1.Kukosekana umoja kwa vyama vya upinzani.
2.Vyama vya upinzani kukubali kuingia kwenye uchaguzi ilihali hakuna tume huru.
3.Vyama vya upinzani vinazidiwa na chama tawala kwa propaganda.
4.Ubinafsi wa viongozi wa vyama vya upinzani na kutosikiliza maoni ya watu wenye maoni tofauti ndani ya chama.
5.Chembechembe ya udini iliyopandikizwa na chama tawala kwa vyama vikuu vya upinzani imewaingia sana wananchi na hivyo kuwafanya waone bora kubaki na chama tawala kuliko kukichagua chama cha upinzani.
1.Kukosekana umoja kwa vyama vya upinzani.
2.Vyama vya upinzani kukubali kuingia kwenye uchaguzi ilihali hakuna tume huru.
3.Vyama vya upinzani vinazidiwa na chama tawala kwa propaganda.
4.Ubinafsi wa viongozi wa vyama vya upinzani na kutosikiliza maoni ya watu wenye maoni tofauti ndani ya chama.
5.Chembechembe ya udini iliyopandikizwa na chama tawala kwa vyama vikuu vya upinzani imewaingia sana wananchi na hivyo kuwafanya waone bora kubaki na chama tawala kuliko kukichagua chama cha upinzani.
1.Kukosekana umoja kwa vyama vya upinzani.
2.Vyama vya upinzani kukubali kuingia kwenye uchaguzi ilihali hakuna tume huru.
3.Vyama vya upinzani vinazidiwa na chama tawala kwa propaganda.
4.Ubinafsi wa viongozi wa vyama vya upinzani na kutosikiliza maoni ya watu wenye maoni tofauti ndani ya chama.
5.Chembechembe ya udini iliyopandikizwa na chama tawala kwa vyama vikuu vya upinzani imewaingia sana wananchi na hivyo kuwafanya waone bora kubaki na chama tawala kuliko kukichagua chama cha upinzani.
1.Kukosekana umoja kwa vyama vya upinzani.
2.Vyama vya upinzani kukubali kuingia kwenye uchaguzi ilihali hakuna tume huru.
3.Vyama vya upinzani vinazidiwa na chama tawala kwa propaganda.
4.Ubinafsi wa viongozi wa vyama vya upinzani na kutosikiliza maoni ya watu wenye maoni tofauti ndani ya chama.
5.Chembechembe ya udini iliyopandikizwa na chama tawala kwa vyama vikuu vya upinzani imewaingia sana wananchi na hivyo kuwafanya waone bora kubaki na chama tawala kuliko kukichagua chama cha upinzani.
6.Watanzania wengi hasa vijana ambao wengi wao ni rahisi kupokea mabadiliko ni washabiki zaidi kwenye mambo ya siasa lakini si wapigaji kura
Wewe kweli kichwa ngumu!
Maamuzi ni ya wananchi sio vyama. Achana na mawazo mgando. Ipo wapi KANU?
Huku kwetu itakua ngumu sana unless tukubali Slaa,mbowe,mrema,Zitto,seif,lipumbaHivi wewe unakumbuka kanu ilitokaje,au bado ulikuwa mtoto wakati huo?Labda nikukumbushe kanu ilitolewa baada ya vyama vya upinzani kuungana.
Hivi wewe unakumbuka kanu ilitokaje,au bado ulikuwa mtoto wakati huo?Labda nikukumbushe kanu ilitolewa baada ya vyama vya upinzani kuungana.
Ruzuku zinatumika kwa mambo binafsi, vijiji havina hata vijiwe vya chama lakini wanakimbilia UK kufungua tawi.vingozi wamekua hawaambiliki,vyeo vinagaiwa kikabila.mwenyekiti shule ni ziro,wabunge elimu ya kuunga unga. Ndio maana tunasema CCM itatawala milele.
Usikariri, Tanzania hatuna maukabila wala maudini yanini kuunganisha nguvu, sasa unataka CDM iungane na TLP/NCCR/CHAUSTA/CHAUMA itaongeza ladha gani hapo zaidi ya mamluki tu. Jiamini ulivyo utatoka acha mteremko vitakushinda alafu igaiga itakupoteza Mkuu
Hivi wewe unakumbuka kanu ilitokaje,au bado ulikuwa mtoto wakati huo?Labda nikukumbushe kanu ilitolewa baada ya vyama vya upinzani kuungana.