chadema=nepotism, ufisadi, kukumbatia mabepari, udictator wa viongozi wa juu, (bora hata CCM demokrasia yao ya ndani ni imara zaidi), mipango na ahadi zisizotekelezeka, harufu ya tamaa ya madaraka na kutokubali kushindwa, hatari ya kupandikiza chuki miongoni mwa wananchi, hamna uzoefu, hatari ya ulundikano wa uongozi kwa watu wa kaskazini, uwezo mdogo wa kiitakadi, hatari ya kuwa populist party bila ya msingi wowote wa kimaendeleo,(political fanatics wasiokua na la kufanya zaidi ya kulumbana na kushindana kisiasa huku matatizo ya kimsingi ya kiuchumi yakiwa hayatatuliwi) etc etc watz kuweni makini na hawa wanaojiita wapiganaji huku mioyoni mwao wakitamani nguvu tu ya dola na manufaa yake ya kiuchumi...
Tatizo wote wako kihivyo, waliopo madarakani nao wanafanya hayo hayo na wanaokuja nao watafanya vivyo hivyo.(maoni yangu)
Tatizo lilopo kwa ccm wana madaraka na wanaamini madaraka ni kupokezana hii kitu ndo inayou udhi jamii yote duniani. Watu wanachukia zaidi inapokuwepo na harufu ya kupokezana madaraka kiundugu, ni kitu isiyokubalika ktk jamii yoyote ni chukizo ktk jamii.
Ukiangalia Libya/misri pamoja na mkono wa wakoloni lakini kulikuwa na dalili ya kupokezana vijiti/ ama jamii fulani kuwa ktk post fulani kwa wakati wote, hiyo inaudhi sana.