CHADEMA na Udikteta Makao Makuu

Uhhhuuu,

Mgaya, alikuwa CUF ila ni mwenye chuki za kidini na hataki wazo la wenzake CHADEMA Kuweka mgombea kwa sababu za kidini? JF ina data na vichwa. Hebu tumwagie file lake hapa tumchambue huyu mtu anayetaka kuirudisha Tanzania kwenye zama za mawe kwa chuki zake za kidini na kikabila.

MwK,
Cha kwako ni kati ya vile vichwa ambavyo ukivifunua unakuta umbea, uongo, uzandiki na ubishi wa std 2. Eti ukiwakosoa Chadema kwa kuteua wabunge 5 kati 6 kutoka mkoa mmoja, wewe ndie unayekuwa mkosaji kuliko yule anayeitetea hiyo hali. Je huu ni uungwana kweli (namnukuu Mambombotela).

MwK na wanaukumbi kwa ujumla, hapa naweka tena breakdown ya wabunge wa Chadema ili kila mtu aone MwK anacho-defend. I hope na MwK sio Kilimanjaro-line au benefitiary maalum kama mtoto wa Ndesamburo, Lucy Owenya.



Is this fair to the rest of Tanzanians?

Kwa nini isingekua kila mteuliwa akatoka at least mkoa tofauti?? Ugumu unatoka wapi au mikoa mingine haina wanachama wa Chadema wenye sifa?



maulid_sk.gif

Mhe. Maulidah Anna Komu, Kilimanjaro
Mbunge Viti Maalum (2005-2010)



lyimo.gif

Mhe. Susan Anslem Lyimo, Kilimanjaro
Mbunge Viti Maalum (2005-2010)


mdee_sk.jpg

Mhe. Halima James, Kilimanjaro
Mbunge Viti Maalum (2005-2010)


grace3_sk.jpg

Mhe. Grace Sindato Kiwelu, Kilimanjaro
Mbunge Viti Maalum (2000-2010)


lucy.gif

Mhe. Lucy Owenya, Kilimanjaro (Mtoto wa Ndesamburo)
Mbunge Viti Maalum (2005-2010)

mhon2_sk.jpg

Mhe. Mhonga Ruhwanya Said, Others
Mbunge Viti Maalum (2005-2010)
 
MwK,
Cha kwako ni kati ya vile vichwa ambavyo ukivifunua unakuta umbea, uongo, uzandiki na ubishi wa std 2. Eti ukiwakosoa Chadema kwa kuteua wabunge 5 kati 6 kutoka mkoa mmoja, wewe ndie unayekuwa mkosaji kuliko yule anayeitetea hiyo hali. Je huu ni uungwana kweli (namnukuu Mambombotela).

MwK na wanaukumbi kwa ujumla, hapa naweka tena breakdown ya wabunge wa Chadema ili kila mtu aone MwK anacho-defend. I hope na MwK sio Kilimanjaro-line au benefitiary maalum kama mtoto wa Ndesamburo, Lucy Owenya.
'


We kubwa Jinga Jinga,

Mara ngapi uambiwe kuwa Maulidah Anna Komu ni Mzanzibar mwenzetu ili uelewe? Huyu hatoki Kilimanjaro kabisa. Ni mzanzibar halisi wa kuzaliwa. Aliwahi kuhamia kilimanjaro lakini alishaondoka miaka zaidi ya kumi nyuma. Unajua huyu mama historia yake katika CHADEMA? Hivi unaweza kusimama kweli kishujaa na kusema mgombea mwenza wa Urais kuteuliwa viti maalum ni kupendelewa kwa kuwa anatoka kilimanjaro? Unakumbuka Mtikila alimwekea pingamizi kuwa ni asiwe mgombea mwenza kuwa anatoka Kilimanjaro, unakumbuka tume iliamua nini? Tume ilihoji mpaka akili za mtikila kwa kuweka pingamizi la namna hiyo ilihali inajulikana wazi kuwa huyu ni mkazi wa Zanzibar na Dar es salaam kwa miaka mingi iliyopita. Alishaondoka Kilimanjaro na kuna mtu mmoja hapa alishasema aliachika kilimanjaro miaka mingi sana iliyopita. Vipi mngazija mzaliwa wa jirani na kwetu kwa Bijoha akawa wa kutoka Kilimanjaro?

Halafu unawachanganya humo na wakazi wengine wa Dar es salaam kama Halima Mdee walioteuliwa kwa nafasi zao ama Suzan Lyimo aliyeteuliwa kama mwakilishi wa vyuo vikuu toka UDSM wote umeamua kuita ni wateule wa mkoa Kilimanjaro. Endelea tu kupandikiza mbegu ya ubaguzi. Hebu chapa picha za namna hiyo pia za idadi ya wabunge wa viti maalum wa CCM wenye asili ya Kilimanjaro halafu tulinganishe. Picha zao si ziko kwenye website ya bunge. WanaCCM wenyewe walikiri hapa kwamba hata katika CCM wamejaa wachagga wengi sana na wenye asili ya Kilimanjaro kwenye viti maalum. Kwa nini kazi yako ni kuilalamikia CHADEMA tu?

Asha
 
ukiwakosoa Chadema kwa kuteua wabunge 5 kati 6 kutoka mkoa mmoja, wewe ndie unayekuwa mkosaji kuliko yule anayeitetea hiyo hali. Je huu ni uungwana kweli (namnukuu Mambombotela).

Now wait a minute, with all due respect mnyonge mnyongeni lakini haki apewe, wakuu eti hizi habari ni za kweli kuwa wabunge watano wa kuteuliwa wanatoka mkoa mmoja? Kama ni kweli that is serious I mean hii sijawahi kuisikia hii?

Hebu wakuu wa upande wa pili tuwekeni sawa hapa!
 
Now wait a minute, with all due respect mnyonge mnyongeni lakini haki apewe, wakuu eti hizi habari ni za kweli kuwa wabunge watano wa kuteuliwa wanatoka mkoa mmoja? Kama ni kweli that is serious I mean hii sijawahi kuisikia hii?

Hebu wakuu wa upande wa pili tuwekeni sawa hapa!

Wabunge wa kuteliwa CHADEMA:

Maulidah Anna Komu- Zanzibar
Mhonga Said Ruhanywa-Kigoma
Halima James Mdee na Suzan Lyimo- Dar es salaam( Kinondoni na Vyuo Vikuu)
Grace Kiwelu na Lucy Owenya- Kilimanjaro

Natumaini upande wa pili umekuweka katika mshazali

Asha
 
Haya ndiyo yale ya mamluki wanaopadnikizwa kwenye vyama kwa kazi maalam ya kuvisambaratisha. Tunajua kuwa HABARI CORPORATION kwanini ilinunuliwa na baadhi ya wengine kuisusia ni kwa sababu kuna watu hawapendi unafiki hivyo wakajitoa jumla. Mimi kwa upande wangu huwa magazeti ya MAFISADI siyasomi though nitakuwa nakosa kujua UNAFIKI wao lakini sitaki kuwachangia kwani ninaamini HABARI CORPORATION itakuja kufa pale watu wote watakapoisusia jumla.

Kinachofanyika sasa ni kizuri cha kujibu UNAFIKI, UJINGA NA UZANDIKI kwa HOJA ZA KWELI.Mnatufanya hata sisi kuelewa mambo ambayo kwa namna moja au nyingine tusingeyajua. ENDELEENI NA MOYO HUOHUO HII NCHI TUTAIKWAMUA TU KAMA HATUTAKATA TAMAA MAANA TUNAPAMBANA NA WATU WALIOJILIMBIKIZIA MAHELA KIBAO WAKIUNGWA MKONO WA WATU WANAOTANGULIZA MATUMBO YAO NA KUWEKA FANI ZAO PEMBENI ILI KUWAFURAHISHA HAO WANAOTUMIA FEDHA ZA KIFISADI KUVURUGA WATU.

ALUTA CONTINUA...
 
Wabunge wa kuteliwa CHADEMA:

Maulidah Anna Komu- Zanzibar
Mhonga Said Ruhanywa-Kigoma
Halima James Mdee na Suzan Lyimo- Dar es salaam( Kinondoni na Vyuo Vikuu)
Grace Kiwelu na Lucy Owenya- Kilimanjaro

Natumaini upande wa pili umekuweka katika mshazali

Asha

Ili kuondoa dukuduku; vilevile tufahamu mikoa yao ya asili kwani katika Tanzania yetu mtu anaweza kuishi popote na akagombea nafasi ya kisiasa kutokea kule anakoishi

Hata hivyo, kugombea uongozi mbali na mkoa ulikozaliwa haiondoi wingu la ukabila na wasiwasi wa washindani wenu juu ya mizania ya uongozi wenu kitaifa; hasa mkiwa na tamaa ya kuwa chama mbadala wa sisiemu
 
Ili kuondoa dukuduku; vilevile tufahamu mikoa yao ya asili kwani katika Tanzania yetu mtu anaweza kuishi popote na akagombea nafasi ya kisiasa kutokea kule anakoishi lakini hiyo haiondoi wingu la ukabila kutegemea na mikoa yetu ya asili

Mauliah-Mganzija, Halima-Mpare(inasemekana amezaliwa na kukulia Dar es salaam), Mhonga-mtu wa Kigoma, sijui kama ni Muha au kabila lingine, Suzan(Mchagga).

Asha
 
'


We kubwa Jinga Jinga,

Mara ngapi uambiwe kuwa Maulidah Anna Komu ni Mzanzibar mwenzetu ili uelewe? Huyu hatoki Kilimanjaro kabisa. Ni mzanzibar halisi wa kuzaliwa. Aliwahi kuhamia kilimanjaro lakini alishaondoka miaka zaidi ya kumi nyuma. Unajua huyu mama historia yake katika CHADEMA? Hivi unaweza kusimama kweli kishujaa na kusema mgombea mwenza wa Urais kuteuliwa viti maalum ni kupendelewa kwa kuwa anatoka kilimanjaro? Unakumbuka Mtikila alimwekea pingamizi kuwa ni asiwe mgombea mwenza kuwa anatoka Kilimanjaro, unakumbuka tume iliamua nini? Tume ilihoji mpaka akili za mtikila kwa kuweka pingamizi la namna hiyo ilihali inajulikana wazi kuwa huyu ni mkazi wa Zanzibar na Dar es salaam kwa miaka mingi iliyopita. Alishaondoka Kilimanjaro na kuna mtu mmoja hapa alishasema aliachika kilimanjaro miaka mingi sana iliyopita. Vipi mngazija mzaliwa wa jirani na kwetu kwa Bijoha akawa wa kutoka Kilimanjaro?


Halafu unawachanganya humo na wakazi wengine wa Dar es salaam kama Halima Mdee walioteuliwa kwa nafasi zao ama Suzan Lyimo aliyeteuliwa kama mwakilishi wa vyuo vikuu toka UDSM wote umeamua kuita ni wateule wa mkoa Kilimanjaro. Endelea tu kupandikiza mbegu ya ubaguzi. Hebu chapa picha za namna hiyo pia za idadi ya wabunge wa viti maalum wa CCM wenye asili ya Kilimanjaro halafu tulinganishe. Picha zao si ziko kwenye website ya bunge. WanaCCM wenyewe walikiri hapa kwamba hata katika CCM wamejaa wachagga wengi sana na wenye asili ya Kilimanjaro kwenye viti maalum. Kwa nini kazi yako ni kuilalamikia CHADEMA tu?

Asha


Asha,
Sijui unatetea nini hapa maana hizi sio siri, kila kitu kiko wazi. Hata ukilazimishia kumwondoa Mrs. Anna Komu ambaye ni mke wa nduguyake na Ndesamburo, ambapo huo Uzanzibari wake umeanza tu baada ya kuanza mambo siasa za Chadema ili ajumlishwe kama mwakilishi wa Unguja, bado inabaki kuwa Kilimanjaro 4, Other Tanzanians 2. Sasa huu uwiano sijui ni nani atakayeuelewa. Hata Zitto nataka atujibu ni kwa nini kakaa kimya kwenye hili au ni kwa vile yeye alialikwa chamani na angalau ndugu yake naye kapewa ubunge?


Hii list nitaendelea kukutundikia mpaka utakapokubali kuwa kuna ubovu kwenye kupeana huu ulaji wa bungeni.



WABUNGE WA CHADEMA

Is this fair to the rest of Tanzanians?

Kwa nini isingekua kila mteuliwa akatoka at least mkoa tofauti?? Ugumu unatoka wapi au mikoa mingine haina wanachama wa Chadema wenye sifa?



maulid_sk.gif

Mhe. Maulidah Anna Komu, Kilimanjaro
Mbunge Viti Maalum (2005-2010)



lyimo.gif

Mhe. Susan Anslem Lyimo, Kilimanjaro
Mbunge Viti Maalum (2005-2010)


mdee_sk.jpg

Mhe. Halima James, Kilimanjaro
Mbunge Viti Maalum (2005-2010)


grace3_sk.jpg

Mhe. Grace Sindato Kiwelu, Kilimanjaro
Mbunge Viti Maalum (2000-2010)


lucy.gif

Mhe. Lucy Owenya, Kilimanjaro (Mtoto wa Ndesamburo)
Mbunge Viti Maalum (2005-2010)

mhon2_sk.jpg

Mhe. Mhonga Ruhwanya Said, Others
Mbunge Viti Maalum (2005-2010)
 
Ili kuondoa dukuduku; vilevile tufahamu mikoa yao ya asili kwani katika Tanzania yetu mtu anaweza kuishi popote na akagombea nafasi ya kisiasa kutokea kule anakoishi

Hata hivyo, kugombea uongozi mbali na mkoa ulikozaliwa haiondoi wingu la ukabila na wasiwasi wa washindani wenu juu ya mizania ya uongozi wenu kitaifa; hasa mkiwa na tamaa ya kuwa chama mbadala wa sisiemu

Mauliah-Mganzija, Halima-Mpare(inasemekana amezaliwa na kukulia Dar es salaam), Mhonga-mtu wa Kigoma, sijui kama ni Muha au kabila lingine, Suzan(Mchagga).

Asha

Kakalende,
Ukiona mtu anaficha au kuupindisha ukweli hapo ujue kuwa kuna kitu na yeye hataki ukijue. Hapa chini naweka tena majina na mikoa yao ya asili.




WABUNGE WA CHADEMA

Is this fair to the rest of Tanzanians?

Kwa nini isingekua kila mteuliwa akatoka at least mkoa tofauti?? Ugumu unatoka wapi au mikoa mingine haina wanachama wa Chadema wenye sifa?



maulid_sk.gif

Mhe. Maulidah Anna Komu, Komoro & Kilimanjaro (kaolewa na Mkilimanjaro na kuhamia huko).
Mbunge Viti Maalum (2005-2010)



lyimo.gif

Mhe. Susan Anslem Lyimo, Kilimanjaro
Mbunge Viti Maalum (2005-2010)


mdee_sk.jpg

Mhe. Halima James, Kilimanjaro
Mbunge Viti Maalum (2005-2010)


grace3_sk.jpg

Mhe. Grace Sindato Kiwelu, Kilimanjaro
Mbunge Viti Maalum (2000-2010)


lucy.gif

Mhe. Lucy Owenya, Kilimanjaro (Mtoto wa Ndesamburo)
Mbunge Viti Maalum (2005-2010)

mhon2_sk.jpg

Mhe. Mhonga Ruhwanya Said, Kigoma
Mbunge Viti Maalum (2005-2010)
 
Now wait a minute, with all due respect mnyonge mnyongeni lakini haki apewe, wakuu eti hizi habari ni za kweli kuwa wabunge watano wa kuteuliwa wanatoka mkoa mmoja? Kama ni kweli that is serious I mean hii sijawahi kuisikia hii?

Hebu wakuu wa upande wa pili tuwekeni sawa hapa!

Mkuu FMES,
That is right. Hii ni serious and is a big deal maana Chadema wanajaribu kuvaa ngozi ya kondoo kumbe ndani kuna uozo mkubwa. Lazima Chadema wasafishe huu upendeleo ndani ya chama chao ili tuweze kuwaamini kama chama cha kitaifa.
 
Asha,
Sijui unatetea nini hapa maana hizi sio siri, kila kitu kiko wazi. Hata ukilazimishia kumwondoa Mrs. Anna Komu ambaye ni mke wa nduguyake na Ndesamburo, ambapo huo Uzanzibari wake umeanza tu baada ya kuanza mambo siasa za Chadema ili ajumlishwe kama mwakilishi wa Unguja, bado inabaki kuwa Kilimanjaro 4, Other Tanzanians 2. Sasa huu uwiano sijui ni nani atakayeuelewa. Hata Zitto nataka atujibu ni kwa nini kakaa kimya kwenye hili au ni kwa vile yeye alialikwa chamani na angalau ndugu yake naye kapewa ubunge?


Hii list nitaendelea kukutundikia mpaka utakapokubali kuwa kuna ubovu kwenye kupeana huu ulaji wa bungeni.

At last you have shown your true colour. The Anti-CHADEMA! Mugongo Mugongo alias Chinga, coming in a new style.

Suala hili mbona Zitto na Mnyika walishaeleza kwa kina, wakaeleza hatua gani zilipitiwa, mapungufu gani yaliyokuwepo wakati wa kutekeleza nia njema waliyoileza hapa, vigezo vya kila mmoja kuteuliwa na mfumo mpya wa uteuzi utakaotumika mwaka 2010 chini ya Baraza La Wanawake wa CHADEMA(BAWACHA).

Hebu search tu hapa au omba msaada upewe links
http://www.jamboforums.com/showthread.php?t=12123&page=32
Otherwise, rudi huku ukajibu maswali yangu- http://www.jamboforums.com/showthread.php?t=12123&page=32

Usinikwepe jamani

Nani kakudanganya kuwa mama komu alikuwa mzanzibar kwa ajili ya viti maalum? Huyu ni mzanzibar wa kuzaliwa, ameishi Zanzibar mpaka amekuwa kabisa. Akaenda kuolewa kilimanjaro,akakaa miaka michache, akaachika na akarudi kwao Zanzibar zaidi ya miaka kumi iliyopita. Na toka lini Komu akawa na undugu na Ndesamburo? Hii inadhihirisha nia yako ya kuchafua CHADEMA tu. We endeleza tu kazi ya Chama Cha Mafisadi, lakini jua watanzania wameerevuka.

Ukishindwa humu hamia Habari Corruption haswa Rostam International ukaendelee na kazi

Asha
 
Kakalende,
Ukiona mtu anaficha au kuupindisha ukweli hapo ujue kuwa kuna kitu na yeye hataki ukijue. Hapa chini naweka tena majina na mikoa yao ya asili.

At last you have shown your true colour. The Anti-CHADEMA! Mugongo Mugongo alias Chinga, coming in a new style.

Suala hili mbona Zitto na Mnyika walishaeleza kwa kina, wakaeleza hatua gani zilipitiwa, mapungufu gani yaliyokuwepo wakati wa kutekeleza nia njema waliyoileza hapa, vigezo vya kila mmoja kuteuliwa na mfumo mpya wa uteuzi utakaotumika mwaka 2010 chini ya Baraza La Wanawake wa CHADEMA(BAWACHA).

Hebu search tu hapa au omba msaada upewe links
http://www.jamboforums.com/showthrea...=12123&page=32
Otherwise, rudi huku ukajibu maswali yangu- http://www.jamboforums.com/showthrea...=12123&page=32

Usinikwepe jamani

Nani kakudanganya kuwa mama komu alikuwa mzanzibar kwa ajili ya viti maalum? Huyu ni mzanzibar wa kuzaliwa, ameishi Zanzibar mpaka amekuwa kabisa. Akaenda kuolewa kilimanjaro,akakaa miaka michache, akaachika na akarudi kwao Zanzibar zaidi ya miaka kumi iliyopita. Na toka lini Komu akawa na undugu na Ndesamburo? Hii inadhihirisha nia yako ya kuchafua CHADEMA tu. We endeleza tu kazi ya Chama Cha Mafisadi, lakini jua watanzania wameerevuka.

Ukishindwa humu hamia Habari Corruption haswa Rostam International ukaendelee na kazi

Asha
 
Mkuu FMES,
That is right. Hii ni serious and is a big deal maana Chadema wanajaribu kuvaa ngozi ya kondoo kumbe ndani kuna uozo mkubwa. Lazima Chadema wasafishe huu upendeleo ndani ya chama chao ili tuweze kuwaamini kama chama cha kitaifa.


Hukusoi kwa nia ya kujenga, una nia ya kuchafua wewe......huku ukijifanya kuwa neutral, ndio mkakati wako mpya eehhh

At last you have shown your true colour. The Anti-CHADEMA! Mugongo Mugongo alias Chinga, coming in a new style.

Suala hili mbona Zitto na Mnyika walishaeleza kwa kina, wakaeleza hatua gani zilipitiwa, mapungufu gani yaliyokuwepo wakati wa kutekeleza nia njema waliyoileza hapa, vigezo vya kila mmoja kuteuliwa na mfumo mpya wa uteuzi utakaotumika mwaka 2010 chini ya Baraza La Wanawake wa CHADEMA(BAWACHA).

Hebu search tu hapa au omba msaada upewe links
http://www.jamboforums.com/showthrea...=12123&page=32
Otherwise, rudi huku ukajibu maswali yangu- http://www.jamboforums.com/showthrea...=12123&page=32

Usinikwepe jamani

Nani kakudanganya kuwa mama komu alikuwa mzanzibar kwa ajili ya viti maalum? Huyu ni mzanzibar wa kuzaliwa, ameishi Zanzibar mpaka amekuwa kabisa. Akaenda kuolewa kilimanjaro,akakaa miaka michache, akaachika na akarudi kwao Zanzibar zaidi ya miaka kumi iliyopita. Na toka lini Komu akawa na undugu na Ndesamburo? Hii inadhihirisha nia yako ya kuchafua CHADEMA tu. We endeleza tu kazi ya Chama Cha Mafisadi, lakini jua watanzania wameerevuka.

Ukishindwa humu hamia Habari Corruption haswa Rostam International ukaendelee na kazi

Asha
 
At last you have shown your true colour. The Anti-CHADEMA! Mugongo Mugongo alias Chinga, coming in a new style.

Suala hili mbona Zitto na Mnyika walishaeleza kwa kina, wakaeleza hatua gani zilipitiwa, mapungufu gani yaliyokuwepo wakati wa kutekeleza nia njema waliyoileza hapa, vigezo vya kila mmoja kuteuliwa na mfumo mpya wa uteuzi utakaotumika mwaka 2010 chini ya Baraza La Wanawake wa CHADEMA(BAWACHA).

Hebu search tu hapa au omba msaada upewe links
http://www.jamboforums.com/showthread.php?t=12123&page=32
Otherwise, rudi huku ukajibu maswali yangu- http://www.jamboforums.com/showthread.php?t=12123&page=32

Usinikwepe jamani

Nani kakudanganya kuwa mama komu alikuwa mzanzibar kwa ajili ya viti maalum? Huyu ni mzanzibar wa kuzaliwa, ameishi Zanzibar mpaka amekuwa kabisa. Akaenda kuolewa kilimanjaro,akakaa miaka michache, akaachika na akarudi kwao Zanzibar zaidi ya miaka kumi iliyopita. Na toka lini Komu akawa na undugu na Ndesamburo? Hii inadhihirisha nia yako ya kuchafua CHADEMA tu. We endeleza tu kazi ya Chama Cha Mafisadi, lakini jua watanzania wameerevuka.

Ukishindwa humu hamia Habari Corruption haswa Rostam International ukaendelee na kazi

Asha

Asha,
You may call names and put up links that carries us to no where, but you can't dispute facts. You might be entitlled to your opinion, but facts are just facts, you can't change them. See the list and try to argue otherwise again.


WABUNGE WA CHADEMA

Is this fair to the rest of Tanzanians?

Kwa nini isingekua kila mteuliwa akatoka at least mkoa tofauti?? Ugumu unatoka wapi au mikoa mingine haina wanachama wa Chadema wenye sifa?



maulid_sk.gif

Mhe. Maulidah Anna Komu, Komoro & Kilimanjaro (kaolewa na Mkilimanjaro na kuhamia huko).
Mbunge Viti Maalum (2005-2010)



lyimo.gif

Mhe. Susan Anslem Lyimo, Kilimanjaro
Mbunge Viti Maalum (2005-2010)


mdee_sk.jpg

Mhe. Halima James, Kilimanjaro
Mbunge Viti Maalum (2005-2010)


grace3_sk.jpg

Mhe. Grace Sindato Kiwelu, Kilimanjaro
Mbunge Viti Maalum (2000-2010)


lucy.gif

Mhe. Lucy Owenya, Kilimanjaro (Mtoto wa Ndesamburo)
Mbunge Viti Maalum (2005-2010)

mhon2_sk.jpg

Mhe. Mhonga Ruhwanya Said, Kigoma
Mbunge Viti Maalum (2005-2010)
 
Huyu kubwajinga anachuki kwa vile hajaona watu wa dini yake wakiwa hapo. Na pia anachuki dhidi ya wanawake na hiki ndicho kilimtoa CUF. Kumbuka kuwa amekuwa CUF muda mrefu kabla kina Lipumba hawajamfukuza kwa vile yeye alikuwa analazimisha kuwa viongozi lazima wawe waislam peke yao.

Ameona kuwa kuna uwezekano wa CUF na CHADEMA kushirikiana kwenye uchaguzi mkuu ujao na this time CHADEMA watapewa nafasi sasa ameanza kuichafua CHADEMA maana yeye hapendi yoyote yule isipokuwa muislam.

Usishangae kuwa hataki wapinzani wasimamishe mgombea mwaka 2010. Kuna sababu kubwa kwa nini anasema hivyo.
 
Huyu kubwajinga anachuki kwa vile hajaona watu wa dini yake wakiwa hapo. Na pia anachuki dhidi ya wanawake na hiki ndicho kilimtoa CUF. Kumbuka kuwa amekuwa CUF muda mrefu kabla kina Lipumba hawajamfukuza kwa vile yeye alikuwa analazimisha kuwa viongozi lazima wawe waislam peke yao.

Ameona kuwa kuna uwezekano wa CUF na CHADEMA kushirikiana kwenye uchaguzi mkuu ujao na this time CHADEMA watapewa nafasi sasa ameanza kuichafua CHADEMA maana yeye hapendi yoyote yule isipokuwa muislam.

Usishangae kuwa hataki wapinzani wasimamishe mgombea mwaka 2010. Kuna sababu kubwa kwa nini anasema hivyo.


Mkuu Mgaya,
Hebu tuache uzushi kidogo na kujibu hoja iliyopo mkononi. Kubwajinga wa watu kabandika list na picha kabisaa za wahusika na hakuzushia mtu yeyote kwenye maelezo yake. Sasa mbona mwamzushia u-CUF, uislam mkali n.k bila ushahidi?? Huu si ndio uzandiki na uzushi wenyewe? Kama hamna majibu basi tufungue hoja nyingine. Lakini nakuahidi kuwa hili halitaondoka kama hakuna mtu mwenye majibu ya kueleweka.

Mnyika uko online mara kwa mara tunaomba maelezo, maana Asha, MwK na Mgaya wote yamewashinda.
 
Mkuu Mgaya,

Hebu tuache uzushi kidogo na kujibu hoja iliyopo mkononi. Kubwajinga wa watu kabandika list na picha kabisaa za wahusika na hakuzushia mtu yeyote kwenye maelezo yake. Sasa mbona mwamzushia u-CUF, uislam mkali n.k bila ushahidi??


mimi nilidhani wewe ni kubwajinga kumbe unamwongelea mwingine? hahhahaha hahhaah au ndio yale mambo ya kudouble log in? naona umepatikana ha hah ahahh hhah

Huu si ndio uzandiki na uzushi wenyewe? Kama hamna majibu basi tufungue hoja nyingine. Lakini nakuahidi kuwa hili halitaondoka kama hakuna mtu mwenye majibu ya kueleweka.

Wewe historia yako inafahamika vizuri sana tangu ukiwa CUF na namna ambavyo ulikuwa unapinga viongozi wasio waislam wasipewe madaraka. Mambo yako yote navile unavyotumia chuki za kidini dhidi ya wanawake vinajulikana sana.

Unataka ushahidi wote uwekwe hata vile ambavyo umeukana uraia wa Tanzania baada ya kukimmbia nchi? File lako liko wazi na wewe mwenyewe ndiyo umejitokeza. Kina Seif na Lipumba wamekufukuza na hawataki kukuona na sasa umeleta chuki zako haapa?

Mnyika,

uko online mara kwa mara tunaomba maelezo, maana Asha, MwK na Mgaya wote yamewashinda.

Unategemea nani ana muda wa kurudia rudia kujibu kitu ambacho kimejibiwa mara nyingi sana hapa forums? Sana sana utabishana labda na Asha kwa sababu anakuzunguka tu ili azidi kukuabisha na kukufunua kwa watu wasiokufahamu.

Wengine hapa wanakusuburia uendelee kufurahisha baraza. Unamtisha nani kuwa haya yataendelea? Wote kina Mnyika na viongozi wa Chadema wanakufahamu kwa hiyo hakuna atakayehangaika nawe katika hili.

Chuki zako za kidini kuwa viongozi lazima wawe waislam pekee inabidi ziende saudi arabia na sio Tanzania. Viongozi wa upinzani watasimamisha mgombea mwaka 2010 na inawezekana akatoka chadema na hatakuwa muislam. Jaribu tu kukumbuka kuwa unaishi kwenye karne ya 21 ambayo watu hawajengi chuki za kidini na kikabila.
 
Asha,

ukisoma hii post please check your PM kuna new information ambazo ni kubwa zaidi.
 
mimi nilidhani wewe ni kubwajinga kumbe unamwongelea mwingine? hahhahaha hahhaah au ndio yale mambo ya kudouble log in? naona umepatikana ha hah ahahh hhah



Wewe historia yako inafahamika vizuri sana tangu ukiwa CUF na namna ambavyo ulikuwa unapinga viongozi wasio waislam wasipewe madaraka. Mambo yako yote navile unavyotumia chuki za kidini dhidi ya wanawake vinajulikana sana.

Unataka ushahidi wote uwekwe hata vile ambavyo umeukana uraia wa Tanzania baada ya kukimmbia nchi? File lako liko wazi na wewe mwenyewe ndiyo umejitokeza. Kina Seif na Lipumba wamekufukuza na hawataki kukuona na sasa umeleta chuki zako haapa?



Unategemea nani ana muda wa kurudia rudia kujibu kitu ambacho kimejibiwa mara nyingi sana hapa forums? Sana sana utabishana labda na Asha kwa sababu anakuzunguka tu ili azidi kukuabisha na kukufunua kwa watu wasiokufahamu.

Wengine hapa wanakusuburia uendelee kufurahisha baraza. Unamtisha nani kuwa haya yataendelea? Wote kina Mnyika na viongozi wa Chadema wanakufahamu kwa hiyo hakuna atakayehangaika nawe katika hili.

Chuki zako za kidini kuwa viongozi lazima wawe waislam pekee inabidi ziende saudi arabia na sio Tanzania. Viongozi wa upinzani watasimamisha mgombea mwaka 2010 na inawezekana akatoka chadema na hatakuwa muislam. Jaribu tu kukumbuka kuwa unaishi kwenye karne ya 21 ambayo watu hawajengi chuki za kidini na kikabila.


Mkuu Mgaya,
Narudia tena hapa na naomba unielewe, muda wa multiple logging mimi sina. Nimetumia ile inaitwa representative structuring kwenye sentence yangu ili iweze kupata uhai maana mwandishi na msomaji wote wako remotely na anonymously.

Ukiamua kupandikiza uzushi it is Ok, maana inaleta ladha kwa wasomaji lakini wao sio wajinga kushindwa kutofautisha uzushi usio na ushahidi na facts. Kama unadai kuwa jibu la swali langu lipo mtandaoni, copy and paste hapa kama mimi ninavyokuwekea tena hii list ili ui-defend in public.

By the way, is Mgaya a Kilimanjaro-line too? I know there are plent of Mgayas who are Kili-lines and might be beneficiaries of this unfair alocation of wabunges. Let us know, I'm just curious.



Mnyika hebu ingia mtandaoni ili usaidie kuelezea hili suala maana Mgaya, MwK na Asha, wote limewashinda?


WABUNGE WA CHADEMA

Is this fair to the rest of Tanzanians?

Kwa nini isingekua kila mteuliwa akatoka at least mkoa tofauti?? Ugumu unatoka wapi au mikoa mingine haina wanachama wa Chadema wenye sifa?



maulid_sk.gif

Mhe. Maulidah Anna Komu, Komoro & Kilimanjaro (kaolewa na Mkilimanjaro na kuhamia huko).
Mbunge Viti Maalum (2005-2010)



lyimo.gif

Mhe. Susan Anslem Lyimo, Kilimanjaro
Mbunge Viti Maalum (2005-2010)


mdee_sk.jpg

Mhe. Halima James, Kilimanjaro
Mbunge Viti Maalum (2005-2010)


grace3_sk.jpg

Mhe. Grace Sindato Kiwelu, Kilimanjaro
Mbunge Viti Maalum (2000-2010)


lucy.gif

Mhe. Lucy Owenya, Kilimanjaro (Mtoto wa Ndesamburo)
Mbunge Viti Maalum (2005-2010)

mhon2_sk.jpg

Mhe. Mhonga Ruhwanya Said, Kigoma
Mbunge Viti Maalum (2005-2010)
 
Back
Top Bottom