Mr.mzumbe
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 1,062
- 1,065
Kabla ya majadiliano je wewe ni ke au me?
kutokana na huu uaho alioandika,huyu ni me+ke.
Kabla ya majadiliano je wewe ni ke au me?
hata KANU iliamini hivyo lakain leo hii zzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzz!
Hizi ni ndoto za abunuasi...
Mbaramwezi au unaimanisha Mbalamwezi!
pole kwa sababu bado umefunikwa blanket zito la fikra mgando
Masanilo umenielewa mbaramwezi,mbalamwez ya kwako
Hizi ni ndoto za abunuasi...
Unakideri kikali sana..
piga hz namba +254722667089 ulizia kile chama kongwe pale Kenya kiko wapi? Majibu utakayopewa urudi nayo humu.
Chadema kwa Usomi.Chadema kwa umahiri wao wa kuwafyatua Mafisadi.
Chadema kwa Umahiri Wenu wa kusoma na kupitia sheria zinazo gandamiza wananchi.
Chadema kwa Utajiri wenu wa Maneno ,Bado Hamtashika Dola ya nchi,Chama cha kukitoa CCM madarakani hakipo,na siku kikija kitaundwa na wanachama Kutoka CCM bada ya CCM kumeguka kuunda CCM B,hichi ndicho kitawaongoza Watanzani.
Ndoto za Mchana za chadema kuchukua nchi ni sawa na siku jua libadilike kuwa Mwezi..na Mwezi kuwa Jua.
...ova,
chelsea hakuwahi kuchukua UEFA champs league lakini jana imetokea.
Chadema kwa Usomi.Chadema kwa umahiri wao wa kuwafyatua Mafisadi.
Chadema kwa Umahiri Wenu wa kusoma na kupitia sheria zinazo gandamiza wananchi.
Chadema kwa Utajiri wenu wa Maneno ,Bado Hamtashika Dola ya nchi,Chama cha kukitoa CCM madarakani hakipo,na siku kikija kitaundwa na wanachama Kutoka CCM bada ya CCM kumeguka kuunda CCM B,hichi ndicho kitawaongoza Watanzani.
Ndoto za Mchana za chadema kuchukua nchi ni sawa na siku jua libadilike kuwa Mwezi..na Mwezi kuwa Jua.
...ova,
chelsea hakuwahi kuchukua UEFA champs league lakini jana imetokea.
Mi Naoa wewe unaolewa
Najaribu kujiuliza hivi viongozi wa CDM wana nini? ona wanavyoyumbishwa kushoto na kulia! cheki wanachama wake hawajui wamwamini nani? chukulia mfano rahisi ni miezi kadhaa tu walikuwa wanamwita Zitto Kabwe msaliti lakini sasa hivi wanamwona shujaa kisa kabwatuka bungeni! kulikoni hawa watu ni vilaza nini? tena nimesikia kuna baadhi yao wameanza kufikiria kumsimamisha zitto 2015 kwenye kinyang'anyiro cha urais.
Sasa hawa utasema wamejiandaa kushika dola? mmh! sidhani labda nchi igawanywe kimajimbo tutawapa jimbo la kaskazini kule kwenye ngome yao!