Hivi hili tukio Ni la kweli kabisa?
Kwani we unaonaje mkuuHivi hili tukio Ni la kweli kabisa?
DuhhhNimepita eneo husika saa nne ila kulikuwa na damu nyingi chini, walikuwa wanafuta na maji!! Eneo hakuna mchanga!! Ila pia ni eneo omba omba wanatafuta riziki, sijakua kama wamesalimika, kama waliwahi
Jamaa kanusurika kweli? Dah, bonge ya dhahma
huyu baba aliyekuwa anatembea amesalimika kweli?