CHADEMA MALIZA MANENO: Itisheni Baraza Kuu haraka na wajumbe wa Kamati Kuu wasihudhurie mmalize Ugonjwa wa COVID 19

Chakaza

JF-Expert Member
Mar 10, 2007
39,800
71,221
Imekwisha, Jaji kabariki kuwa uamuzi wa Kamati Kuu (KK) ulikuwa sahihi kwa mujibu wa katiba ya Chadema na sheria za nchi.

Lakini rufaa ya COVID 19 haikusikilizwa kihalali kwa vile wajumbe wa KK ambao pia ni wajumbe wa Baraza Kuu akiwemo Mwenyekiti Mbowe na Katibu mkuu Mnyika walihudhuria na kusimamia kikao hicho na hapo wakanyima uhuru wa kikao hicho kusikiliza rufaa ya hao waliofukuzwa.

Kwa vile mahakama imeshatamka wazi kuwa maamuzi ya KK ni halali ila ya Baraza Kuu yana mashaka chama kiitishe mara moja kikao cha Baraza kuu hata January mosi kwa siku moja bila kuwahusisha wajumbe wa Kamati kuu na wapewe haki yao ya rufaa kusikilizwa hao wanachama 19.
Uchelewaji tena ni hujuma kutokea ndani na haitavumilika.
 
Lakini Kama Kamati kuu ilikuwa sahihi Hawa akina mdee ni wanachama au sio. Hili nalo linataka ufafanuzi.
Hukumu ya leo imesema maamuzi ya KK yalikuwa sahihi na yalifuata katiba ya chama.
Hivyo wamefukuzwa na sio wanachama tena.
Shida ni walikata rufaa Baraza na baraza akidi ilikosewa kuruhusu wajumbe wa KK waliotoa adhabu kuwa wajumbe pia, wangekaa nje. Hivyo rufaa isikilizwe upya kama kuna ulazima.

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Imekwisha, Jaji kabariki kuwa uamuzi wa Kamati Kuu (KK) ulikuwa sahihi kwa mujibu wa katiba ya Chadema na sheria za nchi.
Lakini rufaa ya COVID 19 haikusikilizwa kihalali kwa vile wajumbe wa KK ambao pia ni wajumbe wa Baraza Kuu akiwemo Mwenyekiti Mbowe na Katibu mkuu Mnyika walihudhuria na kusimamia kikao hicho na hapo wakanyima uhuru wa kikao hicho kusikiliza rufaa ya hao waliofukuzwa.
Kwa vile mahakama imeshatamka wazi kuwa maamuzi ya KK ni halali ila ya Baraza Kuu yana mashaka chama kiitishe mara moja kikao cha Baraza kuu hata January mosi kwa siku moja bila kuwahusisha wajumbe wa Kamati kuu na wapewe haki yao ya rufaa kusikilizwa hao wanachama 19.
Uchelewaji tena ni hujuma kutokea ndani na haitavumilika.


Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Hiyo ngoma ni ngumu unafikiri hao wenye mahawara zao wanafurahi kuwafukuza!
 
Imekwisha, Jaji kabariki kuwa uamuzi wa Kamati Kuu (KK) ulikuwa sahihi kwa mujibu wa katiba ya Chadema na sheria za nchi.
Lakini rufaa ya COVID 19 haikusikilizwa kihalali kwa vile wajumbe wa KK ambao pia ni wajumbe wa Baraza Kuu akiwemo Mwenyekiti Mbowe na Katibu mkuu Mnyika walihudhuria na kusimamia kikao hicho na hapo wakanyima uhuru wa kikao hicho kusikiliza rufaa ya hao waliofukuzwa.
Kwa vile mahakama imeshatamka wazi kuwa maamuzi ya KK ni halali ila ya Baraza Kuu yana mashaka chama kiitishe mara moja kikao cha Baraza kuu hata January mosi kwa siku moja bila kuwahusisha wajumbe wa Kamati kuu na wapewe haki yao ya rufaa kusikilizwa hao wanachama 19.
Uchelewaji tena ni hujuma kutokea ndani na haitavumilika.


Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
UJUMBE SAHIHI HUO MCHUZI WA MBWA HUNYWEWA UNGALI WA MOTO

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
Imekwisha, Jaji kabariki kuwa uamuzi wa Kamati Kuu (KK) ulikuwa sahihi kwa mujibu wa katiba ya Chadema na sheria za nchi.
Lakini rufaa ya COVID 19 haikusikilizwa kihalali kwa vile wajumbe wa KK ambao pia ni wajumbe wa Baraza Kuu akiwemo Mwenyekiti Mbowe na Katibu mkuu Mnyika walihudhuria na kusimamia kikao hicho na hapo wakanyima uhuru wa kikao hicho kusikiliza rufaa ya hao waliofukuzwa.
Kwa vile mahakama imeshatamka wazi kuwa maamuzi ya KK ni halali ila ya Baraza Kuu yana mashaka chama kiitishe mara moja kikao cha Baraza kuu hata January mosi kwa siku moja bila kuwahusisha wajumbe wa Kamati kuu na wapewe haki yao ya rufaa kusikilizwa hao wanachama 19.
Uchelewaji tena ni hujuma kutokea ndani na haitavumilika.


Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Wajumbe wa cc kuwa wajumbe wa NEC ni takwa la kikatiba. Ile inaitwa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu Kwa upande wa CCM ndiyo hiyo hiyo Kwa CHADEMA, ACT nk. Ukiitenganisha umekwenda kinyume cha katiba. Ni Sawa Baba na Mama wakae kama familia waamue kuuza shamba kumsosmesha mjukuu wao, wanapoleta wazo Hilo Kwa watoto wao inazuka hoja eti wasiwe sehemu ya kikao cha familia watakuwa wameamua mara mbili.
 
Sioni tena sababu ya kuendelea kuhangaika na matokeo ya hizo hikumu feki, simply put wakina Mdee wanalindwa na mtawala, na kama mtawala ana nguvu ya kuingia mpaka mahakamani hapo sioni maana yoyote ya kuendelea kuhangaika na hili igizo.

Hasa nikikumbuka yale maridhiano feki yalishapotelea mbali, hukumu hii ndio itatumika kama fimbo ya kuendelea kuwachapa Chadema.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Imekwisha, Jaji kabariki kuwa uamuzi wa Kamati Kuu (KK) ulikuwa sahihi kwa mujibu wa katiba ya Chadema na sheria za nchi.
Lakini rufaa ya COVID 19 haikusikilizwa kihalali kwa vile wajumbe wa KK ambao pia ni wajumbe wa Baraza Kuu akiwemo Mwenyekiti Mbowe na Katibu mkuu Mnyika walihudhuria na kusimamia kikao hicho na hapo wakanyima uhuru wa kikao hicho kusikiliza rufaa ya hao waliofukuzwa.
Kwa vile mahakama imeshatamka wazi kuwa maamuzi ya KK ni halali ila ya Baraza Kuu yana mashaka chama kiitishe mara moja kikao cha Baraza kuu hata January mosi kwa siku moja bila kuwahusisha wajumbe wa Kamati kuu na wapewe haki yao ya rufaa kusikilizwa hao wanachama 19.
Uchelewaji tena ni hujuma kutokea ndani na haitavumilika.


Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Mtapoteza muda wenu bure, CCM ni kama vile inachezea akili za CHADEMA kwa kivuli cha mahakama.

Haya mambo yatakoma siku ambayo Serikali na Chama tawala vitakoma na kuheshimu muhimili wa mahakama ufanye kazi yake kwa uhuru.
 
Ndugu hii strategical planning ya delaying to 2025. Amini masikio yako ASAP wakishaa na kuwafukuza kesho utawakuta mahakamani na kesi mpya jaji mwingine na itaisha mwezi wa 8 2025 watu washakunja 300m za kiinua mgongo halafu ninyi mnapewa ushindi.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Watu wameona tobo la kuendelea kuzuga
 
Hukumu ya leo imesema maamuzi ya KK yalikuwa sahihi na yalifuata katiba ya chama.
Hivyo wamefukuzwa na sio wanachama tena.
Shida ni walikata rufaa Baraza na baraza akidi ilikosewa kuruhusu wajumbe wa KK waliotoa adhabu kuwa wajumbe pia, wangekaa nje. Hivyo rufaa isikilizwe upya kama kuna ulazima.

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Ndio madhara ya kuongozwa na Vilaza
 
Back
Top Bottom