Mzee Kifimbo
Senior Member
- Mar 25, 2007
- 153
- 3
- Thread starter
- #221
Mzee Kifimbo, uwe na ujasiri basi, kwanini unataka mimi nijibu swali lako?
Nimekujibu kule Chadema na Asha, unasema nakutaja nina posts kama 210 naomba ushahidi kuwa kila post nakutaja ktk hizo ngapi nimekutaja? kwani wewe ni nani hapa JF? au kuna classes?