akelu kungisi
Senior Member
- Apr 2, 2012
- 115
- 20
Pasco,
Naungana na wewe kwa ushauri wako mzuri sana. Kazi iliyobaki kwa CDM ni kuenda vijijini kuwaamsha waliolala wanaodhani usipoichagua CCM hakuna maisha, nimejaribu kuangalia nyendo za Dr Slaa nimegundua kazi hii anaiweza sana kwa kuwa ana ushawishi mkubwa sana kwa Watanzania wa rika zote.
Kwa hali inavyoendelea na makosa ya waziwazi ya serikali ya CCM ambayo wakuu wa chama hiki hawataki kuyarekebisha na kuyadhibiti, uwezekano wa CDM kuchukua nchi 2015 ni mkubwa sana. Nawashauri CDM kwa sasa wakaze buti na kuanzia waanzie mikoa ya kati hasa Dodoma, Singida na Tabora ambayo ninadhani elimu ya uraia kwao imewapitia pembeni.
Then waelekee mikoa ya kusini na iliyoko katika mwambao wa bahari ya Hindi, sehemu hizo nilizozitaja wapekeke majembe hasa kwa kuwa asili ya watu wake ni wagumu kuelewa na hasa elimu ya uraia.
Kama mtakuwa mlikuwa makini kuangalia taarifa ya habari jana, Mama Kilango alijitahid mno kuwalaghai wananchi wa kata ya Kiwira-Tukuyu kwa kuwachonganisha na CDM ili wainyime kura, kilichotokea ni wananchi hao kumgezia kibao pamoja na kukiadhibu chama chake kwa kumpigia kura mgombea wa CDM.
Dalili hizo zinzonyesha ni kwa kiasi gani Watanzania wamechoka na ndoto za 'alinacha'. Kete hii ikitumiwa vizuri na CDM, basi tukiri wazi kuwa CCM kitakufa kifo cha mende! Refer; President Wade wa Senegal wiki iliyopita. Wanachi amkeni nchi imeuzwa tuko gulioni!
Naungana na wewe kwa ushauri wako mzuri sana. Kazi iliyobaki kwa CDM ni kuenda vijijini kuwaamsha waliolala wanaodhani usipoichagua CCM hakuna maisha, nimejaribu kuangalia nyendo za Dr Slaa nimegundua kazi hii anaiweza sana kwa kuwa ana ushawishi mkubwa sana kwa Watanzania wa rika zote.
Kwa hali inavyoendelea na makosa ya waziwazi ya serikali ya CCM ambayo wakuu wa chama hiki hawataki kuyarekebisha na kuyadhibiti, uwezekano wa CDM kuchukua nchi 2015 ni mkubwa sana. Nawashauri CDM kwa sasa wakaze buti na kuanzia waanzie mikoa ya kati hasa Dodoma, Singida na Tabora ambayo ninadhani elimu ya uraia kwao imewapitia pembeni.
Then waelekee mikoa ya kusini na iliyoko katika mwambao wa bahari ya Hindi, sehemu hizo nilizozitaja wapekeke majembe hasa kwa kuwa asili ya watu wake ni wagumu kuelewa na hasa elimu ya uraia.
Kama mtakuwa mlikuwa makini kuangalia taarifa ya habari jana, Mama Kilango alijitahid mno kuwalaghai wananchi wa kata ya Kiwira-Tukuyu kwa kuwachonganisha na CDM ili wainyime kura, kilichotokea ni wananchi hao kumgezia kibao pamoja na kukiadhibu chama chake kwa kumpigia kura mgombea wa CDM.
Dalili hizo zinzonyesha ni kwa kiasi gani Watanzania wamechoka na ndoto za 'alinacha'. Kete hii ikitumiwa vizuri na CDM, basi tukiri wazi kuwa CCM kitakufa kifo cha mende! Refer; President Wade wa Senegal wiki iliyopita. Wanachi amkeni nchi imeuzwa tuko gulioni!