cuf walifunga ndoa ya mkeka na ccm,we kweli kichwa mbovu,zitto labda awe rais wa vicoba.ukitazama kwa umakini utagundua hili.ccm kuna mgogoro wa kugombea urais nadhani mzee lowasa mnamwona,endapo akitoswa, chama lazima kiyumbe.pia chadema kuna huyu bwana mdogo machachari mhashimiwa zito kabwe,naye ushawishi wake unajulikana endapo itafanyika mizengwe chadema kusambaratika hakukwepeki.kwa sasa chama kilichosimama ni cuf pekee iwapo watasoma huu upepo wataweza kuchukua hatua haraka kuweka mambo sawa ili inchi iwe yakwao..cuf mchakamcha mpaka 2015
Ndio tatizo lenu Chadema mtu yeyote anayetoa hoja tofauti na mitazomo yenu mtaashia kumtukana na kumwona hamnazo hata kama posti yaki ni strategic na ina logic.Ukitazama hali ya mambo ndani ya chadema kila wenye akili anajua wapi chama kinakoelekea na utashangaa uchaguzi wa 2015 panapojaliwa hatoamini machoni kwenu,ndio huu ni ukweli wenyewe ingawa hampendi kuambiwa.
Mtu ndani jamii forum ataonekana kuwa ni great thinker iwapo tu atapost mada ya kukikweza chadema,na kuwapa matumaini ambayo hayapo kuwa uchaguzi wa 2015 chadema kitachukua nchi.
Nilichogundua humu jamii forum uwezo wa watu kufikiri na kuyatazama mambo kiuhalisia ni mdogo sana,wengi ni bendera fuata upepo,na dalili ya watu wa aina hiyo kwao matusi huyatanguliza mbele badala ya kutaza mambo kwa macho angavu.
Ndio tatizo lenu Chadema mtu yeyote anayetoa hoja tofauti na mitazomo yenu mtaashia kumtukana na kumwona hamnazo hata kama posti yaki ni strategic na ina logic.Ukitazama hali ya mambo ndani ya chadema kila wenye akili anajua wapi chama kinakoelekea na utashangaa uchaguzi wa 2015 panapojaliwa hatoamini machoni kwenu,ndio huu ni ukweli wenyewe ingawa hampendi kuambiwa.
Mtu ndani jamii forum ataonekana kuwa ni great thinker iwapo tu atapost mada ya kukikweza chadema,na kuwapa matumaini ambayo hayapo kuwa uchaguzi wa 2015 chadema kitachukua nchi.
Nilichogundua humu jamii forum uwezo wa watu kufikiri na kuyatazama mambo kiuhalisia ni mdogo sana,wengi ni bendera fuata upepo,na dalili ya watu wa aina hiyo kwao matusi huyatanguliza mbele badala ya kutaza mambo kwa macho angavu.
Thanks,UMENICHEKESHA KWELI,nilikuwa sijacheka toka asubuhi,you really made my day.Ukitazama kwa umakini utagundua hili.CCM kuna mgogoro wa kugombea urais nadhani mzee Lowasa mnamwona,endapo akitoswa, chama lazima kiyumbe.Pia Chadema kuna huyu bwana mdogo machachari mhashimiwa Zito kabwe,naye ushawishi wake unajulikana endapo itafanyika mizengwe chadema kusambaratika hakukwepeki.Kwa sasa chama kilichosimama ni Cuf pekee iwapo watasoma huu upepo wataweza kuchukua hatua haraka kuweka mambo sawa ili inchi iwe yakwao..CUF mchakamcha mpaka 2015
Ukitazama kwa umakini utagundua hili.CCM kuna mgogoro wa kugombea urais nadhani mzee Lowasa mnamwona,endapo akitoswa, chama lazima kiyumbe.Pia Chadema kuna huyu bwana mdogo machachari mhashimiwa Zito kabwe,naye ushawishi wake unajulikana endapo itafanyika mizengwe chadema kusambaratika hakukwepeki.Kwa sasa chama kilichosimama ni Cuf pekee iwapo watasoma huu upepo wataweza kuchukua hatua haraka kuweka mambo sawa ili inchi iwe yakwao..CUF mchakamcha mpaka 2015
Ndio tatizo lenu Chadema mtu yeyote anayetoa hoja tofauti na mitazomo yenu mtaashia kumtukana na kumwona hamnazo hata kama posti yaki ni strategic na ina logic.Ukitazama hali ya mambo ndani ya chadema kila wenye akili anajua wapi chama kinakoelekea na utashangaa uchaguzi wa 2015 panapojaliwa hatoamini machoni kwenu,ndio huu ni ukweli wenyewe ingawa hampendi kuambiwa.
Mtu ndani jamii forum ataonekana kuwa ni great thinker iwapo tu atapost mada ya kukikweza chadema,na kuwapa matumaini ambayo hayapo kuwa uchaguzi wa 2015 chadema kitachukua nchi.
Nilichogundua humu jamii forum uwezo wa watu kufikiri na kuyatazama mambo kiuhalisia ni mdogo sana,wengi ni bendera fuata upepo,na dalili ya watu wa aina hiyo kwao matusi huyatanguliza mbele badala ya kutaza mambo kwa macho angavu.