CHADEMA pelekeni taarifa kwa Spika mubashara, mmeilinda vyema heshima ya chama chenu

Baada ya kugoma kwenda kwenye KK ya chama chao, bado walikuwa na mwaka mzima wa kurekebisha makosa yao, bahati mbaya wakadhani watapata uungwaji mkono kwa ule uhuni wao.

Hawa hawastahimili msamaha, kama mwaka mzima na zaidi waliokuwa bungeni hasakutambua makosa yao, inaonesha walivyo na viburi kwa kusimamia walichokiamini licha ya kwenda kinyume na maazimio ya chama chao.
 
Mimi si mwanachama wa CHADEMA. Ni mwanachama wa CCM tangu miaka ya 80 nilipohitimu Chuo Kikuu. Tangu kumaliza utumishi wangu ndani ya Serikali na chama, nimebakia kuwa mwanachama mtiifu wa chama changu-nikishirikishwa mipango mbalimbali ya kichama na kiserikali katika kushauri na kuitekeleza kupitia vijana wetu chamani. Nimekuwa wakati wote mfuata utaratibu na kuwa na nidhamu kwa CCM yangu ingawa huusema ukweli.

Chama ni kikubwa kuliko mtu au watu fulani. Hakuna awaye yeyote, mwanachama wa CCM au chama kingine cha siasa, ambaye ni mkubwa kuliko chama. Mtu huwa na nguvu ya kuongea na kutenda kupitia chama, nje ya chama chake mtu huyo si kitu. Katika muktadha huo, kila mwanachama wa chama huulinda UANACHAMA wake kwa nguvu kubwa. Huulinda kwa kuwa na nidhamu-hata iliyochanganyika na woga; hekima, utii na busara. Masikio huwa hayakizidi kichwa!

Nikiwa huku Kigoma, nimefuatilia Mkutano wa Baraza Kuu la CHADEMA uliofanyika Mlimani City huko Dar es Salaam. Nilizifuatilia ajenda zake lakini kubwa ni kuwahusu akina-Halima Mdee na wenzake 18. Baraza Kuu limeridhia kufukuzwa kwao uanachama wa CHADEMA na Kamati Kuu ya chama hicho. Yaani, Baraza Kuu limetupilia mbali rufaa za yeyote kati yao ambaye alipinga uamuzi wa Kamati Kuu. Sasa wamefukuzwa na Mamlaka ya juu kabisa ya CHADEMA.

Kama mwanasiasa mbobevu na mpenda demokrasia, uamuzi juu ya akina Halima Mdee NIMEUFURAHIA na NAUPONGEZA. Sababu yangu ni ujumbe unaobebwa na uamuzi huo: nidhamu kwanza, umaarufu baadaye. Wahusika walipaswa kujishusha kabla ya jana. Kusimama katika ubatili na kuutetea kumewaponza. Sasa wamevuna walichopanda. Watetezi wao Serikalini na Bungeni hawapo na hawawezi kuwasaidia tena. Heshima na nidhamu ni vitu vya bure. Hakuna mkubwa kuliko chama chake!

Nawashauri CHADEMA, siku watakayopeleka taarifa ya kufukuzwa uanachama kwa akina Halima Mdee, walifanye jambo hilo mubashara. Hatutaki tena kumsikia Spika au Katibu wa Bunge akikana kupokea barua ya CHADEMA. Hatutaki kuona tena jambo hili linaendelea. Taarifa ipelekwe Bungeni; Spika awaondoe akina Halima Mdee Bungeni halafu CHADEMA waamue kupeleka Wabunge wengine wa viti maalum au la.

Royal Tour!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Ujiji, Kigoma)
Umesema vyema.
Lakini Kule kupigwa chenga za kwamba taarifa sinjapewa nk zilikuwa hila za spika yule muovu akishirikiana Kwa karibu na mwendazake.
Ila tahadhari ni muhimu hata hii spika iliyopo sii ya kuwekeza dhamana.
 
Mimi si mwanachama wa CHADEMA. Ni mwanachama wa CCM tangu miaka ya 80 nilipohitimu Chuo Kikuu. Tangu kumaliza utumishi wangu ndani ya Serikali na chama, nimebakia kuwa mwanachama mtiifu wa chama changu-nikishirikishwa mipango mbalimbali ya kichama na kiserikali katika kushauri na kuitekeleza kupitia vijana wetu chamani. Nimekuwa wakati wote mfuata utaratibu na kuwa na nidhamu kwa CCM yangu ingawa huusema ukweli.

Chama ni kikubwa kuliko mtu au watu fulani. Hakuna awaye yeyote, mwanachama wa CCM au chama kingine cha siasa, ambaye ni mkubwa kuliko chama. Mtu huwa na nguvu ya kuongea na kutenda kupitia chama, nje ya chama chake mtu huyo si kitu. Katika muktadha huo, kila mwanachama wa chama huulinda UANACHAMA wake kwa nguvu kubwa. Huulinda kwa kuwa na nidhamu-hata iliyochanganyika na woga; hekima, utii na busara. Masikio huwa hayakizidi kichwa!

Nikiwa huku Kigoma, nimefuatilia Mkutano wa Baraza Kuu la CHADEMA uliofanyika Mlimani City huko Dar es Salaam. Nilizifuatilia ajenda zake lakini kubwa ni kuwahusu akina-Halima Mdee na wenzake 18. Baraza Kuu limeridhia kufukuzwa kwao uanachama wa CHADEMA na Kamati Kuu ya chama hicho. Yaani, Baraza Kuu limetupilia mbali rufaa za yeyote kati yao ambaye alipinga uamuzi wa Kamati Kuu. Sasa wamefukuzwa na Mamlaka ya juu kabisa ya CHADEMA.

Kama mwanasiasa mbobevu na mpenda demokrasia, uamuzi juu ya akina Halima Mdee NIMEUFURAHIA na NAUPONGEZA. Sababu yangu ni ujumbe unaobebwa na uamuzi huo: nidhamu kwanza, umaarufu baadaye. Wahusika walipaswa kujishusha kabla ya jana. Kusimama katika ubatili na kuutetea kumewaponza. Sasa wamevuna walichopanda. Watetezi wao Serikalini na Bungeni hawapo na hawawezi kuwasaidia tena. Heshima na nidhamu ni vitu vya bure. Hakuna mkubwa kuliko chama chake!

Nawashauri CHADEMA, siku watakayopeleka taarifa ya kufukuzwa uanachama kwa akina Halima Mdee, walifanye jambo hilo mubashara. Hatutaki tena kumsikia Spika au Katibu wa Bunge akikana kupokea barua ya CHADEMA. Hatutaki kuona tena jambo hili linaendelea. Taarifa ipelekwe Bungeni; Spika awaondoe akina Halima Mdee Bungeni halafu CHADEMA waamue kupeleka Wabunge wengine wa viti maalum au la.

Royal Tour!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Ujiji, Kigoma)
Mzee tupatupa unapoteaga sana.
 
Unatuambia Sisi ili iweje , et Tangu miaka ya 80 nilipomaliza chuo
Siku nyingine ucsome yacio kuhusu hiyo ni tibia ya umbea
20220215_184942.jpg


Sent from my SM-A307FN using JamiiForums mobile app
 
Mimi si mwanachama wa CHADEMA. Ni mwanachama wa CCM tangu miaka ya 80 nilipohitimu Chuo Kikuu. Tangu kumaliza utumishi wangu ndani ya Serikali na chama, nimebakia kuwa mwanachama mtiifu wa chama changu-nikishirikishwa mipango mbalimbali ya kichama na kiserikali katika kushauri na kuitekeleza kupitia vijana wetu chamani. Nimekuwa wakati wote mfuata utaratibu na kuwa na nidhamu kwa CCM yangu ingawa huusema ukweli.

Chama ni kikubwa kuliko mtu au watu fulani. Hakuna awaye yeyote, mwanachama wa CCM au chama kingine cha siasa, ambaye ni mkubwa kuliko chama. Mtu huwa na nguvu ya kuongea na kutenda kupitia chama, nje ya chama chake mtu huyo si kitu. Katika muktadha huo, kila mwanachama wa chama huulinda UANACHAMA wake kwa nguvu kubwa. Huulinda kwa kuwa na nidhamu-hata iliyochanganyika na woga; hekima, utii na busara. Masikio huwa hayakizidi kichwa!

Nikiwa huku Kigoma, nimefuatilia Mkutano wa Baraza Kuu la CHADEMA uliofanyika Mlimani City huko Dar es Salaam. Nilizifuatilia ajenda zake lakini kubwa ni kuwahusu akina-Halima Mdee na wenzake 18. Baraza Kuu limeridhia kufukuzwa kwao uanachama wa CHADEMA na Kamati Kuu ya chama hicho. Yaani, Baraza Kuu limetupilia mbali rufaa za yeyote kati yao ambaye alipinga uamuzi wa Kamati Kuu. Sasa wamefukuzwa na Mamlaka ya juu kabisa ya CHADEMA.

Kama mwanasiasa mbobevu na mpenda demokrasia, uamuzi juu ya akina Halima Mdee NIMEUFURAHIA na NAUPONGEZA. Sababu yangu ni ujumbe unaobebwa na uamuzi huo: nidhamu kwanza, umaarufu baadaye. Wahusika walipaswa kujishusha kabla ya jana. Kusimama katika ubatili na kuutetea kumewaponza. Sasa wamevuna walichopanda. Watetezi wao Serikalini na Bungeni hawapo na hawawezi kuwasaidia tena. Heshima na nidhamu ni vitu vya bure. Hakuna mkubwa kuliko chama chake!

Nawashauri CHADEMA, siku watakayopeleka taarifa ya kufukuzwa uanachama kwa akina Halima Mdee, walifanye jambo hilo mubashara. Hatutaki tena kumsikia Spika au Katibu wa Bunge akikana kupokea barua ya CHADEMA. Hatutaki kuona tena jambo hili linaendelea. Taarifa ipelekwe Bungeni; Spika awaondoe akina Halima Mdee Bungeni halafu CHADEMA waamue kupeleka Wabunge wengine wa viti maalum au la.

Royal Tour!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Ujiji, Kigoma)
Mkuu VUTA-NKUVUTE umemaliza mjadala juu ya hili. Umechambua vema.

Kazi iendelee.
 
Nawashauri CHADEMA, siku watakayopeleka taarifa ya kufukuzwa uanachama kwa akina Halima Mdee, walifanye jambo hilo mubashara. Hatutaki tena kumsikia Spika au Katibu wa Bunge akikana kupokea barua ya CHADEMA. Hatutaki kuona tena jambo hili linaendelea. Taarifa ipelekwe Bungeni; Spika awaondoe akina Halima Mdee Bungeni halafu CHADEMA waamue kupeleka Wabunge wengine wa viti maalum au la.
 
Mimi si mwanachama wa CHADEMA. Ni mwanachama wa CCM tangu miaka ya 80 nilipohitimu Chuo Kikuu. Tangu kumaliza utumishi wangu ndani ya Serikali na chama, nimebakia kuwa mwanachama mtiifu wa chama changu-nikishirikishwa mipango mbalimbali ya kichama na kiserikali katika kushauri na kuitekeleza kupitia vijana wetu chamani. Nimekuwa wakati wote mfuata utaratibu na kuwa na nidhamu kwa CCM yangu ingawa huusema ukweli.

Chama ni kikubwa kuliko mtu au watu fulani. Hakuna awaye yeyote, mwanachama wa CCM au chama kingine cha siasa, ambaye ni mkubwa kuliko chama. Mtu huwa na nguvu ya kuongea na kutenda kupitia chama, nje ya chama chake mtu huyo si kitu. Katika muktadha huo, kila mwanachama wa chama huulinda UANACHAMA wake kwa nguvu kubwa. Huulinda kwa kuwa na nidhamu-hata iliyochanganyika na woga; hekima, utii na busara. Masikio huwa hayakizidi kichwa!

Nikiwa huku Kigoma, nimefuatilia Mkutano wa Baraza Kuu la CHADEMA uliofanyika Mlimani City huko Dar es Salaam. Nilizifuatilia ajenda zake lakini kubwa ni kuwahusu akina-Halima Mdee na wenzake 18. Baraza Kuu limeridhia kufukuzwa kwao uanachama wa CHADEMA na Kamati Kuu ya chama hicho. Yaani, Baraza Kuu limetupilia mbali rufaa za yeyote kati yao ambaye alipinga uamuzi wa Kamati Kuu. Sasa wamefukuzwa na Mamlaka ya juu kabisa ya CHADEMA.

Kama mwanasiasa mbobevu na mpenda demokrasia, uamuzi juu ya akina Halima Mdee NIMEUFURAHIA na NAUPONGEZA. Sababu yangu ni ujumbe unaobebwa na uamuzi huo: nidhamu kwanza, umaarufu baadaye. Wahusika walipaswa kujishusha kabla ya jana. Kusimama katika ubatili na kuutetea kumewaponza. Sasa wamevuna walichopanda. Watetezi wao Serikalini na Bungeni hawapo na hawawezi kuwasaidia tena. Heshima na nidhamu ni vitu vya bure. Hakuna mkubwa kuliko chama chake!

Nawashauri CHADEMA, siku watakayopeleka taarifa ya kufukuzwa uanachama kwa akina Halima Mdee, walifanye jambo hilo mubashara. Hatutaki tena kumsikia Spika au Katibu wa Bunge akikana kupokea barua ya CHADEMA. Hatutaki kuona tena jambo hili linaendelea. Taarifa ipelekwe Bungeni; Spika awaondoe akina Halima Mdee Bungeni halafu CHADEMA waamue kupeleka Wabunge wengine wa viti maalum au la.

Royal Tour!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Ujiji, Kigoma)
uko sawa mkuu ila hili la kupeleka wabunge wapya bado kuna ukakasi wa KUTAMBUA MATOKEO YA UCHAFUZI. cdm wakipeleka wabunge wapya ilhali inajulikana kuwa MATOKEO HAYAJAKUBALIKA .. itatambulika kuwa wameridhia kuwa uchaguzi ulikuwa huru na haki .. je hii iko sawa?
 
uko sawa mkuu ila hili la kupeleka wabunge wapya bado kuna ukakasi wa KUTAMBUA MATOKEO YA UCHAFUZI. cdm wakipeleka wabunge wapya ilhali inajulikana kuwa MATOKEO HAYAJAKUBALIKA .. itatambulika kuwa wameridhia kuwa uchaguzi ulikuwa huru na haki .. je hii iko sawa?
Mkuu kuna msemo wa kuwa kama humuwezi basi muunge mkono.

Cdm sasa inabidi tuingie kwenye siasa za kusikilizana ili tuweze kufanikisha malengo yetu.
 
Mkuu kuna msemo wa kuwa kama humuwezi basi muunge mkono.

Cdm sasa inabidi tuingie kwenye siasa za kusikilizana ili tuweze kufanikisha malengo yetu.
Kwahiyi CDM tunaingiza vifaa vipyaa mjengoni liwalonaliwe
 
Back
Top Bottom