CHADEMA vs CCM: Nani Mbabaishaji?

Hii kali, yaani kuna watu wa CCM na watu wa ROSTAM? Naomba ufafanuzi..
Kuna watu wa CHADEMA na Mbowe pia.

MK,

ile thread nimeshaomba sana irudishwe na nimeitafuta siioni,nina uhakika itakuwa imetolewa baadhi ya maneno.Mpka sasa hauna usafi wowote wa kumzungumzia Wangwe kwa kuwa ullimtusi zaidi ya ubinadamu na ulifurahi sana kwa yeye kusimamishwa na ukautetea kwa dhati uamuzi wa watu wanokula Pesa za Ruzuku ya CHADEMA na wapendao mambo ya ukabila CHADEMA
 
Heshima Mbele,

Kwa mujibu wa habari nilizozipata toka Nyumbani Tanzania,na zimeandikwa katika moja ya magazeti ya leo huko Nyumbani ni kwamba Marehemu Chacha Wangwe alikuwa na mpango wa kuiacha CHADEMA na kuhamia CCM,na kabla ya kuhama alikuwa amepanga kuanika wazi wazi yale ya CHADEMA na ugomvi wao.

na lengo la kusambazwa kwa waraka ule kwa viongozi wa CCM ilikuwa ni kujiandaa na kumpokea Marehemu chacha Wangwe.

Masikini Chacha wangwe umetutoka kabla ya kueleza ukweli

Hapa ndio maana naamini kuwa kuna umuhimu mkubwa wa kufuatilia nyendo zote za Marehemu Chaha Wangwe kwa muda wa wiki mbili ama hata mwezi kabla ya "ajali" ilipomkuta. Ni muhimu kujua kila aliyeongea naye na kama kuna link na hizi siasa zinazoendelea ni muhimu kuwabana kujua waliyokuwa wakiongelea, ni mantiki ya makutano yao na nini kilijiri baadaye

Vilevile ni muhimu kuangalia account za Mallya na hata za Mheshimiwa....Kwa Mallya ni kudetect fedha zisizoeleweka lakini pia kujua mahusiano yao ya Marehemu yalianza lini na yalikuwa katika hali gani. Maana nasikia kuwa Marehemu alikuwa na tabia ya kuamini sana watu na kuingia nao ubia wa kibiashara. Kwake yeye zaidi ilikuwa kuwawezesha wahangaikaji wenzake.

Vilevile kama CCM walikuwa wameshamshawishi kuingia huko kitu ambacho sikiamini kwa kutambua mazingira ya kisiasa ya TARIME na chuki yao dhidi ya CCM na Serikali na pia msiamamo wa awali wa Marehemu kuamaua kutumia vikao vya chama...lakini pia CCM kuna utamaduni wa kuwapatia wanaoasi vyama vyao TAKRIMA ambayo mara nyingi huwa kuanzia millioni 20 kuenda mbele. Mzee Wassira, Msabaha aliyekuwa CUF, Kaborou ni ushahidi mzuri katika hili.

Kwa wanaohoji ni kuhusu marehemu kuwa hapo zamani alikuwa RASTA ni kweli alikuwa nazo na hata alipkuwa Mbunge alikuwa na tabia ya kutembea na picha akiwa na RASTA na kule Tarime ni maarufu kama CHACHA Rasta. Marehemu alilazimika kuondoa Rasta kwa ushauri ama shinikizo la MWALIMU NYERERE alipokuwa anataka ushauri wake ili yeye ajiunge na harakati za siasa.....Hata hivyo marehemu alibaki kuwa muumini mkubwa wa falsafa za Kirasta wakati wote na hiyo ndiyo naweza kusema kuwa ilikuwa msingi mkubwa wa fikira na matendo yake daima.....Hata wakati wa kifo cha Lucky DUbe alisimama bungeni kuwatakia kuangana na kuwatakia pole maJAH wote duniani.

Kuhusu Prof Wangwe ni kweli yeye ni mwanachama wa CCM na pia aliwahi kugombea ubunge wa Afrika Mashariki kupitia CCM ambapo yeye pamoja na mama KABAKA walikuwa wanamlaumu Marehemu CHACHA kwa kitendo chake cha kuungana na wenzake wa CUF na kina Zitto kususia uchaguzi ule kama sababu ya yeye Prof Wangwe kushindwa. Hivi sasa ni mjumbe wa NEC ya CCM na pia kuna madai kuwa kuingia kwake kwenye siasa kulichangiwa na siasa za Marehemu Wangwe ambaye ni mdogo wake kwa UBINAMU.

Hawakuwa karibu kama watu wanavyodai hapa lakini Prof Wangwe naweza kusema ndio mu pekee aliyeweza kutumia busara zake kupunguza jazba na propaganda zilizokuwa zinaitafuna familia kidogokidogo.

Kuna madai kuwa msimamo wa sasa ni kujitahidi kuendana na muono wa baadhi ya wanafamilia ambao walifikia kumshambulia kuwa amepewa hongo kusema kuwa kifo cha CHACHA RASTA kilikuwa cha ajali ya kawaida. Wapo wafanyao hivyo kwa maslahi ya kisiasa na ya binafsi na wapo wafanyayo hivyo kwa mashaka halisi kabisa yaliyojengeka katika fikira zao ambao mimi pia naungana nao mkono.

Tanzanianjema
 
kwa jinsi habari zinavyokwenda .....inaonyesha kama wangwe alikuwa na sifa kadhaa ambazo hatukuzijua.
 
Heshima Mbele,

Kwa mujibu wa habari nilizozipata toka Nyumbani Tanzania,na zimeandikwa katika moja ya magazeti ya leo huko Nyumbani ni kwamba Marehemu Chacha Wangwe alikuwa na mpango wa kuiacha CHADEMA na kuhamia CCM,na kabla ya kuhama alikuwa amepanga kuanika wazi wazi yale ya CHADEMA na ugomvi wao.

na lengo la kusambazwa kwa waraka ule kwa viongozi wa CCM ilikuwa ni kujiandaa na kumpokea Marehemu chacha Wangwe.

Masikini Chacha wangwe umetutoka kabla ya kueleza ukweli

Watu sasa watasema kila kitu wanachoweza kusema. Ni mbunge gani wa Tanzania amewahi kuhama chama kabla ya muda wa bunge kuisha? Kwa kuhama Wangwe angepoteza ubunge kitu ambacho kwa TZ ni ngumu sana.

Hata Mrema alihama dakika ya mwisho na akawahi kipindi cha kuteua wagombea urais.
 
CCM lazima watuambie ukweli hapa hii si bure they should also be interrogated watoe ukweli wao na Makamba anairuka Fax ya ofisini kwake ni dalili ya mchezo mchafu.
 
According to one interview he had on tv, He was asked about him kuhamia CCM,
akasema yeye ameingia chadema kwa maamuzi yake!... Alisema kwamba amekuwa mpinzani since alivyoanza siasa!
 
huyu jamaa JK kwa kweli amekuwa mpole sana hasa kwa upande wa mafisadi wakubwa ambao ndio wanaokifadhili chama chao.
mambo haya ya kuoneana haya yanatupeleka pbaya sana na tusipoangalia tutakuja jutia huko mbeleni
 
Kama Katibu mkuu wa CCM ni Makamba nini kisichowezekana?

Kama mwenyekiti wa Kamati ya Maadili ya CCM ni Chenge ,nini kisichowezekana?

Kama wajumbe wa Kamati Kuu ya CCM ni KIKWETE,MAKAMBA,ROSTAM,LOWASSA,CHENGE,nini kisichowezekana?
naona umegundua kwamba wao wanweza kila kitu..sasa nini kifanyike ili wasiweze?
 
Ndo mtaona umuhimu wa kubana yule kijana mpaka aeleze ukweli kuhusu kilichotokea na utata wa maisha yake kwani hapo siri zote ndo zitaibuka kama CCM waliusika au ni CHADEMA wenyewe kwenye kupanga hiyo ajari.
 
Kuhusu kuwa Prof.alikuwa na ushawishi kwa mdogo wake sio kweli kwani walikuwa na ugomvi wao na walikuwa hata hawasalimiani.

Kumbuka kilichotokea wakati wa uchaguzi wa Bunge la E.A pale marehemu alipokataa kumpa kura ndugu yake na hata ikamfanya wakati wa kumpigia kura Prof. Alitoka nje ya Bunge na zoezi lilipomalizika alirudi ndani.

Kuhusu kuhamia CCM , Tuendelee kulifuatilia ,ila najua kuwa alikuwa tayari amewekea mikataba ya kuishambulia na kuisambaratisha CHADEMA na CCM ndio maana kuna haya mapya yanajitokeza sasa kutokea huko CCM/.

Mimi hapa ndio nachoka kabisa.

Ningependa kuuliza je RIP CHACHA huo mkataba na CCM alikua ameshauingia ama aliukataa??
 
Hapa ndio maana naamini kuwa kuna umuhimu mkubwa wa kufuatilia nyendo zote za Marehemu Chaha Wangwe kwa muda wa wiki mbili ama hata mwezi kabla ya "ajali" ilipomkuta. Ni muhimu kujua kila aliyeongea naye na kama kuna link na hizi siasa zinazoendelea ni muhimu kuwabana kujua waliyokuwa wakiongelea, ni mantiki ya makutano yao na nini kilijiri baadaye

Vilevile ni muhimu kuangalia account za Mallya na hata za Mheshimiwa....Kwa Mallya ni kudetect fedha zisizoeleweka lakini pia kujua mahusiano yao ya Marehemu yalianza lini na yalikuwa katika hali gani. Maana nasikia kuwa Marehemu alikuwa na tabia ya kuamini sana watu na kuingia nao ubia wa kibiashara. Kwake yeye zaidi ilikuwa kuwawezesha wahangaikaji wenzake.

Vilevile kama CCM walikuwa wameshamshawishi kuingia huko kitu ambacho sikiamini kwa kutambua mazingira ya kisiasa ya TARIME na chuki yao dhidi ya CCM na Serikali na pia msiamamo wa awali wa Marehemu kuamaua kutumia vikao vya chama...lakini pia CCM kuna utamaduni wa kuwapatia wanaoasi vyama vyao TAKRIMA ambayo mara nyingi huwa kuanzia millioni 20 kuenda mbele. Mzee Wassira, Msabaha aliyekuwa CUF, Kaborou ni ushahidi mzuri katika hili.

Kwa wanaohoji ni kuhusu marehemu kuwa hapo zamani alikuwa RASTA ni kweli alikuwa nazo na hata alipkuwa Mbunge alikuwa na tabia ya kutembea na picha akiwa na RASTA na kule Tarime ni maarufu kama CHACHA Rasta. Marehemu alilazimika kuondoa Rasta kwa ushauri ama shinikizo la MWALIMU NYERERE alipokuwa anataka ushauri wake ili yeye ajiunge na harakati za siasa.....Hata hivyo marehemu alibaki kuwa muumini mkubwa wa falsafa za Kirasta wakati wote na hiyo ndiyo naweza kusema kuwa ilikuwa msingi mkubwa wa fikira na matendo yake daima.....Hata wakati wa kifo cha Lucky DUbe alisimama bungeni kuwatakia kuangana na kuwatakia pole maJAH wote duniani.

Kuhusu Prof Wangwe ni kweli yeye ni mwanachama wa CCM na pia aliwahi kugombea ubunge wa Afrika Mashariki kupitia CCM ambapo yeye pamoja na mama KABAKA walikuwa wanamlaumu Marehemu CHACHA kwa kitendo chake cha kuungana na wenzake wa CUF na kina Zitto kususia uchaguzi ule kama sababu ya yeye Prof Wangwe kushindwa. Hivi sasa ni mjumbe wa NEC ya CCM na pia kuna madai kuwa kuingia kwake kwenye siasa kulichangiwa na siasa za Marehemu Wangwe ambaye ni mdogo wake kwa UBINAMU.

Hawakuwa karibu kama watu wanavyodai hapa lakini Prof Wangwe naweza kusema ndio mu pekee aliyeweza kutumia busara zake kupunguza jazba na propaganda zilizokuwa zinaitafuna familia kidogokidogo.

Kuna madai kuwa msimamo wa sasa ni kujitahidi kuendana na muono wa baadhi ya wanafamilia ambao walifikia kumshambulia kuwa amepewa hongo kusema kuwa kifo cha CHACHA RASTA kilikuwa cha ajali ya kawaida. Wapo wafanyao hivyo kwa maslahi ya kisiasa na ya binafsi na wapo wafanyayo hivyo kwa mashaka halisi kabisa yaliyojengeka katika fikira zao ambao mimi pia naungana nao mkono.

Tanzanianjema

Once again..Msimamo wa Rasta mara nyingi tunaelewa ni wa upande wa wanyonge...Je marehemu msimamo wake uliendana na vitendo vyake?
Je ni nani aliyekuwa kinyume na msimamo huo bila hata ya kukaa chini na kuongea kama ni kweli aliyapenda maslahi ya Taifa?
 
Once again..Msimamo wa Rasta mara nyingi tunaelewa ni wa upande wa wanyonge...Je marehemu msimamo wake uliendana na vitendo vyake?
Je ni nani aliyekuwa kinyume na msimamo huo bila hata ya kukaa chini na kuongea kama ni kweli aliyapenda maslahi ya Taifa?

RASTA MAREHEM ndiye alikua upande wa wanyonge.
-Alifungwa jela kwa kuhamasisha wananchi wapate haki yao ktk swala la ardhi wakati yeye hakua na ardhi ya kufidiwa.

-Amepigania haki ndani ya CHADEMA ili masikini walioiwezesha CHADEMA nao kupata ruzuku hiyo badala ya kuishia makao makuu.

_Mda wote wa maisha yake amepingana na ubwanyanya wa CCM na CHADEMA.
 
what was the exchange, kuhamia CCM na Wangwe apate nini?

MKJJ kwenye mahojiano yetu nilikwambia mwalimu ni muumini wa Bob Marley...Unaona mambo haya sasa?
Kwa wanao hoji kuhusu marehemu kuwa hapo zamani alikuwa RASTA ni kweli alikuwa nazo na hata alipokuwa Mbunge alikuwa na tabia ya kutembea na picha akiwa na RASTA na kule Tarime ni maarufu kama CHACHA Rasta.

Marehemu alilazimika kuondoa Rasta kwa ushauri ama shinikizo la MWALIMU NYERERE alipokuwa anataka ushauri wake ili yeye ajiunge na harakati za siasa.....

Hata hivyo marehemu alibaki kuwa muumini mkubwa wa falsafa za Kirasta wakati wote na hiyo ndiyo naweza kusema kuwa ilikuwa msingi mkubwa wa fikira na matendo yake daima.......

Hata wakati wa kifo cha Lucky DUbe alisimama bungeni kuwatakia kuangana na kuwatakia pole maJAH wote duniani.

Tunaomba na picha zake akiwa na RASTA ZIWEKWE HAPA.
 
RASTA MAREHEM ndiye alikua upande wa wanyonge.
-Alifungwa jela kwa kuhamasisha wananchi wapate haki yao ktk swala la ardhi wakati yeye hakua na ardhi ya kufidiwa.

-Amepigania haki ndani ya CHADEMA ili masikini walioiwezesha CHADEMA nao kupata ruzuku hiyo badala ya kuishia makao makuu.

_Mda wote wa maisha yake amepingana na ubwanyanya wa CCM na CHADEMA.

Kwahiyo ni wazi kuwa ccm na chadema wako responsible kwa kifo cha RASTA...Basi TAIFA LIKO HATARINI...NA usishangae kila mtu akafuga RASTA!
 
This is shear madness and has no thread of truth. hii mada lazima imeanzishwa kwa nia mbovu na wapenzi wa Chama cha Mafisadi. CaCa Wangwe@rasta, asingeweza kuhamia CCM under whatever circumstances. Hili CCM wanalijua na hata ndugu zake wanalijua hili.
 
Siku Zote watu wenye RASTA iwa ni watetezi sana wa wanyonge.....na hawa watu sijui kwa nini Mungu iwa anachukua mapema na wale wanao tuumiza na kutukandamiza Mungu anawapa muda mrefu sana wa kuishi.
Chach asingeweza kuhamia CCM hakuwa kiongozi mnafiki kama wengine tunao waona,Hizi ni propaganda kali za CCM.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom