Kirode
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 3,566
- 84
Tuko nae m4c, utajuta kutujua.....
Wewe uliofunuliwa blanketi uko wapi
Wewe uliofunuliwa blanketi uko wapi
Emancipate yourself from mental slavery;
none but yourself can free your mind.
Have no fear for the desperate Magamba,
Coz none of them can stop the time....
How long shall they kill our "prospect"
while stand aside and look.......
Bisha bishana nchi hamchukui.
Mi Naoa wewe unaolewa
chadema ni bado chama kichanga na kwa uwezekano wakuchua nchi bado hadi kijipange kwani bado kinamapungufu mengi.kwanza bado hakijaenea nchi nzima kwahali ni kwamba hajikijitoshelezi kuwaongoza watanzania.
Kweli ccm mme ishiwa sera mumebaki na duwa ambalo halimpati mwewe.mnazeeka vibaya.Najaribu kujiuliza hivi viongozi wa CDM wana nini? ona wanavyoyumbishwa kushoto na kulia! cheki wanachama wake hawajui wamwamini nani? chukulia mfano rahisi ni miezi kadhaa tu walikuwa wanamwita Zitto Kabwe msaliti lakini sasa hivi wanamwona shujaa kisa kabwatuka bungeni! kulikoni hawa watu ni vilaza nini? tena nimesikia kuna baadhi yao wameanza kufikiria kumsimamisha zitto 2015 kwenye kinyang'anyiro cha urais.
Sasa hawa utasema wamejiandaa kushika dola? mmh! sidhani labda nchi igawanywe kimajimbo tutawapa jimbo la kaskazini kule kwenye ngome yao!
Wala si kufanya maajabu...wakitekeleza tu yale yalioahidiwa kwenye Ilani, CCM bado kitapeta 2015.Ninaamini mpaka mwaka 2015 itakuwa ni chama pekee kinachoweza kuongaza nchi hii bila ubishi. Kasi wanayokwenda nayo inatia matumaini kwani ndiyo tumaini pekee lililobaki kwa sasa. CCM sio tumaini la wengi kwa sasa, labda kifanye maajabu kuweza kurudisha matumaini ya vijana na wasomi juu yake ama sivyo CCM hakiwezi kurudi tena madarakani.
Sio bure wewe utakua niwali wa mtu!chadema ni bado chama kichanga na kwa uwezekano wakuchua nchi bado hadi kijipange kwani bado kinamapungufu mengi.kwanza bado hakijaenea nchi nzima kwahali ni kwamba hajikijitoshelezi kuwaongoza watanzania.