Drat
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 966
- 1,069
Hapa sijahusisha dini na siasa, nilikuwa naku challenge katika morals na principles zako hususan ukiwa Mwislam(basing on your name).Usihusianishe mambo ya dini na siasa, tabia ya kubaguana kidini ni tabia mbovu kabisa, siungani na wewe katika hiyo dhambi.
Lisu kapata alichostahili kukipata kufanya kampeni hadi saa1 usiku unadhani ni sahihi kwa mujibu wa sheria?
Asalaam alaykum
Simamia HAKI...hilo la saa moja lifuatilie vizuri ikiwepo sababu ya kucheleweshwa kwa msafara kulikosababishwa na mamlaka za dola.