Chama cha chadema ambacho kirefu chake ni Chama Cha Demokrasia Na Maendeleo! Hakiwezi kuchukua nchi hii hata kikitumia ulaghai wa aina ipi,
Chama iki ambacho mizizi yake ni ulaghai na kuwadanganya wanachi eti kitawakomboa bali ni Taasisi naamini Mungu hawezi kukipa ridhaa ya kuingia Ikuru .
Nakama kweli chadema ni wazalendo mbona hadi mda huu wana ufisadi katika account zao? Chadema ni cham chenye wimbo wenye miruzi mingi na yenye sauti ! ni miruzi isiyo isha visingizio, miruzi ya kubadilika, miruzi ya majigambo na miruzi ya kutuhumu wengine ili iwe mgongo wa kupenya ndani ya uwanja.
Miruzi hii haita kaa ikamtoa ama ikamstua mtu alie nyikani na ikamstua mwindaji ama ika tisha miamba ipasuke kwani ni miruzi ambayo sasa inapasua upeepo na si miruzi inayo pasua miamba na miamba ina baki ikiwa imara pasipo hata kuonyesha nyufa.
CHAGA DEVELOPMENT MANPOWER AGENCY itabaki kuwa Taaasisi .