Jihurumie kwa ujinga ulionaoWe bwamdogo unajitambua?
Jihurumie kwa ujinga ulionaoWe bwamdogo unajitambua?
Unajua maana ya dikteta?Jibu swali! Alikuwa ni dikteta kamili, au ndiyo alikuwa dikteta uchwara mpaka mauti yalipomkuta?
Unaijua katiba yao au changamsha genge.Wanaendesha chama chao bila kufuata misingi ya katiba ya chama chao.
Hawana utaratibu mzuri wa kuonyesha kuwa chama chao ni mali ya umma hivyo kitatoka mikononi mwa familia ya Mbowe.
Kwa udikteta walionao kama wakipewa nchi yatatokea mambo mabaya sana hapa Tanzania.
Mwalimu alipata tabu sana kumfundisha mtoto mgumu kuelewa kama wewe! Mimi nakuuliza swali, badala ya kunijibu! Na wewe unaniuliza tena!!!Unajua maana ya dikteta?
Kama unajua maana ya udikteta lazima umepata jibu.Mwalimu alipata tabu sana kumfundisha mtoto mgumu kuelewa kama wewe! Mimi nakuuliza swali, badala ya kunijibu! Na wewe unaniuliza tena!!!
"Hayati yako" tumia akili bwamdogo.Mbona na yule hayati wako naye hakuwa dikteta tu! Alikuwa ni dikteta uchwara! Ilikuwaje akapewa nchi?
Hoja hii kwa kufuata logic ni 'fallacy' au hoja 'zoa zoa' maana haina 'premises', ila ina conclusion tu.Wanaendesha chama chao bila kufuata misingi ya katiba ya chama chao.
Hawana utaratibu mzuri wa kuonyesha kuwa chama chao ni mali ya umma hivyo kitatoka mikononi mwa familia ya Mbowe.
Kwa udikteta walionao kama wakipewa nchi yatatokea mambo mabaya sana hapa Tanzania.