CHADEMA kuchukua nchi ni baadae sana

CHADEMA kuchukua nchi ni baadae sana

This is high time for the magamba to learn that tanzania need liberation from the ccm colonialism.Big up chadema for you have shwown up. Soon in the near future, tanzania will be liberated
 
Pasco, with all due respect, I do not believe for a minute you are qualified enough to judge who is a great thinker or a 'low thinker'. Your recent contributions in this forum has been for most part full of errors if not mis-leading. You have taken upon yourself a role of political analyst with cheap spinnning tactics. And for you come here and tell people what they can or cannot say is rather disturbing and worse against the fundemental principles of this forum! So, get real and spare us from this phoney prophesy mkakati.


Squared with perfect measurents...............................square peg in a square hole
 
CCM kama wanataka ku-ishi itawabidi wafanye demokrasia ya kweli ktk kumteua mgombea wao wa urais, pili wata-takiwa kuacha tabia ya kurithishana vyeo.
 
Wanabodi,

Baada ya ushindi wa tsunami huko Arumeru, jee hii ndio dalili ya "the wind of change is sweeping across Tanzania kiasi kwamba 2015 Chadema kuchukua nchi?!.

Nawashauri wale wabunge wa maeneo yenye changanoto ama wajiunge Chadema sasa ili kuyatetea majimbo yao, au wajiandae kuanguka na CCM yao!.

Ushindi huu wa Arumeru anawaweka wanasiasa ambao vuguvugu ambao sio moto wala sio baridi kuchagua upande rasmi au moto wa Chadema au baridi ya CCM!.

Mwaka huu pia kunauwezekano wa kufanyika chaguzi nyingine ndogo 2 kanda hiyo ya Kaskazini hivyo kulikomboa karibu kanda nzima!.

Ushauri kwa Ole Sendeka, Ole Medeye na wabunge wengine wa kanda hiyo, don't wait too long to take sides, after all kwenye politics hakuna permanent friends or permanent enemies, there is only common interest!. The time its now or never!.

Chadema kazi ya grooming makamanda watakaoshika majimbo ianze mapema, this time sio kusubiri CCM tena bali huko huko kwenye majimbo yanayoshikiliwa na CCM, pelekeni makamanda kuanzisha mchaka mchaka wa kuipekeka CCM puta ikose pa kupumulia na pa kutokea just ijifie kwa suffocation!.

Nawasilisha.

Pasco.

NB. Ukumbi wa jf ambao ulikuwa ment kwa ma great thinkers wenye great mind wanao duscuss ideas umegubikwa na low thinkers wenye simple minds ambao kazi yao ni kudiscuss people!.

Ukishasoma thread hii kama hujaona any idea ya kuchangia nakushauri usichangie!. Ukijiona huna na kuchangia kwenye hoja iliyoko mezani au mchango wako unataka kuchangia kumhusu mleta hoja Pasco badala ya kuchangia hoja yake, nakushauri bora jinyamazie tuu, tunataka michango ya great mind to discuss ideas not simple minds ambao kutwa kucha wanajadili watu!.

Pasco.

hapo kwenye red....kwani wewe umechagua upande gani? wa wenye meno au wenye moyo?
 
Huwa mara nyingi nina-discourage watu kufanya crosscarpeting bila kuzingatia itikadi.Labda nimuulize Pasco,ushauri uliowapa hawa jamaa umezingatia ideology? Ni lazima tufanye siasa based on ideologies ili wanasiasa fragile kama akina Lusinde automatically wawe nje ya political landscape.Tukiweza hili tutakuwa tumeleta mageuzi makubwa ya fikra,hakutakua na ideology za matusi na falsafa ya mapanga au marungu unaposhindwa hoja.

Mkuu upo?
Are sure the question is well destined mkuu??????
 
CCM kama wanataka ku-ishi itawabidi wafanye demokrasia ya kweli ktk kumteua mgombea wao wa urais..

...Ideally hiyo ni njia sahihi, lakini je wataweza kweli kutibu makovu yatakayoletwa na kampeni za kura za maoni za urais?na je wagombea watakaoshindwa na wapenzi wako wataweza kweli kusahau yaliyopita na kumuunga mkono atakayeshinda kuelekea uchaguzi mkuu? hili wanaliweza wenzetu huko Magharibi, kwa nchi zetu hizi hii ni ngumu kweli, hapatatosha...

...Unaweza ku-imagine, let's say Samweli Sitta na Lowassa wawe wagombea wakuu kwenye kura za maoni za urais kama vile Romney anavyopambana sasa na Rick Santorum kwenye Republican Primary, alafu mwisho wa siku eti Samweli Sitta na wafuasi wake wakubali yaishe na kumuunga mkono Lowassa au kinyume chake?? that will never happen...

...Matokeo yake mwisho wa uchaguzi huo, tutashuhudia wagombea wakuu walioshindwa wakijitoa kwenye chama na kuamua kugombea kupitia vyama vingine au kubaki kwenye chama (kama hawauziki nje ya chama) huku wakimhujumu mgombea aliyeshinda within...
 
CCM kama wanataka ku-ishi itawabidi wafanye demokrasia ya kweli ktk kumteua mgombea wao wa urais, pili wata-takiwa kuacha tabia ya kurithishana vyeo.

Mkuu I think to leave the present is even more challenging kuliko kumteua presidential candidate.............because the future of the beholder in real life is determined by current affairs and decisions. So the way you design your cloth is necessarily a command on how to go about tailoring it.
 
Pasco bonge la kilaza na kipofu, in short nibbendera fata upepo..

Halafu hana mamlaka yoyote kuhukumu mtu kama ni great thinker au laa!!

In short acha kujikosha, endelea kuosha vinywa vya magamba upate ujira wako..:rockon:


No,mkuu sikubaliani na wewe hapo kwenye red.Haikuwa muhimu au dharura kiasi hicho kutumia hayo maneno.Tuendelee tu na mjadala kwa hoja za kistaarabu
 
Pasco Mayalla alishatueleza hapa JF kwamba uchaguzi ulishakwisha tunachosubili ni Sioyi Sumari kutangazwa mshindi.....mimi bado sijaamini haya matokeo nasubili Sioyi kutangazwa mshindi!!
 
...Ideally hiyo ni njia sahihi, lakini je wataweza kweli kutibu makovu yatakayoletwa na kampeni za kura za maoni za urais?na je wagombea watakaoshindwa na wapenzi wako wataweza kweli kusahau yaliyopita na kumuunga mkono atakayeshinda kuelekea uchaguzi mkuu? hili wanaliweza wenzetu huko Magharibi, kwa nchi zetu hizi hii ni ngumu kweli, hapatatosha...

...Unaweza ku-imagine, let's say Samweli Sitta na Lowassa wawe wagombea wakuu kwenye kura za maoni za urais kama vile Romney anavyopambana sasa na Rick Santorum kwenye Republican Primary, alafu mwisho wa siku eti Samweli Sitta na wafuasi wake wakubali yaishe na kumuunga mkono Lowassa au kinyume chake?? that will never happen...

...Matokeo yake mwisho wa uchaguzi huo, utafuatiwa na kushuhudia wagombea wakuu walioshindwa wakijitoa kwenye chama na kuamua kugombea kupitia vyama vingine au kubaki kwenye chama (kama hawauziki nje ya chama) huku wakimhujumu mgombea aliyeshinda within...

Ni kweli,
Lakini naamini mtu ukishindwa ktk demokrasia sifikirii kama utajenga chuki, chuki inakuja baada ya kuchakachuana. anayeshinda kwa demokrasia ni rahisi kuwa integrate walio shindwa ktk demokrasia.
 
Kwakweli inabidi tuendelee kumshauri mwenyekiti wetu mheshimiwa sana Kikwete ili tuweze kushindana kwa uwazi na kwa uhakika na wapinzani wetu wakuu Chadema. ki uhalisia chama chetu cha mapinduzi kinahitaji mabadiliko katika falsafa nzima ya itikadi kwa umma,siasa zake katika jamii na utumishi wa umma, uongozi na utawala bila kusahau dira ya chama.

Katika kufanikisha haya, inabidi chama hiki kifanye tathmini ya kutosha kwa kutumia wataalamu waliobobea katika fani ya uongozi wa umma na mapendekezo yoyote yatakayopendekezwa kwa uongozi wa juu wa chama ni vema ukazingatiwa ikiwa ni pamoja na kuchukua hatua bila kuchelea.

Tunafahamu yapo mengi yaliyo kwisha shauriwa na wazee wa chama pamoja na wataalamu mbalimbali wa ndani na nje ya nchi na hakuna hatua zozote zilizoafikiwa kama chama na kutekelezwa. Kazi bado ni kubwa ingawa, sikio la kufa halisikii dawa.

Nawakilisha.
 
Wanabodi,

Baada ya ushindi wa tsunami huko Arumeru, jee hii ndio dalili ya "the wind of change is sweeping across Tanzania kiasi kwamba 2015 Chadema kuchukua nchi?!.

Nawashauri wale wabunge (wa CCM!!?) wa maeneo yenye changanoto ama wajiunge Chadema sasa ili kuyatetea majimbo yao, au wajiandae kuanguka na CCM yao!.

Pasco.

Mh. Pasco

Sijui ushauri huu unaotoa kwenye misingi (PLATFORM) gani? Nabuni labda kwa maoni yako watanzania wa sasa wanapigia kura majina, hapo si sawa wanalinganisha sera za chama na uadilifu wake.

Wanaohama vyama kwa ajili ya kupigiwa kura ni janga eg Sbd hawana tija.

Watanzania wameondoa woga wa "kumkoma nyani giladi" kumpiga nyani usoni akiwa anaomba huruma. CCM sio wazuri na CCM ni watu wake wala si chama. Hao wabunge kama ole sendeka, EL na wengine wanaofanya maelewano (rushwa) ili wapishwe na wapinzani ni wakuogopa kama ukoma.

Ushauri wako ni chocolate coated bullet

BYE BYE
 
Mkuu Pasco nimependa jinsi unavyokwenda na upepo unakoelekea, big up sana.

In the mean time hata kukitokea uchaguzi mdogo wa Rais CHADEMA wanachukua. nashangaa kwanini hawajivui gamba mapema.
CHADEMA hawako tayari kupokea makapi yanayotokea CCM. Ina product ya kwake inayoandaliwa kuchukua madaraka ya nchi hii
 
Wanabodi,

Baada ya ushindi wa tsunami huko Arumeru, jee hii ndio dalili ya "the wind of change is sweeping across Tanzania kiasi kwamba 2015 Chadema kuchukua nchi?!.

Nawashauri wale wabunge wa maeneo yenye changanoto ama wajiunge Chadema sasa ili kuyatetea majimbo yao, au wajiandae kuanguka na CCM yao!.

Ushindi huu wa Arumeru anawaweka wanasiasa ambao vuguvugu ambao sio moto wala sio baridi kuchagua upande rasmi au moto wa Chadema au baridi ya CCM!.

Mwaka huu pia kunauwezekano wa kufanyika chaguzi nyingine ndogo 2 kanda hiyo ya Kaskazini hivyo kulikomboa karibu kanda nzima!.

Ushauri kwa Ole Sendeka, Ole Medeye na wabunge wengine wa kanda hiyo, don't wait too long to take sides, after all kwenye politics hakuna permanent friends or permanent enemies, there is only common interest!. The time its now or never!.

Chadema kazi ya grooming makamanda watakaoshika majimbo ianze mapema, this time sio kusubiri CCM tena bali huko huko kwenye majimbo yanayoshikiliwa na CCM, pelekeni makamanda kuanzisha mchaka mchaka wa kuipekeka CCM puta ikose pa kupumulia na pa kutokea just ijifie kwa suffocation!.

Nawasilisha.

Pasco.

NB. Ukumbi wa jf ambao ulikuwa ment kwa ma great thinkers wenye great mind wanao duscuss ideas umegubikwa na low thinkers wenye simple minds ambao kazi yao ni kudiscuss people!.

Ukishasoma thread hii kama hujaona any idea ya kuchangia nakushauri usichangie!. Ukijiona huna na kuchangia kwenye hoja iliyoko mezani au mchango wako unataka kuchangia kumhusu mleta hoja Pasco badala ya kuchangia hoja yake, nakushauri bora jinyamazie tuu, tunataka michango ya great mind to discuss ideas not simple minds ambao kutwa kucha wanajadili watu!.

Pasco.

Well said and defined... Naona umeanza kwa kuchagua upande. Then this should be permanent and not temporary.. Ni kweli JF imekuwa sio ile ya awali kwani kumekuwa na mamluki na mapandikizi mengi wanaokuja hapa jamvini kwa makusudi mazima kuchafua hali ya hewa na kupunguza sifa kamili ya JF kukata issues.

Kama alivyosema mwanzishaji ya uzi huu kuhusu CDM kutosubiri mpaka mbunge mwingine wa CCM au chama kingine kupoteza kiti, bali waendelee na kukuza vipaji kwa makamanda wengine kila kona ya nchi hii huku wakiendelea kuwafunulia wanachi kuhusu kushindwa kwa CCM kutekeleza ahadi zao wanazotoa kila mwaka toka wameshika dola hii.. Watanzania wanawaelewa sana na watazidi kuwaelewa mpaka kila kona kuanzia Lindi na Mtwara mpaka Kigoma na Kagera.

Pia CDM wajaribu kutoa tofauti zao za kiuongozi kuelekea 2015. Hakuna linaloshindikana. Watu wanaelimika na kuwa werevu. 'Tanzania bila CCM inawezekana tena sana tuu.
 
Pasco
Ninakuomba usirudie tena kujisahau na kuandika mambo ambayo wewe binafsi unajua yana athari kwa jamii, Sitegemei mtu kama wewe anaweza akaendelea kuandika issue ambayo ina uwezekano mkubwa sana wa kuendelea kuipotosha jamii kwamba siasa ni mchezo.

Unaposema kwamba Ole sendeka, sijui ole medeye na wengine waangalie uwezekano wa kuhamia CHADEMA unamaanisha nini? unamaanisha kwamba CHADEMA ni desperate na haichaguwi watu wa kuwatuma kuomba ridhaa ya wananchi kuwawakilisha bungeni? au unamaanisha kwamba mwanasiasa kuhama chama kimoja kwenda chama kingine ni kitu cha kawaida na sio issue kiiiiiivyo?

Mantiki hii ya kufikiria ndio ambayo mpaka sasa inawafanya watanzania kwenye maeneo mengi kuchelewa kuupata ukombozi wa kweli, Siasa ni itikadi, itikadi ya CCM na CHADEMA ni itikadi mbili tofauti, na zimejidhihirisha wazi wakati wa kchakato wa uchaguzi Arumeru, hatutegemei mwanasiasa yeyote leo akimbilie CCM au akimbilie CHADEMA alafu tuendelee kumtegemea kwamba na yeye anaweza kuwa na busara za kuongoza.

Na katika hili sichagui majina kama ulivyotaadharisha, kwangu Lusinde na Magufuri au Mwakyembe na Wasira wote ni kitu Kimoja. Namaanisha kwamba, Mwanasisa yeyote kuanzia ngazi ya katibu wa wilaya wa CCM akikimilia CHADEMA nao wakampokea na kumrudisha kwa wananchi kuomba Kura huku kwa alama ya V, tutapishana na huyo mtu mlangoni, yeye akiingia mi natoka.

Watanzania hawataki mabadiriko ya kaulimbiu, wala mavazi wala rangi ya bendera, wanataka mabadiriko katika maisha yao, watanzania wanataka kushine na kula good time, yes, inatosha kuishi kwa matumaini kwamba matatizo yaliyopo sasa kuna watu serious wanapigana kuyapunguza kama sio kuyaondoa. Watu hawa hawako CCM na CHADEMA haina roho mtakatifu kuwabadirisha.

Lakini nakushukuru kwa kuwakumbusha CHADEMA kutuma makamanda fied.
 
Lowasa alisema amerudi kwa mapambano, mkwe wake kadondokea pua hizo pesa anazo mwaga aangalie ikifika 2015 anaweza jikuta ameishiwa maburungutu yote ya Richmond na kuanza kutapa tapa bora apumnzike siasa awe anacheza na wajukuu kama mwenzie Makamba au huyu Siyoi hana mtoto kwa Pamela?
 
chadema=nepotism, ufisadi, kukumbatia mabepari, udictator wa viongozi wa juu, (bora hata CCM demokrasia yao ya ndani ni imara zaidi), mipango na ahadi zisizotekelezeka, harufu ya tamaa ya madaraka na kutokubali kushindwa, hatari ya kupandikiza chuki miongoni mwa wananchi, hamna uzoefu, hatari ya ulundikano wa uongozi kwa watu wa kaskazini, uwezo mdogo wa kiitakadi, hatari ya kuwa populist party bila ya msingi wowote wa kimaendeleo,(political fanatics wasiokua na la kufanya zaidi ya kulumbana na kushindana kisiasa huku matatizo ya kimsingi ya kiuchumi yakiwa hayatatuliwi) etc etc watz kuweni makini na hawa wanaojiita wapiganaji huku mioyoni mwao wakitamani nguvu tu ya dola na manufaa yake ya kiuchumi...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom