Ya Zanzibar ile nafanya juhudi kuipataAisee kuna footage moja ni very weird,jamaa anavamiwa na mtu aliyekuwa anamvizia kwa nyuma,jamaa anaangushwa chini then linaonekana dubwasha linainuka kumvamia yule mvamiz huku yule mwamba bado yuko chini baadae anainuka lile dubwana linakuwa kama linamvaa then linapotea...yule mvamiz analiona lile dude akakimbia na jamaa nae akajisepa...ilinitafakarisha sana
Jamaa katoka ICU leo, kuna watu wana bahati.Alisalimika kweli yule jamaa alikutana na lile basi?Mungu awaponye aisee
Nimecheka kijingaKuna hii ilinaswa kutoka kwenye CCTV cameraView attachment 2531908
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Aisee Siku yake ilikuw bado kbsJamaa katoka ICU leo, kuna watu wana bahati.
Mbona hakuna kinachochekesha hapo? Una tatizo gani? Unasoma shule ya boarding ya jinsia moja pekee?Mwamba nikikumbuka nacheka tu jpo sio freshView attachment 2526949
Brother Mshana, mbona mimi nashindwa kuPlay hizi clips nikiwa hapa hapa JF mpaka niziClick ziwe downloaded baadae nakuja kuziona kwenye Gallery.How AKA met his endView attachment 2533219
Nakazia nyingine unakuta zina mpaka mb40 na wengine mabando yetu ni yakuunga unga but sio mbaya.Brother Mshana, mbona mimi nashindwa kuPlay hizi clips nikiwa hapa hapa JF mpaka niziClick ziwe downloaded baadae nakuja kuziona kwenye Gallery.
Tatizo nn
Daah😢How AKA met his endView attachment 2533219
Simu yangu ni Android 13Simu yako check ni android ngapi ni lazima iwe above 7