Na hapa unamsema Mkjj kuwa amefanya nini so far. Huo upuuzi unaoutaja hapa ni upi? Ametetea nini kwenye hili so far zaidi ya kuuliza maswali ambayo sio wewe wala wana ccm hapa na wapambe wao wameshindwa kujibu?
Mbona unajichanganya mkuu! Kuwa wazi sio kutoa madai na kuita watu wapuuzi kwa kitu ambacho kinakuonyesha kuwa labda wewe ndio unaweza kuwa kwenye upuuzi zaidi!
tumeshindwa kuelewana sikuwa na maana kuwa mkjj ametetea CHADEMA kwenye hii thread nimemtolea mfano kwa sababu wanamlaumu sana kuwa ni mtetezi wa CHADEMA kama KADA anavyolaumiwa kwa CCM, pole kwa hilo