Freeman Mbowe kuongea na Waandishi wa Habari kwenye ofisi za Makao Makuu Mapya ya Chama Mikocheni

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,723
218,286
Screenshot_2024-01-12-12-23-56-1.png


Mwamba wa Siasa za kisasa kwenye eneo la Maziwa Makuu ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema ambacho ni Chama kinachoungwa mkono na watu wengi zaidi nchini Tanzania, huku takwimu zikionyesha kwamba kina wanachama hai zaidi ya mil 15, atazungumza na Waandishi wa Habari wa Kimataifa na wa ndani ya Nchi.

Jambo la kufurahisha ni kwamba mkutano huo utafanyika kwenye Ukumbi wa kisasa kwenye makao makuu mapya na ya kisasa, Mikocheni D'Salaam.

Kaa tayari kwa ajili ya kupata Mwongozo mpya na Dira ya Taifa kwa 2024.
 
View attachment 2869580

Mwamba wa Siasa za kisasa kwenye eneo la Maziwa Makuu ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema ambacho ni Chama kinachoungwa mkono na watu wengi zaidi nchini Tanzania, huku takwimu zikionyesha kwamba kina wanachama hai zaidi ya mil 15, atazungumza na Waandishi wa Habari wa Kimataifa na wa ndani ya Nchi.

Jambo la kufurahisha ni kwamba mkutano huo utafanyika kwenye Ukumbi wa kisasa kwenye makao makuu mapya na ya kisasa, Mikocheni D'Salaam.

Kaa tayari kwa ajili ya kupata Mwongozo mpya na Dira ya Taifa kwa 2024.
Unavyotamani ofisi mpya lakini wapi haiwezekani kuhamisha ofisi za vikoba!
 
View attachment 2869580

Mwamba wa Siasa za kisasa kwenye eneo la Maziwa Makuu ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema ambacho ni Chama kinachoungwa mkono na watu wengi zaidi nchini Tanzania, huku takwimu zikionyesha kwamba kina wanachama hai zaidi ya mil 15, atazungumza na Waandishi wa Habari wa Kimataifa na wa ndani ya Nchi.

Jambo la kufurahisha ni kwamba mkutano huo utafanyika kwenye Ukumbi wa kisasa kwenye makao makuu mapya na ya kisasa, Mikocheni D'Salaam.

Kaa tayari kwa ajili ya kupata Mwongozo mpya na Dira ya Taifa kwa 2024.
Mwamba wa siasa za kisasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom