Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,190
- 128,264
Oh okey.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Ukitazama kwa umakini utagundua hili.CCM kuna mgogoro wa kugombea urais nadhani mzee Lowasa mnamwona,endapo akitoswa, chama lazima kiyumbe.Pia Chadema kuna huyu bwana mdogo machachari mhashimiwa Zito kabwe,naye ushawishi wake unajulikana endapo itafanyika mizengwe chadema kusambaratika hakukwepeki.Kwa sasa chama kilichosimama ni Cuf pekee iwapo watasoma huu upepo wataweza kuchukua hatua haraka kuweka mambo sawa ili inchi iwe yakwao..CUF mchakamcha mpaka 2015
Ukitazama kwa umakini utagundua hili.CCM kuna mgogoro wa kugombea urais nadhani mzee Lowasa mnamwona,endapo akitoswa, chama lazima kiyumbe.Pia Chadema kuna huyu bwana mdogo machachari mhashimiwa Zito kabwe,naye ushawishi wake unajulikana endapo itafanyika mizengwe chadema kusambaratika hakukwepeki.Kwa sasa chama kilichosimama ni Cuf pekee iwapo watasoma huu upepo wataweza kuchukua hatua haraka kuweka mambo sawa ili inchi iwe yakwao..CUF mchakamcha mpaka 2015