CHADEMA na Udikteta Makao Makuu

MwK,

I think you are missing my point. Chadema Tarime kutokuwepo na uongozi wa waKilimanjaro haina maana hakuna element za ukabila chamani. Mikoani ni vigumu ukabila kujitokeza kutokana na asili ya wakazi wake. Lakini inapokuwa kitaifa kabila fulani lina-uwakilishi mkubwa kuliko wengine, then it becomes an issue.

Nadhani baada ya hili utakuwa umejijibu mwenyewe na wale wengine wanaojaribu kusema uongo na kuwagawa watanzania kwa misingi ya ukabila.

Kuhusu ruzuku kuchapishwa, angalau sasa unakubaliana na mimi kuwa jibu la kelele zake ni kuchapisha mgawanyo ili kila mtu auone. Kwa hiyo Chadema, kama ilivyo kwa chama chako TLP, wote wanatakiwa wafanye hivyo na wasimsingizie msajili wa vyama na kuwa wanachama wao wakitaka maelezo basi waende wakapatie habari za mgao huko kwa msajili. Chadema, TLP, n.k. are first responsible to their members and not to msajili.

Kuna watanzania milioni 40, kama kila mtu akipewa copy ya mgawanyo wa pesa za matumizi ya vyama itachukua mabilioni ya pesa kutengeneza hizo copy.

Ndio maana mimi nimeomba hapa kuwa TLP waanze kuweka report zao za fedha kwenye mtandao kama Chadema walivyofanya ili watu wote ndani na nje ya nchi wazipate huko na kugharimia gharama za copy zao wenyewe.
 
Heshima mbele wakuu wote mliachangia hii topic, let me say this:-

Wazee taifa liko njia panda, I have a lot of respect kwa mkuu wangu Kifimbo, aliyeanzisha hii topic, tumekuwa kwenye hizi forum kuanzia BCS, TEF, na sasa JF, jamani tembo aliyelala ni CCM, sio Chadema it is about time sasa tukawa for real, badala ya kuzunguka mbuyu, wakati wote hapa ni wananchi wa Tanzania na tunajua what time is!

I am not trying kuwapa free pass Chadema, or anybody huko upinzani, lakini kwa wale tunaowashambulia without mercy ninawaambia hivi katika siasa the name of the game ni accomplishment of the goals, ninawaomba wael wote mnaowashambulia without mercy Chadema na upinzani kwa ujumla, exactly mnachojaribu ku-accomplish ni nini hasa kwa taifa letu at this time and moment?

In the wake ya akina Chenge kuwa na dola za kimarekani $ 1,000,000 tena kwenye banki ya US sio ya bongo maaana ungesema kuwa zingewekwa hapa zingetusaidia angalau ku-recycle our economy, lakini ameziweka nje! Sasa kama Mwanasheria Mkuu tu wa utawala wa Mkapa ana hizo hela nje, je yeye mwenyewe Mkapa ana ngapi? Makamu wake ana ngapi? Waziri Mkuu wake ana ngapi?Mawaziri wake wana ngapi? Ma-RC wake wana ngapi? Ma-DC wana ngapi? Kweli mmmeshindwa kuuliza any of this simple questions badala yake mnalilia some none national ishus? What is this? Chadema inahusika vipi na matatizo tuliyonayo sasa hivi ya uongozi mbovu na usioaminika? I can understand kwamba Chadema inaaapishwa next week kuchukua power ya taifa, lakini as a nation hivi mnajua kuwa we are in leadership crisis? Debate za matatizo ya Chadema, leo zitatusaidia nini as a nation?

I mean mimi ni CCM damu, lakini kwa wale wenzangu ninaomba niwaambie hivi kuwa kule bungeni hakuna balance kati ya CCM na upinzani, sasa ninaaamini kuwa the goal ni kujaribu kuleta balance of ishus hapa JF, lakini that kind of thinking is a waste too kwa sababu political ishus haziwi created, huwa at heart ni natural ishus, now ishu ya Waziri Chenge inaweza kuwa balanced only na waziri wa upinzani kuwa na the same amount or more ya za Chenge, lakini no way inaweza kuwa balanced na ishus kama hiii ya udikteta, ninasema no way! If anything ni sisi wenyewe kujishusha hadhi tu na ku-display level ya uwezo wetu wa kufikiri, I mean hivi wakuu mnajua kuwa kweli kuhusu uozo mwingi ambao bado haujasemwa wazi kuhusiana na baadhi ya viongozi wetu na tabia zao?

Wazee lets get serious angalau kidogo, kama kuna ishu nzito huko upinzani sawa, lakini lets be realistic na taifa letu jamani, heshima kwa wote lakini please not this kind of ishus! Lets be real, exactly what are you accomplishing nationally kwa mashambuliz ya Chadema, ni kwa faida ya wananchi, taifa, wewe, au kikundi fulani, na kama ni kikundi fulani do they real care kuwa uko hapa unawalalia macho Chadema?

Ahsante Wakuu!
 
"Huwezi kumlazimisha punda kucheka wakati kulia ndio kazi yake" Hao wanaoandika haya wanayao ni wale wale wanaotumwa siku zote tunawasihi waje na hoja lakini wao wanakuja na fitna so fitna na majungu ni kazi yao ni sawa sawa na punda hawawezi kucheka hao wamezoea kulia.
 
MwK,

I think you are missing my point. Chadema Tarime kutokuwepo na uongozi wa waKilimanjaro haina maana hakuna element za ukabila chamani. Mikoani ni vigumu ukabila kujitokeza kutokana na asili ya wakazi wake. Lakini inapokuwa kitaifa kabila fulani lina-uwakilishi mkubwa kuliko wengine, then it becomes an issue.

Nadhani baada ya hili utakuwa umejijibu mwenyewe na wale wengine wanaojaribu kusema uongo na kuwagawa watanzania kwa misingi ya ukabila.

MwK,
Wanaowagawa watanzania ni wale wanaofanya kwa vitendo. 70% ya wabunge wa kuteuliwa, 25% ya sekretariate n.k. ya Chadema ni Kilimanjaro-line. Kama hakuna maelezo sijui tuuiteje huu uteuzi.


Kuna watanzania milioni 40, kama kila mtu akipewa copy ya mgawanyo wa pesa za matumizi ya vyama itachukua mabilioni ya pesa kutengeneza hizo copy.

Ndio maana mimi nimeomba hapa kuwa TLP waanze kuweka report zao za fedha kwenye mtandao kama Chadema walivyofanya ili watu wote ndani na nje ya nchi wazipate huko na kugharimia gharama za copy zao wenyewe.

Sikusema kuwa kila mtu apewe copy ya matumizi. Bali kama unavyokubaliana na mimi ni kuwa wabandike matumizi yao kwenye mtandao wao kama walivyofanya 2005 http://www.chadema.net/uchaguzi/gharama.php.
  1. Lipi linashindikana mpaka wanachama wao wapige kelele magazetini?
  2. Je Chadema wanataka wawe CCM-B?? CCM ndio wanaowaficha hata wajumbe wenzao wa NEC??
Let us have new parties that are different from CCM otherwise, why should we have them??
 
MwK,
Wanaowagawa watanzania ni wale wanaofanya kwa vitendo. 70% ya wabunge wa kuteuliwa, 25% ya sekretariate n.k. ya Chadema ni Kilimanjaro-line. Kama hakuna maelezo sijui tuuiteje huu uteuzi.

Bado sijaona hiyo asilimia 70 maana mimi si mjuzi kwenye kujua makabila ya watu. Kwa nini wewe usiweke hapa hayo majina na kisha tuone kama kweli hawa watu wanatoka Kilimanjaro au kama wanatoka Dar es salaam ambako wengi wetu tunapaita nyumbani?

Sikusema kuwa kila mtu apewe copy ya matumizi. Bali kama unavyokubaliana na mimi ni kuwa wabandike matumizi yao kwenye mtandao wao kama walivyofanya 2005 http://www.chadema.net/uchaguzi/gharama.php.
  1. Lipi linashindikana mpaka wanachama wao wapige kelele magazetini?
  2. Je Chadema wanataka wawe CCM-B?? CCM ndio wanaowaficha hata wajumbe wenzao wa NEC??
Let us have new parties that are different from CCM otherwise, why should we have them??

Katika hili bado naona unapingana kile unachosema. Chadema ndio chama pekee kilichoweka mapato yake na matumizi yake kwenye mtandao na watu wote tunaona hili. Katika hili kuna tofauti kubwa sana kati yao na ccm ambao hakuna anayejua pesa zao zipo wapi au zinatoka na kwenda wapi! Hii ni tofauti kubwa sana na huu ni mwanzo ambao hata sisi TLP tunafanya kazi technolojia ili kila kitu kiwe wazi!

Next ....
 
Heshima mbele wakuu wote mliachangia hii topic, let me say this:-

Wazee taifa liko njia panda, I have a lot of respect kwa mkuu wangu Kifimbo, aliyeanzisha hii topic, tumekuwa kwenye hizi forum kuanzia BCS, TEF, na sasa JF, jamani tembo aliyelala ni CCM, sio Chadema it is about time sasa tukawa for real, badala ya kuzunguka mbuyu, wakati wote hapa ni wananchi wa Tanzania na tunajua what time is!

I am not trying kuwapa free pass Chadema, or anybody huko upinzani, lakini kwa wale tunaowashambulia without mercy ninawaambia hivi katika siasa the name of the game ni accomplishment of the goals, ninawaomba wael wote mnaowashambulia without mercy Chadema na upinzani kwa ujumla, exactly mnachojaribu ku-accomplish ni nini hasa kwa taifa letu at this time and moment?

In the wake ya akina Chenge kuwa na dola za kimarekani $ 1,000,000 tena kwenye banki ya US sio ya bongo maaana ungesema kuwa zingewekwa hapa zingetusaidia angalau ku-recycle our economy, lakini ameziweka nje! Sasa kama Mwanasheria Mkuu tu wa utawala wa Mkapa ana hizo hela nje, je yeye mwenyewe Mkapa ana ngapi? Makamu wake ana ngapi? Waziri Mkuu wake ana ngapi?Mawaziri wake wana ngapi? Ma-RC wake wana ngapi? Ma-DC wana ngapi? Kweli mmmeshindwa kuuliza any of this simple questions badala yake mnalilia some none national ishus? What is this? Chadema inahusika vipi na matatizo tuliyonayo sasa hivi ya uongozi mbovu na usioaminika? I can understand kwamba Chadema inaaapishwa next week kuchukua power ya taifa, lakini as a nation hivi mnajua kuwa we are in leadership crisis? Debate za matatizo ya Chadema, leo zitatusaidia nini as a nation?

I mean mimi ni CCM damu, lakini kwa wale wenzangu ninaomba niwaambie hivi kuwa kule bungeni hakuna balance kati ya CCM na upinzani, sasa ninaaamini kuwa the goal ni kujaribu kuleta balance of ishus hapa JF, lakini that kind of thinking is a waste too kwa sababu political ishus haziwi created, huwa at heart ni natural ishus, now ishu ya Waziri Chenge inaweza kuwa balanced only na waziri wa upinzani kuwa na the same amount or more ya za Chenge, lakini no way inaweza kuwa balanced na ishus kama hiii ya udikteta, ninasema no way! If anything ni sisi wenyewe kujishusha hadhi tu na ku-display level ya uwezo wetu wa kufikiri, I mean hivi wakuu mnajua kuwa kweli kuhusu uozo mwingi ambao bado haujasemwa wazi kuhusiana na baadhi ya viongozi wetu na tabia zao?

Wazee lets get serious angalau kidogo, kama kuna ishu nzito huko upinzani sawa, lakini lets be realistic na taifa letu jamani, heshima kwa wote lakini please not this kind of ishus! Lets be real, exactly what are you accomplishing nationally kwa mashambuliz ya Chadema, ni kwa faida ya wananchi, taifa, wewe, au kikundi fulani, na kama ni kikundi fulani do they real care kuwa uko hapa unawalalia macho Chadema?

Ahsante Wakuu!

Shule kubwa sana hapa Mkulu FMES!
 
Bado sijaona hiyo asilimia 70 maana mimi si mjuzi kwenye kujua makabila ya watu. Kwa nini wewe usiweke hapa hayo majina na kisha tuone kama kweli hawa watu wanatoka Kilimanjaro au kama wanatoka Dar es salaam ambako wengi wetu tunapaita nyumbani?



Katika hili bado naona unapingana kile unachosema. Chadema ndio chama pekee kilichoweka mapato yake na matumizi yake kwenye mtandao na watu wote tunaona hili. Katika hili kuna tofauti kubwa sana kati yao na ccm ambao hakuna anayejua pesa zao zipo wapi au zinatoka na kwenda wapi! Hii ni tofauti kubwa sana na huu ni mwanzo ambao hata sisi TLP tunafanya kazi technolojia ili kila kitu kiwe wazi!

Next ....

Hivi CCM hawana official site nao wakaweka maana sasa ni wakati ambao wananchi wanaitaji kujua, wao watasema sisi ni asilimia ndogo lakini wakumbuke kuwa sa technologia inakua haraka sana maana kuna vijiji ambavyo viudumiwa na TTCL mobile na Mitandao mingine ambavyo wananchi wake wameanza kuoji ubadhilifu wa CCM
 
Heshima mbele wakuu wote mliachangia hii topic, let me say this:-

Wazee taifa liko njia panda, I have a lot of respect kwa mkuu wangu Kifimbo, aliyeanzisha hii topic, tumekuwa kwenye hizi forum kuanzia BCS, TEF, na sasa JF, jamani tembo aliyelala ni CCM, sio Chadema it is about time sasa tukawa for real, badala ya kuzunguka mbuyu, wakati wote hapa ni wananchi wa Tanzania na tunajua what time is!

I am not trying kuwapa free pass Chadema, or anybody huko upinzani, lakini kwa wale tunaowashambulia without mercy ninawaambia hivi katika siasa the name of the game ni accomplishment of the goals, ninawaomba wael wote mnaowashambulia without mercy Chadema na upinzani kwa ujumla, exactly mnachojaribu ku-accomplish ni nini hasa kwa taifa letu at this time and moment?

In the wake ya akina Chenge kuwa na dola za kimarekani $ 1,000,000 tena kwenye banki ya US sio ya bongo maaana ungesema kuwa zingewekwa hapa zingetusaidia angalau ku-recycle our economy, lakini ameziweka nje! Sasa kama Mwanasheria Mkuu tu wa utawala wa Mkapa ana hizo hela nje, je yeye mwenyewe Mkapa ana ngapi? Makamu wake ana ngapi? Waziri Mkuu wake ana ngapi?Mawaziri wake wana ngapi? Ma-RC wake wana ngapi? Ma-DC wana ngapi? Kweli mmmeshindwa kuuliza any of this simple questions badala yake mnalilia some none national ishus? What is this? Chadema inahusika vipi na matatizo tuliyonayo sasa hivi ya uongozi mbovu na usioaminika? I can understand kwamba Chadema inaaapishwa next week kuchukua power ya taifa, lakini as a nation hivi mnajua kuwa we are in leadership crisis? Debate za matatizo ya Chadema, leo zitatusaidia nini as a nation?

I mean mimi ni CCM damu, lakini kwa wale wenzangu ninaomba niwaambie hivi kuwa kule bungeni hakuna balance kati ya CCM na upinzani, sasa ninaaamini kuwa the goal ni kujaribu kuleta balance of ishus hapa JF, lakini that kind of thinking is a waste too kwa sababu political ishus haziwi created, huwa at heart ni natural ishus, now ishu ya Waziri Chenge inaweza kuwa balanced only na waziri wa upinzani kuwa na the same amount or more ya za Chenge, lakini no way inaweza kuwa balanced na ishus kama hiii ya udikteta, ninasema no way! If anything ni sisi wenyewe kujishusha hadhi tu na ku-display level ya uwezo wetu wa kufikiri, I mean hivi wakuu mnajua kuwa kweli kuhusu uozo mwingi ambao bado haujasemwa wazi kuhusiana na baadhi ya viongozi wetu na tabia zao?

Wazee lets get serious angalau kidogo, kama kuna ishu nzito huko upinzani sawa, lakini lets be realistic na taifa letu jamani, heshima kwa wote lakini please not this kind of ishus! Lets be real, exactly what are you accomplishing nationally kwa mashambuliz ya Chadema, ni kwa faida ya wananchi, taifa, wewe, au kikundi fulani, na kama ni kikundi fulani do they real care kuwa uko hapa unawalalia macho Chadema?

Ahsante Wakuu!

FMES,
You are making some good points and can even feel your anger/pain. It is true that there are much bigger issues to discuss than what is going on in Chadema, but I think some how tuwe mult-dimensional, tusiache lolote nyuma kwa kukabiliana na moja tu linalotuumiza zaidi.

Chenge na wengineo wameweza kufanya ufisadi wao kwa vile hapakuwa na oposition ya kutosha hasa bungeni. Kuna kazi kubwa ya kufanyika upinzani ili uwe na nguvu bungeni. Binafsi sifurahii kuona eti tunategemea wabunge wawili-watatu tu, including kijana mdogo kama Mh. Kabwe ambaye hata hajafanya kazi serikalini, kutatua mizoga iliyokomaa kama akina Chenge. Tutakuwa tunajidanganya.

Nakumbuka Mwalimu JK alimshauri Mrema aachane na kugombea uraisi na ajitahidi zaidi kuongeza wabunge wa upinzani akakataa. Just imageine kama Maalimu Seif, Prof. Lipumba, Mrema n.k, wangekuwa ndani ya Bunge, upinzani ungekuwaje? Lakini hivi sasa hawapo na wamekuwa almost non issue in TZ politics where needed most, Bungeni.

Kwa hiyo wakati tunaendelea kukabiliana na akina Chenge n.k., ni vema tukaendelea pia kuvishauri vyama vya upinzani, hata kama mtoa ushauri ni upinzani au la, ili viweze kukua na kuimarisha demokrasia yetu. Tatizo tulilo nalo wengi wetu, CCM, Chadema, n.k., ni kuwa tunashindwa kutofautisha constructive criticism na ushabidki wa vyama. Tukikosolewa kidogo tunaona kama vile tunaumbuliwa, which is not the case.

As much as we fight ufisadi, we need as well to make sure that we groom our small parties in a way that serves the nation and not let them bloom on their own destructively.

Inshalah!
 
FMES,
You are making some good points and can even feel your anger/pain. It is true that there are much bigger issues to discuss than what is going on in Chadema, but I think some how tuwe mult-dimensional, tusiache lolote nyuma kwa kukabiliana na moja tu linalotuumiza zaidi.

Chenge na wengineo wameweza kufanya ufisadi wao kwa vile hapakuwa na oposition ya kutosha hasa bungeni. Kuna kazi kubwa ya kufanyika upinzani ili uwe na nguvu bungeni. Binafsi sifurahii kuona eti tunategemea wabunge wawili-watatu tu, including kijana mdogo kama Mh. Kabwe ambaye hata hajafanya kazi serikalini, kutatua mizoga iliyokomaa kama akina Chenge. Tutakuwa tunajidanganya.

Nakumbuka Mwalimu JK alimshauri Mrema aachane na kugombea uraisi na ajitahidi zaidi kuongeza wabunge wa upinzani akakataa. Just imageine kama Maalimu Seif, Prof. Lipumba, Mrema n.k, wangekuwa ndani ya Bunge, upinzani ungekuwaje? Lakini hivi sasa hawapo na wamekuwa almost non issue in TZ politics where needed most, Bungeni.

Kwa hiyo wakati tunaendelea kukabiliana na akina Chenge n.k., ni vema tukaendelea pia kuvishauri vyama vya upinzani, hata kama mtoa ushauri ni upinzani au la, ili viweze kukua na kuimarisha demokrasia yetu. Tatizo tulilo nalo wengi wetu, CCM, Chadema, n.k., ni kuwa tunashindwa kutofautisha constructive criticism na ushabidki wa vyama. Tukikosolewa kidogo tunaona kama vile tunaumbuliwa, which is not the case.

As much as we fight ufisadi, we need as well to make sure that we groom our small parties in a way that serves the nation and not let them bloom on their own destructively.

Inshalah!

Ni kweli mkuu hatuitaji kufanya makosa tena inabidi kuangalia even kwenye vyama vya upinzani ili kuakikisha hawajivalishi ngozi za kondoo kumbe ni fisi.
 
FMES,
You are making some good points and can even feel your anger/pain. It is true that there are much bigger issues to discuss than what is going on in Chadema, but I think some how tuwe mult-dimensional, tusiache lolote nyuma kwa kukabiliana na moja tu linalotuumiza zaidi.

Chenge na wengineo wameweza kufanya ufisadi wao kwa vile hapakuwa na oposition ya kutosha hasa bungeni. Kuna kazi kubwa ya kufanyika upinzani ili uwe na nguvu bungeni. Binafsi sifurahii kuona eti tunategemea wabunge wawili-watatu tu, including kijana mdogo kama Mh. Kabwe ambaye hata hajafanya kazi serikalini, kutatua mizoga iliyokomaa kama akina Chenge. Tutakuwa tunajidanganya.

Nakumbuka Mwalimu JK alimshauri Mrema aachane na kugombea uraisi na ajitahidi zaidi kuongeza wabunge wa upinzani akakataa. Just imageine kama Maalimu Seif, Prof. Lipumba, Mrema n.k, wangekuwa ndani ya Bunge, upinzani ungekuwaje? Lakini hivi sasa hawapo na wamekuwa almost non issue in TZ politics where needed most, Bungeni.

Kwa hiyo wakati tunaendelea kukabiliana na akina Chenge n.k., ni vema tukaendelea pia kuvishauri vyama vya upinzani, hata kama mtoa ushauri ni upinzani au la, ili viweze kukua na kuimarisha demokrasia yetu. Tatizo tulilo nalo wengi wetu, CCM, Chadema, n.k., ni kuwa tunashindwa kutofautisha constructive criticism na ushabidki wa vyama. Tukikosolewa kidogo tunaona kama vile tunaumbuliwa, which is not the case.

As much as we fight ufisadi, we need as well to make sure that we groom our small parties in a way that serves the nation and not let them bloom on their own destructively.

Inshalah!

Kweli mkuu,

Strategy inabidi pia isiwe ya kuzua mambo yasiyo na ushahidi kuwa chadema ni chama cha kikabila bila kuweka ushahidi wowote hapa!
 
Ni kweli mkuu hatuitaji kufanya makosa tena inabidi kuangalia even kwenye vyama vya upinzani ili kuakikisha hawajivalishi ngozi za kondoo kumbe ni fisi.

Yaani hapa ya kuwa vyama vya upinzani ni fisi imebidi nicheke kama sina akili nzuri. Anyway, time to go home now!

Thanks guys for good debate. Mkuu KJ, ukipata uthibitisho kuwa wateuliwa wa CHADEMA ni watu wa Kilimanjaro na sio wa Dar es salaam naomba uuweke na kesho tutaendelea na mjadala.

Nadhani CHADEMA wameonyesha mfano mkubwa kabisa wa kuweka matumizi yao mtandaoni na inabidi sisi TLP na hao CCM wafanye hivyo haraka sana. Hii ni pamoja na CHADEMA kuweka mengine zaidi ya yale ambayo hayajaweka ili hata CUF nao waweke na uwazi uwe mpana zaidi.
 
Hii ni muhimu unapoongelea alternative kwa wananchi lazima uwe na uhakika kuwa hiyo alternative ni safi ndo maana kama kuna lolote baya au zuri kwenye vyama vya upinzania lazima lijadiliwe sambamba na mabaya na mazuri ya CCM
 
Ni kweli mkuu hatuitaji kufanya makosa tena inabidi kuangalia even kwenye vyama vya upinzani ili kuakikisha hawajivalishi ngozi za kondoo kumbe ni fisi.

Mkuu Jamco,
Hayo unayosema ndio maneno ya busara, tukiwaachia bila uangalizi watakuwa wote mafisi na hatutakuwa na pa kukimbilia.
 
Kweli mkuu,

Strategy inabidi pia isiwe ya kuzua mambo yasiyo na ushahidi kuwa chadema ni chama cha kikabila bila kuweka ushahidi wowote hapa!

MwK,
Vuta pumzi kidogo ili tuache ushabiki na kutatua yanayotusibu, otherwise hatutaenda popote. Facts are facts, whether we like them or not, we can't run away from them.
 
MwK,
Vuta pumzi kidogo ili tuache ushabiki na kutatua yanayotusibu, otherwise hatutaenda popote. Facts are facts, whether we like them or not, we can't run away from them.

Ni kweli hatuwezi kuendekeza sentiment za watu hapa kwa sababu wana mapenzi na chama furani, kama tunavyomsema kada mpinzani lazima vile vile tumseme mzee Mkjj kama ataonyesha anapendelea CHADEMA zaidi provided kuna fact zinaonyesha anatetea upuuzi.
 
Yaani hapa ya kuwa vyama vya upinzani ni fisi imebidi nicheke kama sina akili nzuri. Anyway, time to go home now!
Thanks guys for good debate. Mkuu KJ, ukipata uthibitisho kuwa wateuliwa wa CHADEMA ni watu wa Kilimanjaro na sio wa Dar es salaam naomba uuweke na kesho tutaendelea na mjadala.

MwK,
Sitakwambia ukafanye reserch mwenyewe kama ulivyofanya hapo awali, lakini jaribu tu kutembelea hizi page uone hiyo distribution ya madaraka na maeneo watokayo.
http://www.chadema.net/uongozi/sekreta.php
http://www.chadema.net/uongozi/wabunge.php



Nadhani CHADEMA wameonyesha mfano mkubwa kabisa wa kuweka matumizi yao mtandaoni na inabidi sisi TLP na hao CCM wafanye hivyo haraka sana. Hii ni pamoja na CHADEMA kuweka mengine zaidi ya yale ambayo hayajaweka ili hata CUF nao waweke na uwazi uwe mpana zaidi.

Hapa naona umewadanganya wanaukumbi. Chadema walionyesha matumizi yao ya 2005 tu. Hivi sasa kuna malalamiko kutoka kwa wanachama wao na wameshindwa kuchapisha matumizi yao. This is very unfortunate. Waangalie kwenye hiyo link yao. Ni vema wakaweka wazi zaidi mambo yao, hasa kunapokuwa na utata, kama tunavyokubaliana hivi sasa.
http://www.chadema.net/uchaguzi/gharama.php

MwK, It was a nice debate and hope you took some of my views with you. Cheers
 
Ni kweli hatuwezi kuendekeza sentiment za watu hapa kwa sababu wana mapenzi na chama furani, kama tunavyomsema kada mpinzani lazima vile vile tumseme mzee Mkjj kama ataonyesha anapendelea CHADEMA zaidi provided kuna fact zinaonyesha anatetea upuuzi.

Jamco,
Sema, semaa usiogope semaaa!! You made my day, cheers.
 
MwK,
Sitakwambia ukafanye reserch mwenyewe kama ulivyofanya hapo awali, lakini jaribu tu kutembelea hizi page uone hiyo distribution ya madaraka na maeneo watokayo.
http://www.chadema.net/uongozi/sekreta.php
http://www.chadema.net/uongozi/wabunge.php

Katika hili nitakujibu hata kama connection yangu hapa nilipo sio nzuri sana. Hebu wewe ambaye unaweza kujua watu ni wa mkoa gani kwa kuangalia majina sema hilo na wala usikwepe hapa.

Taja majina kisha useme unafikiria kuwa wanatoka mkoa gani na kisha tufanye uchunguzi tujue kama kweli hao watu wanatoka mkoa wa kilimanjaro na sio Dar Es Salaam like most of us here as far as I know.

Hapa naona umewadanganya wanaukumbi. Chadema walionyesha matumizi yao ya 2005 tu. Hivi sasa kuna malalamiko kutoka kwa wanachama wao na wameshindwa kuchapisha matumizi yao. This is very unfortunate. Waangalie kwenye hiyo link yao. Ni vema wakaweka wazi zaidi mambo yao, hasa kunapokuwa na utata, kama tunavyokubaliana hivi sasa.
http://www.chadema.net/uchaguzi/gharama.php

MwK, It was a nice debate and hope you took some of my views with you. Cheers

hapa wewe ndiye unadaganya kwa kusema kuwa Chadema hawaweki wazi matumizi yao na kuwaita kuwa wao ni sawa na ccm na kisha wewe mwenyewe unadai kuwa wameweka mapato yao na matumizi ya mwaka 2005. Hii ni tofauti kubwa kabisa na ccm ambao hakuna mtu wa nje ya mtandao anajua mapato yao na matumizi yao. Kwa hili umedanganya na mimi bado niko right.

Zaidi sana nakusubiria utoe majina na useme wanatoka mkoa gani hao wateuliwa wa Chadema. Masaa mengi sana yamepita kuanzia nitoe hili ombi?
 
Ni kweli hatuwezi kuendekeza sentiment za watu hapa kwa sababu wana mapenzi na chama furani, kama tunavyomsema kada mpinzani lazima vile vile tumseme mzee Mkjj kama ataonyesha anapendelea CHADEMA zaidi provided kuna fact zinaonyesha anatetea upuuzi.

Na hapa unamsema Mkjj kuwa amefanya nini so far. Huo upuuzi unaoutaja hapa ni upi? Ametetea nini kwenye hili so far zaidi ya kuuliza maswali ambayo sio wewe wala wana ccm hapa na wapambe wao wameshindwa kujibu?

Mbona unajichanganya mkuu! Kuwa wazi sio kutoa madai na kuita watu wapuuzi kwa kitu ambacho kinakuonyesha kuwa labda wewe ndio unaweza kuwa kwenye upuuzi zaidi!
 
Back
Top Bottom