CHADEMA kuchukua nchi ni baadae sana

CHADEMA kuchukua nchi ni baadae sana

Nilisikia huyu mzee kafariki kumbe mizimu yake bado iko hai ...R.I.P Shehe Yahaya!.. kuna watu wanaongea kama Mungu

Sidhan kama kwa iman yako mtu akishafariki kuna haja ya kumuongelea kwa ubaya wa aina yoyote ile aliyetupia hiyo post umemhusishaje na shekhe yahya? aliyefariki?
 
Usitengeneze hisia na kuzihalalisha katika jamii ambayo kila siku inabadilika kimtizamo,kifikra,kimfumo na kiutendaji.

Hisia hizi ni nzuri tu pale wale unaowambia wakazichukua katika mlengo chanya wa kuungana na kutengezeneza sura nyingine mpya isiyo katika mtindo wa mvinyo ndani ya chupa.

Kiukweli hisia zako ni mwanzo mzuri kwa pande zote kuboresha mikakati yao kuelekea 2014-2015.
 
Hii inanikumbusha wale watu wanaoamka asubuhi na kuanza kutafuta mifuko ya fedha waliyookota ndotoni. Mleta uzi atakuwa alikuwa anaota akadhani ndio hali halisi. Hebu kanawe uso utoe tongotongo zako.
 
1.Kukosekana umoja kwa vyama vya upinzani.
2.Vyama vya upinzani kukubali kuingia kwenye uchaguzi ilihali hakuna tume huru.
3.Vyama vya upinzani vinazidiwa na chama tawala kwa propaganda.
4.Ubinafsi wa viongozi wa vyama vya upinzani na kutosikiliza maoni ya watu wenye maoni tofauti ndani ya chama.
5.Chembechembe ya udini iliyopandikizwa na chama tawala kwa vyama vikuu vya upinzani imewaingia sana wananchi na hivyo kuwafanya waone bora kubaki na chama tawala kuliko kukichagua chama cha upinzani.
6.Watanzania wengi hasa vijana ambao wengi wao ni rahisi kupokea mabadiliko ni washabiki zaidi kwenye mambo ya siasa lakini si wapigaji kura
Tatizo la vyama vya upinza ni kuendekeza hapo kwenye maandishi mekundu na kushindwa kuwaambia wananchi ni watawafnyia, wananchi mwishowe huchoka na maneno yao mbofu mbofu
 
Watu wa style hii sio hata wa kucomment post zao, maana ntaishia kumjibu mbaya tu na sijui haya ni maoni kapewa na bibi ake?
 
First lady naona wajipa moyo we ikulu utaiona tu kwa mbali tena kama unapitaga ocean road vinginevyo utaisikia tu huo ndio ukweli na ukifuatilia siasa za tz upinzani unapungua kwa kasi ya ajabu kwa sababu gani unafikiri that's ur home work na mzee

Asante, naomba nikupongeze nawewe maana mimi nikiukosa wewe utakuwa first lady maana unauota sana shostingo
 
Hii inanikumbusha wale watu wanaoamka asubuhi na kuanza kutafuta mifuko ya fedha waliyookota ndotoni. Mleta uzi atakuwa alikuwa anaota akadhani ndio hali halisi. Hebu kanawe uso utoe tongotongo zako.

Acha kupotsha mada, wewe jamaa kasema ukweli, hivi kweli CHADEMA wataingia madarakani kwa maneno ya MNYIKA, LEMA na SLAA , subutu?
 
CCM anashinda kutokana na udhaifu wa vyama vya upinzani huo ndiyo kweli CUF, Chadema, NCCR, kila mmoja ana ndoto kuchukuwa nchi peke yake.
 
Jamani tuangalie mambo kwa kina wala sio ushabiki,kuchukua nchi inataka mikakati sio ushabiki tu

Hiyo mikakati unayoisema ni ipi,kuiba kura?.subiri utazimia 2015 utakapoyaona ambayo haukuamini kwamba yangetokea
 
Hutakuwa wa kwanza wala wa mwisho kutabiri mambo. Watabiri mpo wengi, na utabiri sio reality!!

siyo reality 7bu kubwa ni wengi humu wanatumwa na magamba kupima upepo na walio wengi wanakuja kichwa kichwa pasipokujipanga
 
Ruzuku zinatumika kwa mambo binafsi, vijiji havina hata vijiwe vya chama lakini wanakimbilia UK kufungua tawi.vingozi wamekua hawaambiliki,vyeo vinagaiwa kikabila.mwenyekiti shule ni ziro,wabunge elimu ya kuunga unga. Ndio maana tunasema CCM itatawala milele.

wewe utakuwa na laana na si ya jana wa la juzi ya enzi hizo za mababu zako
 
Mkuu hata kama utniona hovyo but hiyo ndio fact ambayo vyama vya upinzani hawapendi kuambiwa.Wao wanachotaka kuwasifia tu na kuwapa matumaini ambayo hayapo.Badala yake wapinzani wanashindwa kujirekebisha.Kwa mtindo huu ccm kung'oka Tanzania ndoto.

Nikiusoma uzi wako na nikilisoma jina lako napata jibu,huwezi kuwa na kichwa kibovu ukaandika uzi wa maana,lazima huo uzi utakuwa nao ni "kichwa bovu" yaani hauna maana.
 
Hivi wewe unakumbuka kanu ilitokaje,au bado ulikuwa mtoto wakati huo?Labda nikukumbushe kanu ilitolewa baada ya vyama vya upinzani kuungana.

Kwahiyo unataka historia iliyopita kenya itoke hivyo hivyo TZ? Kamwe haitotokea ila najua tutajikomboa kwa njia nyingine
 
Hivi wewe unakumbuka kanu ilitokaje,au bado ulikuwa mtoto wakati huo?Labda nikukumbushe kanu ilitolewa baada ya vyama vya upinzani kuungana.

Kwahiyo unataka historia iliyopita kenya itoke hivyo hivyo TZ? Kamwe haitotokea ila najua tutajikomboa kwa njia nyingine yoyote ya amani
 
Huku kwetu itakua ngumu sana unless tukubali Slaa,mbowe,mrema,Zitto,seif,lipumba
Cheyo wawe marais kwa wakati mmoja, ikulu ihamie kilimanjaro hotel kwasababu ikulu ya sasa vyumba havitatosha.

Mkuu inashindikana kutokana na vyama vingi vya upinzani vinaongozwa na usalama wa taifa wanaotumwa kulinda maslahi ya ccm na linapotokea suala la vyama hivi kuungana wanakuwa wa kwanza kupinga na wengine kukimbilia kuwa wao ndo watagombea urais
 
Naona Mkuu Na wewe hapa unaota; subiri 2014 na 2015 ndio tutapata ukweli
 
Nikiusoma uzi wako na nikilisoma jina lako napata jibu,huwezi kuwa na kichwa kibovu ukaandika uzi wa maana,lazima huo uzi utakuwa nao ni "kichwa bovu" yaani hauna maana.
We si unataka habari itakayowapa kichwa wapinzani kuwa watachukua nchi kilaani tu 2015,habari za kusifia wapinzani.Kuingia ikulu sio lelemama.Bila kushilikia ubongo ccm watatutawala mpaka basi,wataanza wazazi mpaka watoto wao,leteni tu masihara.
 
1.Kukosekana umoja kwa vyama vya upinzani.
2.Vyama vya upinzani kukubali kuingia kwenye uchaguzi ilihali hakuna tume huru.
3.Vyama vya upinzani vinazidiwa na chama tawala kwa propaganda.
4.Ubinafsi wa viongozi wa vyama vya upinzani na kutosikiliza maoni ya watu wenye maoni tofauti ndani ya chama.
5.Chembechembe ya udini iliyopandikizwa na chama tawala kwa vyama vikuu vya upinzani imewaingia sana wananchi na hivyo kuwafanya waone bora kubaki na chama tawala kuliko kukichagua chama cha upinzani.
6.Watanzania wengi hasa vijana ambao wengi wao ni rahisi kupokea mabadiliko ni washabiki zaidi kwenye mambo ya siasa lakini si wapigaji kura
Mbona unatusemea? umefanya utafiti? kama hujafanya huna haki ya kuongea mbele ya wanaume.
 
Mkuu inashindikana kutokana na vyama vingi vya upinzani vinaongozwa na usalama wa taifa wanaotumwa kulinda maslahi ya ccm na linapotokea suala la vyama hivi kuungana wanakuwa wa kwanza kupinga na wengine kukimbilia kuwa wao ndo watagombea urais
Naweza kukubaliana na wewe,you are true great thinker
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom