CHADEMA kuwa na hofu na Majaji wa Mahakama Kuu ni dalili mbaya, tunaashiria kuwa Mbowe ana makosa

Kama hana kosa kwa nini kuwa na hofu kuwa atatiwa hatiani kwa makosa ambayo hajafanya?

Jaji ni mwamuzi anayeangalia ushahidi wa pande zote mbili. Na anaamua kwa kufuata haki.

Tulipinga kwa nguvu zote Jaji Limuvanda kusikiliza kesi ya Mbowe. Sasa jaji Nsiyani naye tunakuwa na hofu nae.

Tutulize munkari tusibiri kuona mahakama ikienda haki tuache lawama za mapema.
labda aje Mtei na Lissu ndo wawe majaji
 
lakini unaposema hivyo bado siyo sahihi maana kosa lipo (linahisiwa maana halijathibitika) sasa kosala hati inakuwaje iondoe shitaka lote? inamaana alisingiziwa?hata kama alisingiziwa inabidi kesi iendelee ili ionekane kuwa alisingiziwa hapo suala ni kuendelea na kesi hati inarekebishwa ili kila mtu baada ya hukumu asitoke na lawama
Hati ndo yenye mashitaka, inakuaje hati halali kama ina mashitaka fake?! Uhali wa mashitaka unapotea kwa makosa yale, ambayo kwa ujumla ni kusingiziwa su kubambikiwa tangu awali, #Mbowesiyogaidi. Kama Mbowe akiwa gaidi, mwana-ccm Hamza, atakua nani?
 
Kama hana kosa kwa nini kuwa na hofu kuwa atatiwa hatiani kwa makosa ambayo hajafanya?

Jaji ni mwamuzi anayeangalia ushahidi wa pande zote mbili. Na anaamua kwa kufuata haki.

Tulipinga kwa nguvu zote Jaji Limuvanda kusikiliza kesi ya Mbowe. Sasa jaji Nsiyani naye tunakuwa na hofu nae.

Tutulize munkari tusibiri kuona mahakama ikienda haki tuache lawama za mapema.
Kibatala alishasema Mbowe ni Gaidi aliyepelekwa katika mahakama isiyo sahihi. na aliweka pingamizi kuomba Mbowe apelekwe kwenye Mahakama ya inayoshughulikia Magaidi sio hii ya Wahujumu Uchumi. 😂 😂 😂
 
jaji alitakiwa kumwachia mtuhumiwa ili akamatwe tena kesi ianze upya sasa kunatofauti gani kati ya kumwachia akakamatwa tena na kuwaambia wakarekebishe hati?
Hii ndio shida ya nchi hii. Jaji hakupaswa kujihusisha na nini kinatokea kwa Mbowe kabla hajasikiliza kesi na kutoa uamuzi. Unajua kuwa kesi hii ilifunguliwa na mshitakiwa akitaka aachiwe huku kwa sababu hati si sahihi?? Kama hati haikuwa sahihi (jambo lililopingwa na jamhuri) basi haki kwa mshitakiwa ilikuwa ni kuachiwa huru!! Kisha jamhuri imkamate tena na katika saa 48 ilete mashtaka upya!!

Usichojua wewe ni kuwa Jaji anajua madhara ya kumwachia Mbowe huru na katika namna ya ajabu anakiri kuna makosa lakini makosa hayo yarekebishwe! Kesi inakokwenda ni kugumu zaidi kuliko ilikotoka coz utetezi unataka kutendewa haki kuhisiana na shauri lao la ukamilifu wa hati ya mashtaka. Hapo bado hata hawajafikia kwenye utetezi wa makosa. Hivi hawa washtakiwa ndio wale Rais alisema BBC kuwa tayari wanatimikia adhabu ya makosa yao???
 
Hii ndio shida ya nchi hii. Jaji hakupaswa kujihusisha na nini kinatokea kwa Mbowe kabla hajasikiliza kesi na kutoa uamuzi. Unajua kuwa kesi hii ilifunguliwa na mshitakiwa akitaka aachiwe huku kwa sababu hati si sahihi?? Kama hati haikuwa sahihi (jambo lililopingwa na jamhuri) basi haki kwa mshitakiwa ilikuwa ni kuachiwa huru!! Kisha jamhuri imkamate tena na katika saa 48 ilete mashtaka upya!!

Usichojua wewe ni kuwa Jaji anajua madhara ya kumwachia Mbowe huru na katika namna ya ajabu anakiri kuna makosa lakini makosa hayo yarekebishwe! Kesi inakokwenda ni kugumu zaidi kuliko ilikotoka coz utetezi unataka kutendewa haki kuhisiana na shauri lao la ukamilifu wa hati ya mashtaka. Hapo bado hata hawajafikia kwenye utetezi wa makosa. Hivi hawa washtakiwa ndio wale Rais alisema BBC kuwa tayari wanatimikia adhabu ya makosa yao???
Msimnukuu vibaya rais alisema wengine wanatumikia kwa sababu wengine walishaachiwa baada ya kuonekana hawana makosa ni hukumu hiyo pia na mbowe anakimbilia kuwa hati ina makosa aachiwe kwanini asiseme yarekebishwe ili ahukumiwe kwa haki? na hukumu siyo lazima afungwe hata kutoka nayo ni hukumu
 
Kama hana kosa kwa nini kuwa na hofu kuwa atatiwa hatiani kwa makosa ambayo hajafanya?

Jaji ni mwamuzi anayeangalia ushahidi wa pande zote mbili. Na anaamua kwa kufuata haki.

Tulipinga kwa nguvu zote Jaji Limuvanda kusikiliza kesi ya Mbowe. Sasa jaji Nsiyani naye tunakuwa na hofu nae.

Tutulize munkari tusibiri kuona mahakama ikienda haki tuache lawama za mapema.
Mambo yangekuwa kama unavyosema jaji mkuu mstaafu asingemlalamikia Magufuli kuhusu kupata wakati mgumu kutokana na vimemo vya hukumu.
 
Back
Top Bottom