Alisalimika kweli yule jamaa alikutana na lile basi?Mungu awaponye aisee
Wakikuita unanishtua na mimiMkiipata ya Area D. Mniiite
Hii ni athari ya kuandika report ya kazi akiwa anakunywa mtori. Anaandika kile alichosikia kwa wenzie sio alichoshuhudia.Askari anasema hakuna kifo
Inasidikika keshafika mikumi na bado anachanja mbuga. Break ya kwanza njombe🤣🤣🤣Kwanza pole Kwa wote lakini kila nikikumbuka mwamba aliyechanja mbuga natan kucheka duh
Hakuna footage inayoonesha akichinjwa, bali kuna footage inayoonesha akiingia ubaloziniMwenye ilee footage ya Kashogy yule mwandishi wa habari Akichinjwaa an dm please, nlkuwa nayo ilaa bahatii bayaa nkaibiwaa Simu aisee
Daah. KIFO ni fumbo sana. Jamaa alikua anapita zake wala hana tabu na mtuKwa ombi la mkuu Faana kuwa na mada maalum ya matukio ya cctv kcameras hasa ukizingatia tukio la leo asubuhi ambalo kama sio playback ya hilo tukio.. Polisi mhusika angetuingiza chakaView attachment 2526893
Hao wachungaji wa Njombe wasiishie kuwaombea hao akina dada, waende wakapaombee hapo walipoganda yawezekana palivunjiwa nazi kama ilivyo pwaniAkakutane na hawa ... Nimecheka kiama namna huyu askari alivyoripoti hili tukioView attachment 2527124
Akakutane na hawa ... Nimecheka kiama namna huyu askari alivyoripoti hili tukioView attachment 2527124
Huyu afande ni kama anatangaza mechi au pambano la masumbwiAkakutane na hawa ... Nimecheka kiama namna huyu askari alivyoripoti hili tukioView attachment 2527124