ksny
JF-Expert Member
- Mar 30, 2016
- 1,692
- 1,657
Kabla ya kuandamana sikiliza:Mimi sijashikiliwa na Mambosasa. Nitakuwepo asubuhi kuandamana. Wapenda haki wote tujitokeze.
Kabla ya kuandamana sikiliza:Mimi sijashikiliwa na Mambosasa. Nitakuwepo asubuhi kuandamana. Wapenda haki wote tujitokeze.
Maandamano ya nini mkuu? Wananchi wameshamaliza kufanya uchaguzi.Hahahhaha mkuu upo?
Naona mnachekelea baada ya kubaka uchaguzi.
Kma ulisoma law of diminishing returns then inapaswa uunge mkono maandamano ya kesho maana ndio yameshikilia hatma ya siasa zetu kwa miaka 20 ijayo.
Wewe uko wapi ,mbona ip address yake inaonyesha huko hapaYani nyie ndio makichaa kabisa em tulia uvae barakoa uko, mnatuhamasisha tuvuruge amani huku kwasababu hamtakuwepo hapa eeh, endelea kuota..
Mimi niko hapa visiwani nitakutia picha ikiwezekanaTuma picha tuone
Wewe utakuwa juha si bure. Unapinga kwani ulipiga kura? Acha uzembweteTAARIFA MUHIMU SANA!!!
Watanzania tuishio nje ya nchi (TANZANIA DIASPORA) tumeanza kuandamana kupinga UCHAFUZI uliofanyika juzi hapo nyumbani Tanzania!
Hawa ni ndugu zetu kutoka Ulaya ya Kaskazini (Sweden , Norway na Denmark ) ambao tayari wameanza maandamano yao nje ya Ubalozi wetu uliopo Stockholm, Sweden...
Kwani wewe uliipiga? Mimi niöikuwa wakala kituo cha rahaleo na nikatolewaWewe utakuwa juha si bure. Unapinga kwani ulipiga kura? Acha uzembwete
Huenda ndio lengo la kuanzia Buguruni na Ubungo (huko kuna Manzese na Tandale ) .Vibaka na wanyang'anyi ndio hutumiaga huu mwanya. Na hao ndio watao andama. Watanzania sisi mpaka uamke ndio ule, uende ukaandamane utakula nini?
Mama yangu kaingiaje hapa, hebu jiulize mwenyewe kama una hata chembe ndogo tu ya busara.Swali la kijinga sana hili. Umelirudiarudia siku nzima. Hivi hauna kingine cha kuuliza? Mamko angeweza kumzuia dikteta mwenye vifaru na mabunduki hayo? Muulize hapo mamko kama angeweza kuzuia uchaguzi uliotayarishwa na dikteta ambaye ana jeshi, TISS, polisi, NEC, Masajili, TCRA, Mamlaka ya Anga... Jibu atakalokupa mamko ndilo jibu hilo.
Na wewe unajihesabu kuwa upande wa upinzani?Mamko ana jibu lake.
VandettaNdugu yangu posho za ubunge ufaidi na familia yako, baada ya kukosa uniingize mimi barabarani nikale mkong'oto wa Polisi . Chukua familia yako itangulize mbele. Mimi najua uchaguzi umeisha kifuatacho ni kuchapa kazi.
Sijui umetumia vigezo gani kuhitimisha kwamba mimi ni kapuku, na izo M.A za Warwick na Bucerius na vinginevyo aliyekuambia mtu anashiba pesa ni nani, bado mnataka posho za ubunge na mashangingi ya bure, pesa haitoshi usituone watoto wadogo.Shida mnadhani siasa ni ajira. Huyo zitto au Lissu wana professions nje ya siasa so hawasaki life bali wanakula matunda ya taaluma zao hta nje ya siasa.
Kma mlidhani bila ubunge watakua kapuku kama ww then pole sana. Wenzio wana M.A za Warwick na Bucerius ndio uwaonee huruma?
Ndio yale mambo ya tajiri akiugua mnashangilia unadhani akiporomoka ww ndio utapanda!!
Typical black mentality
Niko hapa buguruni shell nakunywa chai nawasubiri wadau! Tumejipanga tutathubutu na tunaweza! Tuliweza airport hatushindwi fanyeni chap chapMakamanda tupo tayari?
Niko hapa buguruni shell nakunywa chai nawasubiri wadau! Tumejipanga tutathubutu na tunaweza! Tuliweza airport hatushindwi fanyeni chap chap
SAA mbili na dakika tano tunanyanyua mzigo safari inaanza, wengine tutakutana nao mbele kwa bwele! Msiache kubeba maji ya kunywa kama rejeta!Safi sana, sisi tupo huku Ubungo... naona wapigania-haki wanazidi kumiminika tu.
Usipojiongeza hayo maisha ya kuamka ndipo ujue utakula nini utakufa nayo.Vibaka na wanyang'anyi ndio hutumiaga huu mwanya. Na hao ndio watao andama. Watanzania sisi mpaka uamke ndio ule, uende ukaandamane utakula nini?