CHADEMA na Udikteta Makao Makuu

mmh.. hapa naona kuna vituko. Mbona huyo aliyetoa hizo tuhuma na yeye anatuhumiwa kuhusu ukabila wake pale Foreign na hajaja kujibu? Wakati tunamsubiri mwanakjj kujibu mimi naona na mtoa tuhuma naye ajibu tuhuma nilizotoa dhidi yake kuwa ni mkabila, anatumia cheo chake vibaya na anatishia wachagga walio chini yake pale foreign kwa sababu ya ukaribu wake na muungwana. aje na yeye ajibu tuhuma hizo.

Ila hapo sijaelewa mbona hizo habari za mwanakijiji kugombanisha chadema hazijasemwa popote? Kwani yeye ana nguvu gani za kuweza kuchonganisha chama hicho. Nadhani mnataka kumpa nguvu asizokuwanazo! Hana ujiko wa kuweza kugombanisha viongozi wa chama kama Chadema.

Mwisho mtataka kusema ni yeye ndiye anaanzisha migogoro ndani ya CCM!

Asanteni.
 
mmh.. hapa naona kuna vituko. Mbona huyo aliyetoa hizo tuhuma na yeye anatuhumiwa kuhusu ukabila wake pale Foreign na hajaja kujibu? Wakati tunamsubiri mwanakjj kujibu mimi naona na mtoa tuhuma naye ajibu tuhuma nilizotoa dhidi yake kuwa ni mkabila, anatumia cheo chake vibaya na anatishia wachagga walio chini yake pale foreign kwa sababu ya ukaribu wake na muungwana. aje na yeye ajibu tuhuma hizo.

Ila hapo sijaelewa mbona hizo habari za mwanakijiji kugombanisha chadema hazijasemwa popote? Kwani yeye ana nguvu gani za kuweza kuchonganisha chama hicho. Nadhani mnataka kumpa nguvu asizokuwanazo! Hana ujiko wa kuweza kugombanisha viongozi wa chama kama Chadema.

Mwisho mtataka kusema ni yeye ndiye anaanzisha migogoro ndani ya CCM!

Asanteni.

Bi senti karibu tena!

Wazima lakini huko Chimwaga? Naona Kikwete kaamua kuja US tena kukutana na Kichaka! Tutapona kweli?
 
hawa wametuharibia tu; nilikuwa niwe kwenye msafara wangu wa kwanza na mkuu wetu hapa lakini ndio hivyo mwenyewe katushushua. Lakini kuna mpango wa kuja baadaye mwaka huu (labda Julai) na siye wengine tupate hivyo vi per diem...

asante.
 
Hakuna kusema inaelekea Asha ni mwana ndani wa Chadema no ila amesha sema yeye ni mndani wa Chadema na kajibu kama Chadema si kama mimi Lunyungu sasa hadithi za kazi gani tena?Majibu ya Chadema yako wazi toka kwa wana Chadema bado unataka Chadema wake kujibu hoja .Unataka Chadema Mnyika ama Mbowe ? Lini Makamba ama JK ama hata kiongozi mmoja wa CCM alifika hapa JF kujibu hoja ?

Mkuu Lun,
Sidhani inaeleweka kuwa Asha alitoa majibu kama Chadema au kama shabiki wa Chadema. Ni muhimu kutofautisha haya, na ndio maana nilimuita tu mwanandani. Kama anatoa majibu kama Chadema, angetufahamisha anafanya hivyo at what capacity, na pia ningemshauri kama ni msemaji wa Chadema, basi pia ayaweke wazi majibu yake kwenye vyombo vya habari ili ieleweke kwa wanachama na umma kwa ujumla kuwa asemayo ndio msimamo wa Chadema.

Zaidi ya hayo, sijaona kama Asha ametoa jibu lolote kwenye yale yaliyolalamikiwa, esp. ugawaji mali na ukabila, bali amejaribu tu kusukumia shutuma zilizoelekezewa Chadema kwa msajili wa vyama na kwa CCM. I doubt if this is how one defeats allegations or complains, especialy when supported, somewhat, by information in Chadema's own www.
 
Mkuu Lun,
Sidhani inaeleweka kuwa Asha alitoa majibu kama Chadema au kama shabiki wa Chadema. Ni muhimu kutofautisha haya, na ndio maana nilimuita tu mwanandani. Kama anatoa majibu kama Chadema, angetufahamisha anafanya hivyo at what capacity, na pia ningemshauri kama ni msemaji wa Chadema, basi pia ayaweke wazi majibu yake kwenye vyombo vya habari ili ieleweke kwa wanachama na umma kwa ujumla kuwa asemayo ndio msimamo wa Chadema.

Zaidi ya hayo, sijaona kama Asha ametoa jibu lolote kwenye yale yaliyolalamikiwa, esp. ugawaji mali na ukabila, bali amejaribu tu kusukumia shutuma zilizoelekezewa Chadema kwa msajili wa vyama na kwa CCM. I doubt if this is how one defeats allegations or complains, especialy when supported, somewhat, by information in Chadema's own www.

Majibu yote yamejibiwa na Karugendo na wengine hapa na usianze kumsakama Asha bure maana hata wewe hujajibu swali kama ccm ni chama cha kiislam au la!
 
hawa wametuharibia tu; nilikuwa niwe kwenye msafara wangu wa kwanza na mkuu wetu hapa lakini ndio hivyo mwenyewe katushushua. Lakini kuna mpango wa kuja baadaye mwaka huu (labda Julai) na siye wengine tupate hivyo vi per diem...

asante.

Pole dada!

Ukija US niambie nitakukaribisha babikiu. Siwezi kusubiri kuona hilo patashika lako na Mkjj (btw mbona unamfuatafuata sana Mkjj bila sababu au kosa lolote?)
 
ebu endelea kumbipu huyo Lunyungu halafu tuone kama atapokea. dola zitaisha upande wetu iweje asipokee ?

halafu chunga mkuu maana utaambiwa wewe ni mmoja wa wale waliomo kwenye "kada na kundi lake"/"Kundi la kada".

yaani na wewe una "kundi"? mwanamme unapenda kujivika ujiko hadi inatia aibu. Mwiteni rafiki yenu mswahili a.k.a chinga a.k.a mtalii aje ajibu hoja za ukabila wake hapa asikimbie.

asante.
 
Majibu yote yamejibiwa na Karugendo na wengine hapa na usianze kumsakama Asha bure maana hata wewe hujajibu swali kama ccm ni chama cha kiislam au la!

MwK,
Heshima yako. Naomba uelewe kuwa, nia sio kumsakama Asha au mtu yeyote, lakini kuna haja ya kuweka mambo wazi bila ushabiki kama tutakuwa tunatetea nchi na sio individuals au chama fulani.

Binafsi sijaona majibu yeyote juu ya jinsi mgao wa ruzuku ulivyofanyika ndani ya Chadema kama ilivyolalamikiwa, bali nimeona lawama ikihamishiwa kwa msajili wa vyama. Pia sijaona majibu juu ya ukabila ambao pia umelalamikiwa na inaonekana kuwepo ushahidi kwenye www.Chadema.net. Badala yake tumeambiwa tu kuwa hata CCM nao wana upendeleo wao wa kidini. I beg to differ, this should never be the reason why regional biases be allowed to exist within Chadema. Haya kwangu sio majibu, lau kama kuna majibu yaliyotolewa ya kuridhisha, naomba uni-link, maana mimi sijayaona.
 
MwK,
Heshima yako. Naomba uelewe kuwa, nia sio kumsakama Asha au mtu yeyote, lakini kuna haja ya kuweka mambo wazi bila ushabiki kama tutakuwa tunatetea nchi na sio individuals au chama fulani.

Binafsi sijaona majibu yeyote juu ya jinsi mgao wa ruzuku ulivyofanyika ndani ya Chadema kama ilivyolalamikiwa, bali nimeona lawama ikihamishiwa kwa msajili wa vyama. Pia sijaona majibu juu ya ukabila ambao pia umelalamikiwa na inaonekana kuwepo ushahidi kwenye www.Chadema.net. Badala yake tumeambiwa tu kuwa hata CCM nao wana upendeleo wao wa kidini. I beg to differ, this should never be the reason why regional biases be allowed to exist within Chadema. Haya kwangu sio majibu, lau kama kuna majibu yaliyotolewa ya kuridhisha, naomba uni-link, maana mimi sijayaona.

Bado hujasema hizo regional biases zinatoka au ziko wapi. Kuna watu wawili muhimu sana kwenye siasa za Chadema ambao ni Mtei na Bob Makani. Last time I checked, Makani sio mchaga.

Last time I checked, Chadema inashikiria halmashauri ya wilaya ya Tarime ambayo haina mchaga hata mmoja. Hili swali limeulizwa mara kwa mara na likapewa majibu na kama ukiendelea kuliuliza utapata majibu hayo hayo bila kujali nani anakupatia hayo majibu.

Chadema ndio chama pekee ambacho kimeweka mapato na matumizi yao mtandaoni kwa watanzania kujisomea. Nasikitika kuwa hata chama changu cha mkombozi wa wanawake na wafanyakazi walalahoi -mzee wa kiraracha Mrema - bado hakijafikia hapa.

Kumbuka kuwa hakuna research assitant wako wa kukufanyia homework zako hapa. Hizi habari zote zinazowekwa hapa dhidi ya ccm zinapatikana baada ya effort kubwa toka kwa wanaoziweka hapa ambao baadhi yao wako mbali sana na Tanzania. Katika hili wewe nenda tu hapo kwa msajili au kwenye mtandao ili kujua hili kama hutaki yale majibu uliyopewa au yale yaliyokwishatolewa hapa!

Okay?
 
wakijibu hilo swali watajua ni kwa jingi wanafanya makosa ambayo yanaitwa kifalsafa "haste generalization"..
 
Bado hujasema hizo regional biases zinatoka au ziko wapi. Kuna watu wawili muhimu sana kwenye siasa za Chadema ambao ni Mtei na Bob Makani. Last time I checked, Makani sio mchaga.

Last time I checked, Chadema inashikiria halmashauri ya wilaya ya Tarime ambayo haina mchaga hata mmoja. Hili swali limeulizwa mara kwa mara na likapewa majibu na kama ukiendelea kuliuliza utapata majibu hayo hayo bila kujali nani anakupatia hayo majibu.

Chadema ndio chama pekee ambacho kimeweka mapato na matumizi yao mtandaoni kwa watanzania kujisomea. Nasikitika kuwa hata chama changu cha mkombozi wa wanawake na wafanyakazi walalahoi -mzee wa kiraracha Mrema - bado hakijafikia hapa.

Kumbuka kuwa hakuna research assitant wako wa kukufanyia homework zako hapa. Hizi habari zote zinazowekwa hapa dhidi ya ccm zinapatikana baada ya effort kubwa toka kwa wanaoziweka hapa ambao baadhi yao wako mbali sana na Tanzania. Katika hili wewe nenda tu hapo kwa msajili au kwenye mtandao ili kujua hili kama hutaki yale majibu uliyopewa au yale yaliyokwishatolewa hapa!

Okay?



MwK,

Tarime inayoshikiliwa na Chadema, imejaa watu wa Tarime, like wise kule Rombo iliyo ya CCM imejaa wa Warombo, au ya Mkoani, Pemba iliyo ya CUF wote ni wapemba na waislamu. Hii ni kutokana na asili ya wakazi walio wengi wa eneo husika.

Lakini kufungia macho kero za wapiga kura kuwa 70% kitaifa ya wabunge wa kuteuliwa, au sekretarieti n.k., n.k. hutokea eneo moja, kuwa sio kasoro ni kujidanganya. Tanzania tumepiga hatua kwenye mambo ya kiukabila lakini sio kuwa tumeyamaliza kabisa. Tribalism is a serious allegation that Chadema has to explain or tackle head on, and not just sweep under the carpet hoping for them to disappear, especially malalamiko yanapokuwapo kwa muda mrefu hadi magazetini.

Ruzuku iliyochapishwa ni ya matumizi ya uchaguzi mkuu 2005 tu, kama ilivyo kwenye http://www.chadema.net/uchaguzi/gharama.php. Uchapishwaji wenyewe unaonekana zaidi kuwa na nia ya kuwaumbua CCM waliokuwa 'allergedly', wametumia $40 billioni, kitu ambacho nafikiri ilikuwa ni kizuri kwa Chadema kufanya. Lakini wasingeishia hapo, ingekuwa rahisi kabisa kwa Chadema kuwakata ngebe wanaolalamika kwa kuweka wazi mtandaoni mgao wa ruzuku wanayopata kila mwaka, ili kila mtu auone unavyotumika. What is wrong with that?? It is transparency that is missing in CCM, and Chadema should capitalise on the CCM's mess instead of joining them.
 
Kusema kweli mimi siyo mshabiki wa vyama vya kisiasa lakini nakili kabisa kwamba chadema ni chama cha kikabila nitatoa ushahidi next time
 
MwK,

Tarime inayoshikiliwa na Chadema, imejaa watu wa Tarime, like wise kule Rombo iliyo ya CCM imejaa wa Warombo, au ya Mkoani, Pemba iliyo ya CUF wote ni wapemba na waislamu. Hii ni kutokana na asili ya wakazi walio wengi wa eneo husika.

hapa unajichanganya kwa vile unaeleza kitu ambacho kinajibu unachojaribu kuuliza hapa. Kwa kifupi hauleleweki mkuu maana hii issue ya ukabila inakurudi hata wewe mwenyewe!

Lakini kufungia macho kero za wapiga kura kuwa 70% kitaifa ya wabunge wa kuteuliwa, au sekretarieti n.k., n.k. hutokea eneo moja, kuwa sio kasoro ni kujidanganya. Tanzania tumepiga hatua kwenye mambo ya kiukabila lakini sio kuwa tumeyamaliza kabisa. Tribalism is a serious allegation that Chadema has to explain or tackle head on, and not just sweep under the carpet hoping for them to disappear, especially malalamiko yanapokuwapo kwa muda mrefu hadi magazetini.

Soma jibu langu hapo juu!

Ruzuku iliyochapishwa ni ya matumizi ya uchaguzi mkuu 2005 tu, kama ilivyo kwenye http://www.chadema.net/uchaguzi/gharama.php. Uchapishwaji wenyewe unaonekana zaidi kuwa na nia ya kuwaumbua CCM waliokuwa 'allergedly', wametumia $40 billioni, kitu ambacho nafikiri ilikuwa ni kizuri kwa Chadema kufanya. Lakini wasingeishia hapo, ingekuwa rahisi kabisa kwa Chadema kuwakata ngebe wanaolalamika kwa kuweka wazi mtandaoni mgao wa ruzuku wanayopata kila mwaka, ili kila mtu auone unavyotumika. What is wrong with that?? It is transparency that is missing in CCM, and Chadema should capitalise on the CCM's mess instead of joining them.

Nadhani hapa unarudia nilichoeleza hapo juu kuwa so far hata TLP hawajatoa report yao na ninamshawishi mwenyekiti wetu atoe hayo mapato na matumizi kwenye mtandao ili watu wasome kwani chadema ndio chama pekee ambacho kimefanya hili.

Next .....
 
yaani na wewe una "kundi"? mwanamme unapenda kujivika ujiko hadi inatia aibu. Mwiteni rafiki yenu mswahili a.k.a chinga a.k.a mtalii aje ajibu hoja za ukabila wake hapa asikimbie.

asante.

dada mimi sijiviki uwakili mwenyewe. LUNYUNGU NDIYE ALIYESEMA KADA ANA KUNDI LAKE HUMU JAMBOFORUMS, UNABISHA ? MUULIZE ! sasa kama huo ujiko nadhani nimevishwa na sio kujivisha kama ulivyodai !

uwe unasomaga siku nyingine.
 
MwK,

Tarime inayoshikiliwa na Chadema, imejaa watu wa Tarime, like wise kule Rombo iliyo ya CCM imejaa wa Warombo, au ya Mkoani, Pemba iliyo ya CUF wote ni wapemba na waislamu. Hii ni kutokana na asili ya wakazi walio wengi wa eneo husika.
hapa unajichanganya kwa vile unaeleza kitu ambacho kinajibu unachojaribu kuuliza hapa. Kwa kifupi hauleleweki mkuu maana hii issue ya ukabila inakurudi hata wewe mwenyewe!

Lakini kufungia macho kero za wapiga kura kuwa 70% kitaifa ya wabunge wa kuteuliwa, au sekretarieti n.k., n.k. hutokea eneo moja, kuwa sio kasoro ni kujidanganya. Tanzania tumepiga hatua kwenye mambo ya kiukabila lakini sio kuwa tumeyamaliza kabisa. Tribalism is a serious allegation that Chadema has to explain or tackle head on, and not just sweep under the carpet hoping for them to disappear, especially malalamiko yanapokuwapo kwa muda mrefu hadi magazetini.

Soma jibu langu hapo juu!

Ruzuku iliyochapishwa ni ya matumizi ya uchaguzi mkuu 2005 tu, kama ilivyo kwenye http://www.chadema.net/uchaguzi/gharama.php. Uchapishwaji wenyewe unaonekana zaidi kuwa na nia ya kuwaumbua CCM waliokuwa 'allergedly', wametumia $40 billioni, kitu ambacho nafikiri ilikuwa ni kizuri kwa Chadema kufanya. Lakini wasingeishia hapo, ingekuwa rahisi kabisa kwa Chadema kuwakata ngebe wanaolalamika kwa kuweka wazi mtandaoni mgao wa ruzuku wanayopata kila mwaka, ili kila mtu auone unavyotumika. What is wrong with that?? It is transparency that is missing in CCM, and Chadema should capitalise on the CCM's mess instead of joining them.

Nadhani hapa unarudia nilichoeleza hapo juu kuwa so far hata TLP hawajatoa report yao na ninamshawishi mwenyekiti wetu atoe hayo mapato na matumizi kwenye mtandao ili watu wasome kwani chadema ndio chama pekee ambacho kimefanya hili.

Next .....

MwK,

I think you are missing my point. Chadema Tarime kutokuwepo na uongozi wa waKilimanjaro haina maana hakuna element za ukabila chamani. Mikoani ni vigumu ukabila kujitokeza kutokana na asili ya wakazi wake. Lakini inapokuwa kitaifa kabila fulani lina-uwakilishi mkubwa kuliko wengine, then it becomes an issue.

Kuhusu ruzuku kuchapishwa, angalau sasa unakubaliana na mimi kuwa jibu la kelele zake ni kuchapisha mgawanyo ili kila mtu auone. Kwa hiyo Chadema, kama ilivyo kwa chama chako TLP, wote wanatakiwa wafanye hivyo na wasimsingizie msajili wa vyama na kuwa wanachama wao wakitaka maelezo basi waende wakapatie habari za mgao huko kwa msajili. Chadema, TLP, n.k. are first responsible to their members and not to msajili.
 
Back
Top Bottom