GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,646
- 109,031
Kijana aliyepokea Kipondo kikali cha MP wa Lugalo tokea Juzi na Jana Jioni Kuachiwa
"Yaani nashindwa Kutembea hivi huku Macho yangu hayaoni vizuri kutokana na Adhabu na Kipigo. Labda hawa Wanajeshi wasije kushinda nasi huku Kawe Kisasi nitakilipiza tu"
Mdada aliyepokea Kichapo kutoka kwa MP wa Lugalo akiwa Zahanati maarufu Kawe leo akipokea Matibabu
"Tukio kafanya mwingine sasa Sisi Wanawake ( akina Mama hapa tunahusikaje? ) na hivi Nimeshaathirika kwa UKIMWI na hupenda Kunitongoza kutokana na huu Urembo wangu sasa natangaza rasmi Kisasi changu nitakilipiza kwa Kutembea nao Wote bila Kinga ili niwapukutishe vizuri labda wahame Kawe hii"
Mzazi wa Mtoto aliyepokea Kichapo cha uhakika kutoka kwa MP wa Lugalo tokea Juzi na karudishwa Kwao jana jioni akiwa anatambaa kwa kutojiweza
"Hawa Wanajeshi wote Walionitesea Mwanangu kwa idadi yao iliyokuwepo na wakila Krismasi hii ijayo Wakatambike makwao. Kesho Asubuhi naenda Kwetu Bagamoyo na nitahakikisha Wote wanakuja hapa Kwangu wakiwa Wanatambaa huku wakiwa wanatokea na Vinyesi. Wao si wanaringia Miguvu yao na Mimi nalingia Babu yangu Kijijini tutaheshimiana tu"
Wakazi wa maeneo ya Kawe ( hasa hasa Jirani na Kambi ) husika ya Lugalo
"Kiukweli wamezidi Kutuonea na hawajatundea Haki na kuna baadhi kwa Ubabe waliingia hadi Majumbani mwa Watu na Kuvujja Milango wakidai Wanawatafuta Vijana Wahuni na kudai Sisi tunawaficha. Wameshasababisha tuwachukie na Sisi Raia tukiamua Kuwamaliza vizuri tu tunaweza"
CDF Gen. Mkunda najua upo nasi tena sana tu hapa JamiiForums na nimeambiwa kuwa Threads zangu mbili za Juzi na Jana umezisoma zote na sijashangaa kusikia ( kama ni kweli kulingana Mtoa Taarifa wangu ) kuwa Jana ama Wewe au Mnadhimu Mkuu Mmoja wenu alienda Lugalo Jeshini kujua nini Kinaendelea na ulipoona Vijana Wengi waliokamtwa Juzi ( wakati wa Oparesheni yao ) wako Kambini huku wengine Wanalia na Wakiugulia Majeraha ya Vipigo Vikali vilivyovipata haraka sana Uliamuru waachwe na wachache mno Wanaoshukiwa waendelee Kuhojiwa.
Waziri wa Ulinzi Dkt. Stegormena Tax jana GENTAMYCINE nilikuomba uje hapa JamiiForums na Verified Account yako kwakuwa nina yangu ya muhimu ya Kukuambia umenipuuza ipo Siku utakuja Kuomba Ushauri na tutakuangalia huku mambo yakiharibika zaidi.
"Yaani nashindwa Kutembea hivi huku Macho yangu hayaoni vizuri kutokana na Adhabu na Kipigo. Labda hawa Wanajeshi wasije kushinda nasi huku Kawe Kisasi nitakilipiza tu"
Mdada aliyepokea Kichapo kutoka kwa MP wa Lugalo akiwa Zahanati maarufu Kawe leo akipokea Matibabu
"Tukio kafanya mwingine sasa Sisi Wanawake ( akina Mama hapa tunahusikaje? ) na hivi Nimeshaathirika kwa UKIMWI na hupenda Kunitongoza kutokana na huu Urembo wangu sasa natangaza rasmi Kisasi changu nitakilipiza kwa Kutembea nao Wote bila Kinga ili niwapukutishe vizuri labda wahame Kawe hii"
Mzazi wa Mtoto aliyepokea Kichapo cha uhakika kutoka kwa MP wa Lugalo tokea Juzi na karudishwa Kwao jana jioni akiwa anatambaa kwa kutojiweza
"Hawa Wanajeshi wote Walionitesea Mwanangu kwa idadi yao iliyokuwepo na wakila Krismasi hii ijayo Wakatambike makwao. Kesho Asubuhi naenda Kwetu Bagamoyo na nitahakikisha Wote wanakuja hapa Kwangu wakiwa Wanatambaa huku wakiwa wanatokea na Vinyesi. Wao si wanaringia Miguvu yao na Mimi nalingia Babu yangu Kijijini tutaheshimiana tu"
Wakazi wa maeneo ya Kawe ( hasa hasa Jirani na Kambi ) husika ya Lugalo
"Kiukweli wamezidi Kutuonea na hawajatundea Haki na kuna baadhi kwa Ubabe waliingia hadi Majumbani mwa Watu na Kuvujja Milango wakidai Wanawatafuta Vijana Wahuni na kudai Sisi tunawaficha. Wameshasababisha tuwachukie na Sisi Raia tukiamua Kuwamaliza vizuri tu tunaweza"
CDF Gen. Mkunda najua upo nasi tena sana tu hapa JamiiForums na nimeambiwa kuwa Threads zangu mbili za Juzi na Jana umezisoma zote na sijashangaa kusikia ( kama ni kweli kulingana Mtoa Taarifa wangu ) kuwa Jana ama Wewe au Mnadhimu Mkuu Mmoja wenu alienda Lugalo Jeshini kujua nini Kinaendelea na ulipoona Vijana Wengi waliokamtwa Juzi ( wakati wa Oparesheni yao ) wako Kambini huku wengine Wanalia na Wakiugulia Majeraha ya Vipigo Vikali vilivyovipata haraka sana Uliamuru waachwe na wachache mno Wanaoshukiwa waendelee Kuhojiwa.
Waziri wa Ulinzi Dkt. Stegormena Tax jana GENTAMYCINE nilikuomba uje hapa JamiiForums na Verified Account yako kwakuwa nina yangu ya muhimu ya Kukuambia umenipuuza ipo Siku utakuja Kuomba Ushauri na tutakuangalia huku mambo yakiharibika zaidi.