mimi nilidhani wewe ni kubwajinga kumbe unamwongelea mwingine? hahhahaha hahhaah au ndio yale mambo ya kudouble log in? naona umepatikana ha hah ahahh hhah
Wewe historia yako inafahamika vizuri sana tangu ukiwa CUF na namna ambavyo ulikuwa unapinga viongozi wasio waislam wasipewe madaraka. Mambo yako yote navile unavyotumia chuki za kidini dhidi ya wanawake vinajulikana sana.
Unataka ushahidi wote uwekwe hata vile ambavyo umeukana uraia wa Tanzania baada ya kukimmbia nchi? File lako liko wazi na wewe mwenyewe ndiyo umejitokeza. Kina Seif na Lipumba wamekufukuza na hawataki kukuona na sasa umeleta chuki zako haapa?
Unategemea nani ana muda wa kurudia rudia kujibu kitu ambacho kimejibiwa mara nyingi sana hapa forums? Sana sana utabishana labda na Asha kwa sababu anakuzunguka tu ili azidi kukuabisha na kukufunua kwa watu wasiokufahamu.
Wengine hapa wanakusuburia uendelee kufurahisha baraza. Unamtisha nani kuwa haya yataendelea? Wote kina Mnyika na viongozi wa Chadema wanakufahamu kwa hiyo hakuna atakayehangaika nawe katika hili.
Chuki zako za kidini kuwa viongozi lazima wawe waislam pekee inabidi ziende saudi arabia na sio Tanzania. Viongozi wa upinzani watasimamisha mgombea mwaka 2010 na inawezekana akatoka chadema na hatakuwa muislam. Jaribu tu kukumbuka kuwa unaishi kwenye karne ya 21 ambayo watu hawajengi chuki za kidini na kikabila.
Kwa kauli yako kuwa Mgombea atakuwa mkristu wa Chadema mwaka 2010 unathibitisha kuwa hiki ni chama cha wakristu na hakina Demokrasia kwani uchaguzi wa ndani wa wana Chadema kuchagua mgombea urais 2010, kumbe wenzetu tayari mna mgombea ambaye hajachaguliwa na wana Chadema wote. sasa hiyo demokrasia iko wapi?
Kwani Zitto hawezi kupewa kwa kauli yako kuwa Chadema ni chama cha wakristu na kwa vile CUF waliweka mgombea urais muislam na nyinyi mnaingia kwenye dhambi za udini?
hivi wewe hujui kuwa aliyebuni jina la CUF na muasisi ni mkristu na mwenyekiti wa Kwanza ni James Mapalala, vipi unawasingizia wenzako kuwa ni wadini?
kwa kauli yako ndugu Mgaya umeongeza doa lingine ni kuwa hizi kashfa za ukabila Chadema zimeongezewa na UDINI (UKRISTO)? kwanini msiwe kama CCM katoka Mkapa kaingia JK na katoka Ruksa kaingia Mkapa hiyo ndio balance ya udini.
nakumbuka december 2006 Bwana Mbowe alipeleka misaada kanisani-Kilimanjaro tu. lakini hajawahi kusaidia watu wa dini nyingine leo umetusaidia kuwa ni chama cha wakristu wachagga, ndio maana ANNA KOMU ilibidi awe mkristu ndio apewe ubunge.