😆😅🤣 abadili fani hiyo ya kombat haimfaiHuyu kipaji chake ni utangazaji![]()
Inavyoonekana alishitukiza, kwahiyo hakuwa na muda wa kufikiri, na ndio maana hakuchukua maamuzi sahihi. Nadhani angekimbilia upande wa kulia, basi lisingemgusa. Badala yake, yeye amekimbilia upande huohuo. Hata hivyo, sikio la kufa hakisikii dawa (au siku ya kufa nyani miti yote hutereza).Naona kapondwa ukutani pale.
Ange kimbilia upande wa kulia angepigwa na Ile gari ndogo.Inavyoonekana alishitukiza, kwahiyo hakuwa na muda wa kufikiri, na ndio maana hakuchukua maamuzi sahihi. Nadhani angekimbilia upande wa kulia, basi lisingemgusa. Badala yake, yeye amekimbilia upande huohuo. Hata hivyo, sikio la kufa hakisikii dawa (au siku ya kufa nyani miti yote hutereza).
huyu baba aliyekuwa anatembea amesalimika kweli.
Naikumbuka ile video aisee nikadhani ilikuwa ArushaKuna ajali ilitokea kwenye round about moja mjini Moshi, break za bus zili-fail na hilo bus lilikuwa captured na cctv cameras nadhani za bank au duka la mtu, nimeitafuta humu ile post siioni, mwenye nayo atuwekee hapa kukuza archive yetu
Cc BBC NewsJamaa alokuwa amekaa kwa kiti alitoka ndukii hadi msikitini kusali
Alilengwa akachafuliwa, amepasuka.Ni kama ndo mwenye ajali yake.Inavyoonekana alishitukiza, kwahiyo hakuwa na muda wa kufikiri, na ndio maana hakuchukua maamuzi sahihi. Nadhani angekimbilia upande wa kulia, basi lisingemgusa. Badala yake, yeye amekimbilia upande huohuo. Hata hivyo, sikio la kufa hakisikii dawa (au siku ya kufa nyani miti yote hutereza).
Naikumbuka ile video. Sijui iko wapiKuna ajali ilitokea kwenye round about moja mjini Moshi, break za bus zili-fail na hilo bus lilikuwa captured na cctv cameras nadhani za bank au duka la mtu, nimeitafuta humu ile post siioni, mwenye nayo atuwekee hapa kukuza archive yetu
SimchezoJamaa alokuwa amekaa kwa kiti alitoka ndukii hadi msikitini kusali