Mbona kimyaKwa nini unatufanyia hivi,tayari hapa tu unatujengea dhana kuwa kuna siri kubwa😎
Vipi wewe umekuwa malaika wa zamu au umekuwa nani? Je unapata wapi mamlaka ya kuniita mimi kafir? Hebu kakojoe kwanza jitafakari halafu rudi hapa kujenga hoja achana na mambo ya kutaka kugawa watu kwa dini zao.Wewe ni zaidi ya kafir.
Kama sikusemei wewe namsemea manzi wako, maana wingi unaanzia mbiliSema nitamchagua sio tutamchagua.. Usitusemee wengine
Nakukumbusha tena huyo unayemtetea wewe anasupport Ushoga, sasa jitafakari na uyakumbuke ya SodomaWewe ni zaidi ya kafir.
Umeihusianisha dini wala hupaswi kubishaHapa sijahusisha dini na siasa, nilikuwa naku challenge katika morals na principles zako hususan ukiwa Mwislam(basing on your name).
Simamia HAKI...hilo la saa moja lifuatilie vizuri ikiwepo sababu ya kucheleweshwa kwa msafara kulikosababishwa na mamlaka za dola.
Bas uwezo wako umeishia hapa umerihidhisha ukilaza wako ukiandamana na wajinga 9 kubali kua wa 10..Kama sikusemei wewe namsemea manzi wako, maana wingi unaanzia mbili
Sisi watanzania wote.Sema wewe. Ndio utachagua chama chakavu sio sisi!