The same thing alichofanya Makamba na Msekwa. Je hii inawafanya Makamba na Msekwa waqualify kuwa wanaccm wanaofanyia siasa zao Tarime?
Nafasi zao ndani ya CCM.
The same thing alichofanya Makamba na Msekwa. Je hii inawafanya Makamba na Msekwa waqualify kuwa wanaccm wanaofanyia siasa zao Tarime?
Nafasi zao ndani ya CCM.
The same thing kwa nafasi ya Gachuma ndani ya CCM, au umeisahau?
Ni ndogo ukilinganisha na hao. Wa- NEC wa CCM ni zaidi ya 200!
Waridi ina maana wale waliotoka Upinzani na kurudi CCM na sasa wengine Mawaziri bado ni wanachama wa vyama upinzani kwa vile tu waliwahi kuwa wapinzani au hii standard inawahusu waliotoka CCM na kuingia upinzani tu kama kina Dr. Dan.. ?
Mzee,
Umetumia neno sahihi kabisa, wanarudi CCM, mzee naamini kwa upeo wako unafahamu tabia ya defectors wote katika politics za Tanzania, wanachomoka kwenda kutafuta tiketi ya ubunge kisha wanarudi home kwao (ccm) kwa uthibitisho wanaanika kadi zao za vyama walivyovitembelea, Dr Slaa uliona hakurejesha kadi ya CCM
unazunguka pale pale. Alichofanya Gachuma Tarime ni sawa na kile alichokuwa anafanya Makongoro, Makamba, Msekwa, na wana ccm wengine. Hakuna kitu kinachokuza uwepo wake Tarime zaidi ya viongozi wengine wa CCM walokuja kugombea jimbo.
Unaikataza akili yako kuuona ukweli. Kama ulibahatika kuwepo Tarime wakati wa kampeni utakuwa uliona na kusikia kuhusu Gachuma/Chambiri kwenye kinyang'anyiro hiki.
Sina sababu ya kubahatika kuwepo Tarime (kama wewe?). Mimi nimezaliwa na kukulia Tarime. Hayo unayoyasema unajua mwenyewe unakoyatoa. Chambiri amekuwa mwanachama wa CCM kwa miaka mingi sasa. Baba yake alikuwa ni kiongozi wa serikali ya Nyerere na rafiki mkubwa sana wa Nyerere. Kisyeri na Enock AKA Mwita walikuwa supporters wakubwa wa CCM Tarime na walisaidia sana kampeni ya Kikwete.
Mambo ya kutaka kumchonganisha Chambiri na wana ccm wenzake kwa habari za udaku na uongo hayatakiwi kupewa nafasi hapa JF.
He, mshamwingiza na Nyerere hapa, semeni basi kuhusu urafiki wa Mbowe Sr na Nyerere
Hata Mwalimu aliwahi kusema CCM haikuwa MAMA yake. Uzuri mmoja wa Uongozi wa CCM huwa unatathimini kwa kina matokeo ya chaguzi kama hizi. Na tusubiri tathmini hiyo ya Tarime.
aha haa,
kumbe ulijuwa kuwa unasubiri tathmini ya CCM Tarime? Huu udaku na uzushi dhidi ya Chambiri ni wa nini sasa?!!!!??
CCM kama watakuwa wakweli, tunayoyaandika hapa yatajidhihirisha. Makundi ndani ya CCM yapo na yanaitafuna taratibu.
kwa hiyo unakubali kuwa kilichoandikwa hapa dhidi ya Chambiri ni udaku na uzushi?
Hapana. Kwani ukweli ni mpaka uandikiwe na nani?
Ukweli una thibitishwa na ushahidi bila kujali nani kaandika. Je una ushahidi wa Chambiri kutoa pesa Tarime ili CCM ishindwe? Kama huna huo ushahidi, je uko tayari kusema kuwa hii habari ni udaku na uzushi?
Hela za UCHAGUZI hazitolewi kama michango ya harusi, kujenga madarasa,...
Nafasi Chambiri ndani ya CCM isingemruhusu kuonyesha kila kitu hadharani.
kwa hiyo hili jibu lichukuliwe kumaanisha kuwa hauna ushahidi wa hii habari?
Nasimamia kwa dhati yote niliyoyaandika kwenye thread hii.