marehemu alikuwaje?
Tumeanza "kusingizia" hata waliofariki? Ngoja tulisubiri RAIA MWEMA, mimi naliamini gazeti hili. Kaka wa marehemu Chacha Wangwe, Prof. Samwel Wangwe ni MNEC wa CCM na alikuwa na ushawishi mkubwa kwa mdogo wake.
Wewe Mwananchi Wa Tanzania Mbona Kila Siku Tunaongelea Upande Mmoja Tu Wa Kuhukumu Hawa Wapendwa Wetu Hata Siku Moja Hatutoi Suluhisho Ya Matatizo Ya Nchi Yetu ? Mimi Naona Hii Haifai Sasa Tuanze Tulalamike Halafu Chini Tuandike Suluhisho La Matatizo Haya Nafikiri Itakuwa Ni Nzuri Sana Kwa Jukwaa Tuanze Na Wewe Uliyanzisha Mada Hii
Kuhusu kuwa Prof.alikuwa na ushawishi kwa mdogo wake sio kweli kwani walikuwa na ugomvi wao na walikuwa hata hawasalimiani.
Msisahau taarifa zilizosema marehemu lionekana akiingia katika chumba cha Rostam Aziz kwa mazungumzo yasiyofahamika mpaka sasa.
Mk,
haya yametoka CCM imetoka wapi tena?mie nilikuwa naomba uweke yale maneno yako uliyosyasema katika ile thread ya kumkashfu wangwe baada ya kusimamishwa na CHADEMA,uliongea maneno mengi sana na mojawapo ni la RA kukutana na Marehemu chacha..
Embu tueleze waliongea nini
Mk,
haya yametoka CCM imetoka wapi tena?mie nilikuwa naomba uweke yale maneno yako uliyosyasema katika ile thread ya kumkashfu wangwe baada ya kusimamishwa na CHADEMA,uliongea maneno mengi sana na mojawapo ni la RA kukutana na Marehemu chacha..
Embu tueleze waliongea nini
Una uhakika walikuwa hawasalimiani?MK wewe ulimkandia sana Marehemu chacha kipindi kile cha azimio la Moshi,sasa uliwezaje kujua ya Chacha na samwel?