CHADEMA kuwa na hofu na Majaji wa Mahakama Kuu ni dalili mbaya, tunaashiria kuwa Mbowe ana makosa

Cha kushangaza zaidi wafuasi wake wanamfananisha Mwamba na Mandela humu kila siku, Mandela alikaa jela miaka 27 na bado alikuwa ngangari!! Mwamba wiki 6 tu ametepeta vibaya mnoo, hata kubeba maji ya uhai ya lita 1 ni mzigo kwake, wafuasi wake wanapiga mayowe kila kona aachiwe, wanamshinikiza na Samia amwachie as if Samia ndiyo kamkamata!! Huyu Mandela wa CDM huyu tumepigwa
 
Wewe sio mwanachama wa Chadema and we know you kutokana na comments za nyuma

Umejenga hii ID kuleta comments za pessimissm kujenga taswira Chadema is dying,ambapo si kweli.

Nikuchane tu kidogo:

Serikali ya CCM imeacha kazi yake ya siasa na kuikabidhi kwa jeshi na mahakama iifanyie hiyo kazi

Hivyo hii serikali ime politicise jeshi na mahakama yenyewe,na consequences zake ndio hizi itazipata yenyewe

Mahakama imekua uwanja wa siasa na jeshi limegeuzwa chama cha siasa,therefore chochote kitakachofanywa na hivi vyombo yote ni politically charged.

Hili kosa ni la serikali ya CCCM yenyewe,mahakama na jeshi havitakaa viaminike

Na Chadema kama kawaida inapita mule mule ku amplify politics ndani ya hivi vyombo maana ni njia ya kipumbavu mmeamua kutumia

CCM wamelala majumbani wameacha kazi ya siasa wafanyiwe na jeshi na mahakama

Hii ndio effect,na infact loser ni serikali ya CCM na mama na group lake la clowns....

CCM kazi yake ni siasa,Chadema kazi yake ni siasa,let these units do their work.

Mahakama sio chama cha siasa,jeshi sio chama cha siasa,sasa hivi vyombo vimegeuzwa vyama vya siasa kwa lazima kufanya siasa za CCM badala ya CCM kuifanya hiyo kazi

Kinachosubiriwa ni effects mbaya sana zitafuata na nchi haitakua stable kabisa

Hivi vyombo bahati mbaya havijui siasa,ila vimelazimishwa,jeshi la polisi limeshachoka kuifanyia CCM siasa,clip ya OCD ina prove hili..Hawa askari wamechoka kufanya kazi ambayo sio yao,hawajasomea,kila siku wanatukanwa na kudharaulika na wnanchi

Mahakama nayo inachoka kuifanyia siasa CCM,wanadharauliwa na wananchi kila mahali,hawana raha

Ndio shida serikali ya huyu mama inachofanya of which is nonsense

Siasa achia vyama vipambane maana ndio kazi yao naturally....mahakama na jeshi vimeshaharibiwa,na hawa watu hawana raha,hawana raha kulazimishwa kufanya kazi ambayo sio yao

We are in deep ship,mama atavuna alichopanda kwasababu hatumii akili sawa sawa..Ujinga una gharama kubwa na atalipa,hakuna option.
Wewe hujitambui na hujui lolote. Kusimamia ukweli ndio kosa?
 
Hoja ni kwamba baada ya kusema hati ya mashtaka ina makosa ikarekebishwe maana yake tangia hapo hakuna mashtaka maana mashtaka yanaanzishwa na hati ya mashtaka. Kusema hati ina makosa na usimwachie si sawa.
Jaji alipaswa kutimiza wajibu wake kisheria, hayo mengine ya kukamatwa tena si yake.
lakini unaposema hivyo bado siyo sahihi maana kosa lipo (linahisiwa maana halijathibitika) sasa kosala hati inakuwaje iondoe shitaka lote? inamaana alisingiziwa?hata kama alisingiziwa inabidi kesi iendelee ili ionekane kuwa alisingiziwa hapo suala ni kuendelea na kesi hati inarekebishwa ili kila mtu baada ya hukumu asitoke na lawama
 
Mtulize munkari na nani wewe mataga? Mnahangaika kutangaza utalii huku mnaitangazia dunia kuwa Tanzania kuna Magaidi si wendawazimu huu. Na hii itawaadhiri sana.
hiyo ni minor sana unafikiri wazungu hawajui nchi hatarishi? unaweza kulinganisha somalia na tanzania? wana akili kuzidi unavyofikiri
 
Kama hati ina makosa inafanyiwa marekebisho. Amendment of chargesheet inaruhusiwa kisheria.
Pumbavu kabisa,usomea wapi sheria? Nina LLM hakuna sheria ya namna hiyo.Kabla hujakoment muwe mnaangalia mnaandika nini na nani anasoma.Shilingi 7000/- unayo lipwa isikufanye kuwa mjinga ipo siku haya utayalipia.
 
Kama hati ina makosa inafanyiwa marekebisho. Amendment of chargesheet inaruhusiwa kisheria.
Pumbavu kabisa,usomea wapi sheria? Nina LLM hakuna sheria ya namna hiyo.Kabla hujakoment muwe mnaangalia mnaandika nini na nani anasoma.Shilingi 7000/- unayo lipwa isikufanye kuwa mjinga ipo siku haya utayalipia.
Wewe hujitambui na hujui lolote. Kusimamia ukweli ndio kosa?
Ukweli upi wewe mchumia tumbo?Akili yako iko makalioni siyo kichwani.
 
Wewe .mwenyewe jiulize, imekuwaje Jaji Elinaza alitamka waziwazi kuwa Hati ya mashitaka iliyoletwa na upande wa mashitaka ilikosewa Sana, sasa badala ya kuitupilia mbali kesi hiyo, eti yeye anasema kuwa ni LAZIMA kesi hiyo iendelee, bali anawaambia upande wa prosecutors, eti wakairekebishe!

Wewe uliwahi kuona wapi maamuzi ya aina hiyo yanafanywa, tena na Jaji wa Mahakama Kuu?

Hivi hapo kwa Mheshimiwa Mbowe kutaka kubadilishiwa Jaji, baada ya kuona dhahiri kuwa Jaji huo anafanya upendeleo wa dhahiri, ndiyo mnaita kuwa ni woga wa upande wa utetezi?
Sababu za kubadilishwa sio hizo hukuwepo mahakamani, yeye amesema sababu ni taarifa za mitandaoni zinasema ametumwa kumfunga mbowe
 
Pumbavu kabisa,usomea wapi sheria? Nina LLM hakuna sheria ya namna hiyo.Kabla hujakoment muwe mnaangalia mnaandika nini na nani anasoma.Shilingi 7000/- unayo lipwa isikufanye kuwa mjinga ipo siku haya utayalipia.

Ukweli upi wewe mchumia tumbo?Akili yako iko makalioni siyo kichwani.
😂😂😂
 
Tatizo siyo Jaji bali mwenendo!
Leo umeongea, siku hizi unaongea ya maana sana ndugu yangu- endelea hivyo bila kuegema sana upande ule. kuwa wa haki na kweli tupu... tunapita tu duniani humu... haina haja ya kukandamizana sana duniani humu ili hali kaburi pia latusubiria kutukandamiza huko chini...Ubarikiwe na uzidishiwe kwa kuwa Mkweli, wa haki na mwenye upeo unaotakikana... Tulisadie taifa sote bila itikadi...
 
Kama hana kosa kwa nini kuwa na hofu kuwa atatiwa hatiani kwa makosa ambayo hajafanya?

Jaji ni mwamuzi anayeangalia ushahidi wa pande zote mbili. Na anaamua kwa kufuata haki.

Tulipinga kwa nguvu zote Jaji Limuvanda kusikiliza kesi ya Mbowe. Sasa jaji Nsiyani naye tunakuwa na hofu nae.

Tutulize munkari tusibiri kuona mahakama ikienda haki tuache lawama za mapema.
Tangu lini mahakama za TZ zinetenda haki?
 
Leo umeongea, siku hizi unaongea ya maana sana ndugu yangu- endelea hivyo bila kuegema sana upande ule. kuwa wa haki na kweli tupu... tunapita tu duniani humu... haina haja ya kukandamizana sana duniani humu ili hali kaburi pia latusubiria kutukandamiza huko chini...Ubarikiwe na uzidishiwe kwa kuwa Mkweli, wa haki na mwenye upeo unaotakikana... Tulisadie taifa sote bila itikadi...
Amina!
 
Kama hana kosa kwa nini kuwa na hofu kuwa atatiwa hatiani kwa makosa ambayo hajafanya?

Jaji ni mwamuzi anayeangalia ushahidi wa pande zote mbili. Na anaamua kwa kufuata haki.

Tulipinga kwa nguvu zote Jaji Limuvanda kusikiliza kesi ya Mbowe. Sasa jaji Nsiyani naye tunakuwa na hofu nae.

Tutulize munkari tusibiri kuona mahakama ikienda haki tuache lawama za mapema.
anajua alichokifanya ashaanza kuogopa mapema
 
Nenda kwenye pointi acha kujitoa ufahamu kisa shilingi 7000/-Jaji aliyekuwepo alipaswa kufanya nini baada ya hati ya mashitaka kuonekana kuwa na kasoro kisheria.Majaji ni matawi CCM ,mahakama ni matawi ya CCM haki haipo .Bila damu kumwagika

mdude alivoachiwa haikua matawi ya ccm ila alivowekwa ndan mbowe ndo matawi ya ccm sasa
 
Back
Top Bottom