Magabe Kibiti
JF-Expert Member
- Jan 20, 2008
- 292
- 2
Mhe.Gosheni,
unasema ukweli, hii JF imeingiliwa sana na CHADEMA. Ona thread inayopasua jipu ilivyozua mambo hapa hadi ikaamishwa.Vile vile mtu akiweka hoja yoyote inayohusu chama kingine inapondwa utadhani ni wananchi wenye hasira wanamponda kibaka.
Lakini ukweli ni kwamba;
Freeman Mbowe na Wilbroad Slaa ni wanachama hai wa CCM, sasa hivi wanahaha kwa sababu kuna mswada wa marekebisho ya sheria ya vyama unapelekwa bungeni, mswada huo unapiga marufuku mtu kuwa mwanachama wa vyama viwili tofauti, waheshimiwa hao wanalengwa hapo.
Aidha katika ishu ya Tarime, Chambiri kada wa CCM alikuwa financier mkuu wa kambi ya CHADEMA. unajua nini, ndani ya CCM wakikorofishana, wanashindana kwa kuitumia chadema, CCM B yao
kanusheni basi wanachadema
Wewe Waridi usitake kumharibia maisha Kisyeri Chambiri kwenye mtandao na makundi ya CCM. Ina maana unataka kusema kuwa watu wa Tarime hawana uwezo wa kuamua mambo yao mpaka wapewe pesa na Chambiri?
Wewe unaijua Tarime kweli?